Pre GE2025 Maandamano ya CHADEMA kuanzia Mbezi Mwisho na Buguruni hadi Ofisi za UN

Pre GE2025 Maandamano ya CHADEMA kuanzia Mbezi Mwisho na Buguruni hadi Ofisi za UN

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Taifa hili ni letu sote.

Bunduki haijawahi shida Nguvu ya Uma.
Nguvu ya umma iko wapi? Ni lini tuliwatuma maandamano? Matakwa ya kakikundi kamoja ka CHADEMA ndiyo umma????
 
Nguvu ya umma iko wapi? Ni lini tuliwatuma maandamano? Matakwa ya kakikundi kamoja ka CHADEMA ndiyo umma????

Huna haja ya kupiga kelele sasa. Waache waandamane, ndipo itajulikana kama ni umma au familia chache.
 
Salaam, Shalom!!

Akiongea kwenye Press Conference, John Mnyika,KM wa CHADEMA, amesisitiza kuwa hawatapoteza muda kufanya mdahalo na Kijana, KM wa CCM Kwa kuwa Kwa Katiba hii, halipo litabadilika.

Msimamo huo umefanana na msimamo wa Nabii Mwabukusi kuwa, kufanya mdahalo na chama kilichokataa HOJA za maridhiano, kilichopuuza Rasimu ya Warioba, chama kilichotupa Hadi mapendekezo ya kikosi KAZI kilichoundwa na CCM yenyewe chini ya mwenyekiti wao.

Amesoma barua alizowaandikia Kutoa taarifa Kwa makamanda wa Polisi wa Dar ambao maandamano hayo yatapita katika maeneo Yao ya KAZI Ili Kutoa ulinzi.

Amesema kuwa maandamano yatagawanyika makundi mawili na destination point itakuwa ofisi za UMOJA wa mataifa.

Mungu ibariki Nchi yangu nzuri niipendayo TANZANIA 🇹🇿

Mungu ibariki CHADEMA.

Karibuni🙏
 
Hakuna maandamano,labda ya kwenda shopping,wafuasi wa chadema wameshindwa kuandamana kumng'oa mbowe kwenye uenyikiti wake wa milele,leo hii wawe na ushawishi wa kuwahadaa watanzania waandamane kwa masrahi ya mbowe, Lissu na mnyika!?

Nitakuwa mtu wa mwisho kuamini maigizo haya
 
Hakuna maandamano,labda ya kwenda shopping,wafuasi wa chadema wameshindwa kuandamana kumng'oa mbowe kwenye uenyikiti wake wa milele,leo hii wawe na ushawishi wa kuwahadaa watanzania waandamane kwa masrahi ya mbowe, Lissu na mnyika!?

Nitakuwa mtu wa mwisho kuamini maigizo haya
Nabii Mwabukusi atakuwepo,

Dr Slaa atakuwepo,

Wananchi wasio na vyama mfano wa Rabbon watakuwepo.

Stuka, maandamano ni ya watu wote wenye Nia ya dhati kuhakikisha Sanduku la kura lililoibwa 2020 linarudi.

Karibu.
 
Mimi pia ningeshangaa,

Chama makini kujibizana na kijana mkosa Maadili,

Kijana aliyempiga Mzee wetu Warioba!!
Mwizi na Muuaji Kamanda wa Wasiojulikana wa Awamu ya Tano kama tungekuwa na Serikali MAKINI huyu Jamaa angekuwa Jela siku nyingi sana.
 
Salaam, Shalom!!

Akiongea kwenye Press Conference, John Mnyika,KM wa CHADEMA, amesisitiza kuwa hawatapoteza muda kufanya mdahalo na Kijana, KM wa CCM Kwa kuwa Kwa Katiba hii, halipo litabadilika.

Msimamo huo umefanana na msimamo wa Nabii Mwabukusi kuwa, kufanya mdahalo na chama kilichokataa HOJA za maridhiano, kilichopuuza Rasimu ya Warioba,chama kilichotupa Hadi mapendekezo ya kikosi KAZI kilichoundwa na CCM yenyewe chini ya mwenyekiti wao.

Amesoma barua alizowaandikia Kutoa taarifa Kwa makamanda wa Polisi wa Dar ambao maandamano hayo yatapita katika maeneo Yao ya KAZI Ili Kutoa ulinzi.

Amesema kuwa maandamano yatagawanyika makundi mawili na destination point itakuwa ofisi za UMOJA wa mataifa.

Mungu ibariki Nchi yangu nzuri niipendayo TANZANIA 🇹🇿

Mungu ibariki CHADEMA.

Karibuni🙏
Wapeleke na hoja ya wabunge wawili kila jimbo
 
Mimi nitaanzia mwanzo hadi mwisho na Bango langu.

PEOPLE'S POWER! ✌️✌️✌️✌️✌️✌️✌️✌️✌️✌️✌️ SAUTI YA WATANZANIA 🤝🤝
Badili bango lisomeke,

BILA TUME HURU YA UCHAGUZI, HAPATAFANYIKA UCHAGUZI WOWOTE WA HAKI!!
 
Back
Top Bottom