TUMIA akili, watoto hawaruhusuwi kujumuika katika maandamano.Za kitajiri huwa hawapeleki watoto wao kupata vilema visivyo vya lazima!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
TUMIA akili, watoto hawaruhusuwi kujumuika katika maandamano.Za kitajiri huwa hawapeleki watoto wao kupata vilema visivyo vya lazima!
Tukomae wananchi, wanasiasa watafufuata tukisemacho.Chadema hilo hawaelewi
Chalamila ni muumini wa maandamano,Haya peleka makomwe yenu tarehe 24/1 kwenye maandamano halafu mtamjua Chalamila ni nani.
Viongozi wezi wa kura ni sawa wakipita na misafara yao kusimamisha shughuli za watu.CDM inajitafutia matatizo uwezi tangaza tarehe ya maandamano kabla ya kupata kibali cha polisi.
Mantiki ya kuandika barua polisi na wao wajipange ili kuweka ulinzi, sio uwataharifu tu halafu uende kujifanyia mambo.
Worst muda na siku ya maandamano ni katikati ya week na wakati watu wapo busy na shughuli za uzalishaji wao wanataka kufunga njia.
Walau ata ingekuwa siku ya jumapili hao makamanda wa polisi wakose sababu ya kuto kutoa kibali na kulinda maandamano, halafu unataka kufanya maandamano pande mbili siku ya kazi huo sasa ukorofi.
Matatizo mengine ni ya kujitakia, halafu likitokea la kutokea watasema wanaonewa.
Chinese proverb ‘jemedari asiefikiria madhara ya vita kwanza kwa wanawajeshi wake, hafai kuongoza’ sasa uwezi kuchagua siku na muda wa uzalishaji kufanya maandamano, tena kabla ya kupata kibali cha polisi halafu usijue chances are virungu vitahusika.
Huyo mama aendelee kuwachekea tuone mwisho wake. Kuandamana ni haki ya kikatiba, lakini haki hiyo aina maana itumike kulenga kuharibu shuguli zingine za uchumi ilo ni kosa la jinai kwenye penal code.
Watazamaji yetu macho
Akili tumia wewe hao viongozi watoto wao wote ni watu wazima tena narudia huna akili watoto wa mbowe ni watu wazima watoto wa lissu ni watu wazima!TUMIA akili, watoto hawaruhusuwi kujumuika katika maandamano.
RubbishCDM inajitafutia matatizo uwezi tangaza tarehe ya maandamano kabla ya kupata kibali cha polisi.
Mantiki ya kuandika barua polisi na wao wajipange ili kuweka ulinzi, sio uwataharifu tu halafu uende kujifanyia mambo.
Worst muda na siku ya maandamano ni katikati ya week na wakati watu wapo busy na shughuli za uzalishaji wao wanataka kufunga njia.
Walau ata ingekuwa siku ya jumapili hao makamanda wa polisi wakose sababu ya kuto kutoa kibali na kulinda maandamano, halafu unataka kufanya maandamano pande mbili siku ya kazi huo sasa ukorofi.
Matatizo mengine ni ya kujitakia, halafu likitokea la kutokea watasema wanaonewa.
Chinese proverb ‘jemedari asiefikiria madhara ya vita kwanza kwa wanawajeshi wake, hafai kuongoza’ sasa uwezi kuchagua siku na muda wa uzalishaji kufanya maandamano, tena kabla ya kupata kibali cha polisi halafu usijue chances are virungu vitahusika.
Huyo mama aendelee kuwachekea tuone mwisho wake. Kuandamana ni haki ya kikatiba, lakini haki hiyo aina maana itumike kulenga kuharibu shuguli zingine za uchumi ilo ni kosa la jinai kwenye penal code.
Watazamaji yetu macho
Ndio mjue CCM ataongoza milele upinzani ni wachumia tumia!Kama polisi wapo na kweli mnawategea kwann mlikodisha wale wapuuzi waliozungumza na waandishi wa habar wakijiita muungano wa vyama vya upinzani leo pale seashells hoteli tena muda huohuo ambao mnyika alikuwa anaongea?
C muruhusu Joyce wowo aje kwa mdahalo na mavyeti yake fake?
Subiri tarehe 24 ndio utajua tofauti kati ya kuijulisha polisi na kupata kibali cha polisi kwenye maandamano.Rubbish
Rubbish!! Hamna lolote, mtaishia kuandamana hapa JF tuHuna haja ya kupiga kelele sasa. Waache waandamane, ndipo itajulikana kama ni umma au familia chache.
Kwa mfano yakapita Kariakoo?Wajitahidi hayo maandamano ya kutokea Buguruni sheli yafike hata Rozana.