Pre GE2025 Maandamano ya CHADEMA kuanzia Mbezi Mwisho na Buguruni hadi Ofisi za UN

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Haya peleka makomwe yenu tarehe 24/1 kwenye maandamano halafu mtamjua Chalamila ni nani.
Chalamila ni muumini wa maandamano,

Aliruhusu wananchi waandike hata mabango ya matusi, jambo Hilo CHADEMA hawawezi fanya.
 
Viongozi wezi wa kura ni sawa wakipita na misafara yao kusimamisha shughuli za watu.
 
Mdahalo ni muhimu kwa afya ta chama hivyo ni vyema chadema wakashiriki la sivyo ni kukiri udhaifu.
 
TUMIA akili, watoto hawaruhusuwi kujumuika katika maandamano.
Akili tumia wewe hao viongozi watoto wao wote ni watu wazima tena narudia huna akili watoto wa mbowe ni watu wazima watoto wa lissu ni watu wazima!
 
Rubbish
 
Ndio mjue CCM ataongoza milele upinzani ni wachumia tumia!
 
Subiri tarehe 24 ndio utajua tofauti kati ya kuijulisha polisi na kupata kibali cha polisi kwenye maandamano.

Ni hivi mapokezi ya Lissu mara zote mbili ile ilikuwa ‘hewala sio utumwa’.

Learn when to stop pushing your luck, uvumilivu una mipaka.

Watazamaji yetu macho
 
Wajitahidi hayo maandamano ya kutokea Buguruni sheli yafike hata Rozana.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…