MALCOM LUMUMBA
JF-Expert Member
- Jul 26, 2012
- 21,113
- 65,124
Serikali ya nchi hii ina mkono mrefu hakuna shehe wala askofu anaeweza kutoa maelekezo yeyote kwa serikali. Serikali inasikiliza na kuheshimu maoni ya viongozi wa dini lakini kamwe hakuna dini itapanda kichwani mwa serikali hiyo msahau. Never
Serikali ya CCM haiwezi kufanya kazi bila viongozi wa dini. Hutaki unaacha......
Ninavyosema mashehe simaanishi wakina Kipozeo, wala maaskofu simaanishi wakina Gwajima.
Ninavyosema mashehe simaanishi wakina Kipozeo, wala maaskofu simaanishi wakina Gwajima.