Mabachela: Ni chakula gani kigumu kupika geto?

Kuna siku mother alisafiri tukabaki na mshua ilikuwa hatari. Tukalilia wali, mshua akazama jikoni. Mhmm kitu kilivokuja mezani balaaa.

Haha hatari mkuu! Ila wali kwa sasa hausymbui kama una rice-cooker, kiukweli mimi wali wa kupikia kwenye jiko la gesi au mkaa siwezi ila kwenye rice-cooker ni rahisi sana
 
Kufua mabachela wengi huwa wanapeleka kwa dobi,
Kama mm hua napeleka kwa dob
Sku nkiona zmechafuka sana
Au zmekua,nyingi

[Color= yellow]Triple A[/color]
 
Chapati na pilau. Nadhani hata nikipelekwa kozi ntafeli tu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kuna vyakula vinatajwa humu kwakweli navitamani ila formula ya kuvipika ndo shida. Birian na makande? Makande mara ya mwisho kula ilikuwa shuleni hiyo advance.
 
Wali mbona easy siku hz kwa kutumia Ricekooker, hua naupika asubuhi nakula na chai jioni nautafutia mboga saafi
 
Kuosha vyombo ndio msala

sent from Sanduku la Posta using JamiiForums mobile app
Mods hiki kipengele cha chini cha kutambua mtoa mada katumia kifaa gani watu watakuja na mengi sana ila nimeipenda humuhumu tunajua uwezo wa mtu tukiangalia na simu aliyotumia
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…