Mabachela: Ni chakula gani kigumu kupika geto?

Mimi kuandaa Mboga hata kama ni mchicha tuu no shida. Mara zote huishia kusonga Ugali dona kisha natafuta mahala wanauza dagaa za kukaanga. Siku akikosekana basi kipande cha samaki, kachumbari nyingi ghetto natoa kitu cha dona.

Zoote zikifeli basi natafuna karanga mbichi nashushia na Bia moja ya bariiiiid. Huwezi ukakuta vyombo vichafu ghetto!

Post sent using JamiiForums mobile app
 

Kuna jamaa yangu iliwahi mkuta geto anapiga bia na chapati asubuhi. Anadai kuchemsha chai hawezi.
 
Basi unamuda mrefu sana mpaka kuifikia ndoa ticha
Sababu inayofanya n hitaj
Ndoa,n kwa sababu na mm
Nataka kusmamia family
Kama,baba,wa familia
Upweke kwa nyumba nao uishe

Sometimes unajikuta umetulia
Kwa nyumba pekeako utafri n jin

[Color= yellow]Triple A[/color]
 
Kuna jamaa yangu iliwahi mkuta geto anapiga bia na chapati asubuhi. Anadai kuchemsha chai hawezi.
[emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2]

[Color= yellow]Triple A[/color]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…