Mabachela: Ni chakula gani kigumu kupika geto?

Mabachela: Ni chakula gani kigumu kupika geto?

Nina imani mabachela tuko wengi sana humu.

Katika suala la kupika na kuosha vyombo huwa ni habari ingine. Vipi wewe mkuu ni msosi gani kuupika au kuuandaa huwa unakupa mawazo sana japo unaupenda. Na ukiula mahala unahisi umekosewa kupika sio kama ungeupika japo hujawahi kuutest geto.

Mimi bana WALI naupenda ila kuuandaa hadi utoke ni hatari sana. Halafu nikiwa nakula kitaa huwa mwepesi sana kuwalaumu wahudumu wali haujaiva au wamepika bokoboko au una mawe.

Wewe je msela wa geto nini kinasumbua jikoni?
Mimi kuandaa Mboga hata kama ni mchicha tuu no shida. Mara zote huishia kusonga Ugali dona kisha natafuta mahala wanauza dagaa za kukaanga. Siku akikosekana basi kipande cha samaki, kachumbari nyingi ghetto natoa kitu cha dona.

Zoote zikifeli basi natafuna karanga mbichi nashushia na Bia moja ya bariiiiid. Huwezi ukakuta vyombo vichafu ghetto!

Post sent using JamiiForums mobile app
 
Mimi kuandaa Mboga hata kama ni mchicha tuu no shida. Mara zote huishia kusonga Ugali dona kisha natafuta mahala wanauza dagaa za kukaanga. Siku akikosekana basi kipande cha samaki, kachumbari nyingi ghetto natoa kitu cha dona.

Zoote zikifeli basi natafuna karanga mbichi nashushia na Bia moja ya bariiiiid. Huwezi ukakuta vyombo vichafu ghetto!

Post sent using JamiiForums mobile app

Kuna jamaa yangu iliwahi mkuta geto anapiga bia na chapati asubuhi. Anadai kuchemsha chai hawezi.
 
Basi unamuda mrefu sana mpaka kuifikia ndoa ticha
Sababu inayofanya n hitaj
Ndoa,n kwa sababu na mm
Nataka kusmamia family
Kama,baba,wa familia
Upweke kwa nyumba nao uishe

Sometimes unajikuta umetulia
Kwa nyumba pekeako utafri n jin

[Color= yellow]Triple A[/color]
 
86623f26fa91bdd88979d7c1da0168f4.jpg
Dunia inaraha hii[emoji12] [emoji12]

Maisha tu mafupi[emoji134] [emoji134]

[Color= yellow]Triple A[/color]
 
Kuna jamaa yangu iliwahi mkuta geto anapiga bia na chapati asubuhi. Anadai kuchemsha chai hawezi.
[emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2]

[Color= yellow]Triple A[/color]
 
Back
Top Bottom