Kool the gang
JF-Expert Member
- Jul 18, 2022
- 497
- 1,465
Kipindi kile tulikuwepo mkuu. Salim Alikuwa waziri Mkuu kwenye utawala wa Nyerere kwa mwaka mmoja tu tena baada ya Sokoine kututoka lkn baada ya Mzee Mwinyi kuingia Madarakani Salim alirudishwa kama Naibu waziri Mkuu[1986-1989] na waziri wa ulinzi huku Waziri Mkuu kipindi hicho akiwa Joseph Warioba.No, Salim alikuwa waziri mkuu kabisa bwana baada ya kifo cha Sokoine na ndio akashinikiza rais Nyerere akakubali mitumba ingizwe nchini kwa kuwa watanzania walikuwa wakitembea nusu uchi.
Akina Salim walikuwa na kipawa cha uongozi lkn hawa tulio nao leo ni wachumia tumbo tu. Bure kabisa.
Mungu amkumbatie asijiudhuru😁Na ili kututoa kwenye reli kabisa utashangaa Pm anajiudhuru!!
Anahangaika mno stragomena kamrudisha ulinziHuyu mama nchi ishamshinda
Gwambina ilikuwa hoi karibu ife 😂 😂 😂 😂 😂..kamteua Alexander Mnyeti halafu anakwambia kuna Reforms na Reconciliation.
Na ndiye aliyerudisha mgao wa umeme na kuzunguka na helikopta kukagua majiMakamba aliyeifanya TANESCO ipate faida kwa mara ya kwanza kahamishwa!
Ndiye amepelekea bwawa la Nyerere ujenzi uende kwa mwendo wa mwanga lakini wapi!
Ndiye kafanya service kubwa TANESCO ambayo haikuwahi kufanyika kwa miaka mitano ila katemwa.
Ndiye kafanya nchi iwe na umeme wa uhakika ukikatika ujue service na hiyo service ni 12hrs kwa 7days.😁
Tuliwaambia hiyo wizara "machekbob" wapiga porojo na propagandists hawadumu.
BTW:Biteko ipua halafu mwaga hayo Maharage hapo TANESCO watakukwamisha tu.
Umemaliza ?Mwandiko wako unaonekana ni shog*
Sio serikali inahangaika?Chadema mnahangaika sana
Siasa za Tanzania sio sawa na za Kenya, huyo Dotto ana ushawashi wapi zaidi ya Jimboni kwake? Unazani Majaliwa mfano ukitoa Jimboni kwake unazani una ushawishi mwingine kule Lindi.View attachment 2733568
Hakuna Sababu yoyote ile nyingine kwenye Uteuzi huu zaidi ya kutafuta huruma kutoka Kanda ya ziwa , hasa baada ya Oparesheni 255 ya Chadema Kuungwa Mkono na Wakazi wote wa Kanda hiyo , wakiwemo Wabunge na viongozi wa ccm
View attachment 2733550
View attachment 2733567
Bali wachambuzi wa siasa za Kanda ya Ziwa wanaona kwamba , Uteuzi wa Dotto Biteko kijana Mdogo , asiye na Ushawishi wowote kwenye kanda hiyo hautabadili chochote kwenye kanda hiyo
Mwambieni mama Abdul hatudanganyiki.View attachment 2733568
Hakuna Sababu yoyote ile nyingine kwenye Uteuzi huu zaidi ya kutafuta huruma kutoka Kanda ya ziwa , hasa baada ya Oparesheni 255 ya Chadema Kuungwa Mkono na Wakazi wote wa Kanda hiyo , wakiwemo Wabunge na viongozi wa ccm
View attachment 2733550
View attachment 2733567
Bali wachambuzi wa siasa za Kanda ya Ziwa wanaona kwamba , Uteuzi wa Dotto Biteko kijana Mdogo , asiye na Ushawishi wowote kwenye kanda hiyo hautabadili chochote kwenye kanda hiyo
Hakuna jipya ccm zaidi ya kufanyiwa sub ndani ya uwanja!Ni mabadiliko madogo hakuna jipya
Naibu Waziri Mkuu yuko draw na DC kwa sababu wote vyeo vyao haviko kwenye Katiba.View attachment 2733568
Hakuna Sababu yoyote ile nyingine kwenye Uteuzi huu zaidi ya kutafuta huruma kutoka Kanda ya ziwa , hasa baada ya Oparesheni 255 ya Chadema Kuungwa Mkono na Wakazi wote wa Kanda hiyo , wakiwemo Wabunge na viongozi wa ccm
View attachment 2733550
View attachment 2733567
Bali wachambuzi wa siasa za Kanda ya Ziwa wanaona kwamba , Uteuzi wa Dotto Biteko kijana Mdogo , asiye na Ushawishi wowote kwenye kanda hiyo hautabadili chochote kwenye kanda hiyo
Ona sasa akili za wapinzani wetu zilivyo!We mjinga Upinzania ni Ideology, kwa akili zako za Kamasi unazania Upinzani ni Individual people? Hakuna alie zaliwa kukufanyia wewe upinzani