Mabadiliko Baraza la Mawaziri: Doto Biteko ateuliwa kuwa Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati. Makamba Mambo ya Nje, Pindi Chana Katiba na Sheria

Kipindi kile tulikuwepo mkuu. Salim Alikuwa waziri Mkuu kwenye utawala wa Nyerere kwa mwaka mmoja tu tena baada ya Sokoine kututoka lkn baada ya Mzee Mwinyi kuingia Madarakani Salim alirudishwa kama Naibu waziri Mkuu[1986-1989] na waziri wa ulinzi huku Waziri Mkuu kipindi hicho akiwa Joseph Warioba.
 
Makamba aliyeifanya TANESCO ipate faida kwa mara ya kwanza kahamishwa!

Ndiye amepelekea bwawa la Nyerere ujenzi uende kwa mwendo wa mwanga lakini wapi!

Ndiye kafanya service kubwa TANESCO ambayo haikuwahi kufanyika kwa miaka mitano ila katemwa.

Ndiye kafanya nchi iwe na umeme wa uhakika ukikatika ujue service na hiyo service ni 12hrs kwa 7days.😁

Tuliwaambia hiyo wizara "machekbob" wapiga porojo na propagandists hawadumu.

BTW:Biteko ipua halafu mwaga hayo Maharage hapo TANESCO watakukwamisha tu.
 


Hakuna Sababu yoyote ile nyingine kwenye Uteuzi huu zaidi ya kutafuta huruma kutoka Kanda ya ziwa , hasa baada ya Oparesheni 255 ya Chadema Kuungwa Mkono na Wakazi wote wa Kanda hiyo , wakiwemo Wabunge na viongozi wa ccm





Bali wachambuzi wa siasa za Kanda ya Ziwa wanaona kwamba , Uteuzi wa Dotto Biteko kijana Mdogo , asiye na Ushawishi wowote kwenye kanda hiyo hautabadili chochote kwenye kanda hiyo
 
Na ndiye aliyerudisha mgao wa umeme na kuzunguka na helikopta kukagua maji
 
Siasa za Tanzania sio sawa na za Kenya, huyo Dotto ana ushawashi wapi zaidi ya Jimboni kwake? Unazani Majaliwa mfano ukitoa Jimboni kwake unazani una ushawishi mwingine kule Lindi.

Siasa za aina hio huwa ziko Kenya unakuta kuna mtu ana controo Kabila lake lote, Magufuri mwenyewe bado alikuwa ha cotroli wasukuma wote na laiti Uchaguzi ungekuwa huru ungeshangaa sana hata pale Chato kwake tu.
 
Mwambieni mama Abdul hatudanganyiki.
 
Ni kweli Biteko hana ushawishi wowote ila ata upinzani wa kweli nao hatuna. Nchi inachezewa nyie mpo busy tu kupiga porojo mnazidiwa ata na yule Mwanasheria aliyeamua kuishitaki Serikali.
Yaani nyie mpo mpo tu mnasubiri uchaguzi.
 
Naibu Waziri Mkuu yuko draw na DC kwa sababu wote vyeo vyao haviko kwenye Katiba.

Nadhani Nyerere alipaswa kushitakiwa kwa kutupatia Katiba ambayo inamfanya rais wa Tz kuwa Mungu kwa 75%

Sent from my SM-A260F using JamiiForums mobile app
 
We mjinga Upinzania ni Ideology, kwa akili zako za Kamasi unazania Upinzani ni Individual people? Hakuna alie zaliwa kukufanyia wewe upinzani
Ona sasa akili za wapinzani wetu zilivyo!
Alowaita wapinzani bila shaka alifahamu kabisa nyie ni wapinzani tu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…