Mabadiliko Baraza la Mawaziri: Doto Biteko ateuliwa kuwa Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati. Makamba Mambo ya Nje, Pindi Chana Katiba na Sheria

wacha ugaidi na upotoshaji
 
Naona hujaielewa dhanna ya Reform and Rebuilding.


Hapo kwa Kassim Majaliwa, kilichositisha asipigwe chini ni mfumo tu, lakini ana "underperform" sana, juzi aliambiwa, usingoje maagizo kutoka juu.
Nakuelewa sana mama.!
 
Ulifanya vizuri kule Utumishi na ulisaisia sana kusimamiwa Haki za Watumishi.

Huku Tamisemi ndio Kuna uonesi zaidi , nadhani Watumishi wamepata mtu wa kumlilia shida wakasikilizwa.
 
Nakumbuka hata Kibaki aliwahi kutengeneza hicho cheo cha naibu PM na kumpa Uhuru Kenyatta, enzi hizo walipounda serikali ya mseto baada ya kutokea mgogoro wa uchaguzi na Odinga akawa PM. Utaona kwamba kuunda hiyo nafasi kunalenga kumkwepa PM na kumtumia naibu PM...........kwa maneno mengine Maja atabaki kuwa PM jina.​
 
Wacha ugaidi na Upotoshaji wa Makusudi.

Ushindwe
 
Naibu Waziri Mkuu Hiki cheo kiko kikatiba?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…