Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Keusi kekundu...Kulikuwa na haja gani kuwapindua pindua hivoo??
Amemrudisha Mhagama kwenye eneo ambalo analiweza Sana.
Nyama ziko chini sio?Tuendelee kula mtori....
Wewe choko mchafu mnuka mnduku, haya unayoandika una ushahidi? Mnapenda kujitia matatizoni alafu baadae mseme serikali inaoneaAfu mwaka 2020 alifanyiwa tambiko na zindiko milima ya chihangi, pale Namatuhi.
Mama mlozi huyuuu, khaaaah
Mganga wa Mwigulu yuko KIOMBOI; ndumba zake zimezima kafara zote za wapemba!!! Mama akimuona Mwigulu anagwaya anaona mkombozi wake kumbe ndio muuwaji wake! Wabunge wamelalamika we mpaka sasa wanamuangalia tu anapojibu maswali yao hovyo; huko nyuma kushindwa kujibu maswali ya wabunge ilikuwa tiketi ya kuondolewa uwaziri!!Mganga wa Mwigulu Ni Nani na anakaa wapi?
Atakua havai boxer huyu mganga.Mganga wa Mwigulu yuko KIOMBOI; ndumba zake zimezima kafara zote za wapemba!!! Mama akimuona Mwigulu anagwaya anaona mkombozi wake kumbe ndio muuwaji wake! Wabunge wamelalamika we mpaka sasa wanamuangalia tu anapojibu maswali yao hovyo; huko nyuma kushindwa kujibu maswali ya wabunge ilikuwa tiketi ya kuondolewa uwaziri!!
Bucha tofauti nyama ni ile ile!