Mabadiliko Baraza la Mawaziri: Simbachawene ahamishiwa Utumishi na Utawala Bora, Jenista arejeshwa Sera, Bunge na Uratibu

Mabadiliko Baraza la Mawaziri: Simbachawene ahamishiwa Utumishi na Utawala Bora, Jenista arejeshwa Sera, Bunge na Uratibu

Viwanda vkwapi kila ziku stories tu ..sera mipango tu hakuna utekekezaji.....watendaji hawana muda kufikiria na kutenda
 
RAIS aache mzaha kwenye mabadiliko yake. Kila mara ana zungusha majizi yaleyale IKULU! Why usiteue wapya nje ya mfumo?
Tuli tegemea utumbue. Ila umetuangusha
 
Afu mwaka 2020 alifanyiwa tambiko na zindiko milima ya chihangi, pale Namatuhi.

Mama mlozi huyuuu, khaaaah
Wewe choko mchafu mnuka mnduku, haya unayoandika una ushahidi? Mnapenda kujitia matatizoni alafu baadae mseme serikali inaonea
 
Mganga wa Mwigulu Ni Nani na anakaa wapi?
Mganga wa Mwigulu yuko KIOMBOI; ndumba zake zimezima kafara zote za wapemba!!! Mama akimuona Mwigulu anagwaya anaona mkombozi wake kumbe ndio muuwaji wake! Wabunge wamelalamika we mpaka sasa wanamuangalia tu anapojibu maswali yao hovyo; huko nyuma kushindwa kujibu maswali ya wabunge ilikuwa tiketi ya kuondolewa uwaziri!!
 
Mganga wa Mwigulu yuko KIOMBOI; ndumba zake zimezima kafara zote za wapemba!!! Mama akimuona Mwigulu anagwaya anaona mkombozi wake kumbe ndio muuwaji wake! Wabunge wamelalamika we mpaka sasa wanamuangalia tu anapojibu maswali yao hovyo; huko nyuma kushindwa kujibu maswali ya wabunge ilikuwa tiketi ya kuondolewa uwaziri!!
Atakua havai boxer huyu mganga.
Mganga akifika ngazi ambayo havai boxer Wala chupi ujue huyo Yuko juu. Na ni wakuogopwa
 
Back
Top Bottom