Hata hapo imechelewa dar Moro ni dakika 90 mpaka 100 tuu
Watu wanabeti mbio za mabasi wanasahau kuna roho za watu muleHata sielewi kitu hapa.
Hivi dereva anayempokea mwenzake anakuwa ametoka mwanzo wa safari au anaanzia anapopokelea bus?Huwa wanabadilishana manyoni
Duh aiseeh.!
Hilo ndio basi la kupanda muda mwingi mguu wa dreva unakuwa kwenye kikanyagio cha kuongeza mwendo sio unahangaika mara kwa mara na brekiKilimanjaro Namba A nimekutana nayo Sam Nujoma asubuhi saa nne sijui imetoka Tanga au Moshi, ngoma kama mpya.
Ndio wanatoka pamoja ila kuna wengine huwa wabashukia katikati ya safari ili kesho dereva mwingine ampitie palepaleHivi dereva anayempokea mwenzake anakuwa ametoka mwanzo wa safari au anaanzia anapopokelea bus?
Nauliza hivi kwa sababu hata ukiwa umekaa tu kutoka mwanzo wa safari, kuchoka ni kuchoka tu.
Mwaka 2012 tulitoka Ubungo saa 08:00 na superfeo ya songea, Saa 09:48 Msamvu.Hakuna basi linaloweza kutumia dk 90, Dar - Moro...
Huo muda ni gari dogo tena baadhi ndio unaaweza tumia...
Miaka ya nyuma nimeshaendesha 1hr 45mins Dar - Moro, ile sio spidi ya kawaida na haihitaji kusimama hata kidogo...
Hawafaidiki chochote nadhani wanazi na wabetiji ndio hao hao wapiga Debe.Wenye magari wanafaidika na nini katika hilo?
Unachovuta nilishakwambia uache mkwe😂😂Tutahamia kwenye mabasi mengine hadi wayafungie yote
Zimeshachoka. Kama Abood hana mapngo tena na Scania.Ila anayechukua hizo gari ana uhakika wa kukaa nazo miaka mingi kwa ruti ndefu.
Angalia Kilimanjaro, Abood, Dar Ex bado wana Scania zao numero A
Abood ni mkongwe zaidi ya Super Feo.unamzunguziaje Superfeo ambae ni mkongwe kwenye hii biashara na kaachana na mchina na kurudi Scania?
MatatuBado sana mtu anabasi manne Dar to Mwanza na bado yupo nondo, ni ushabiki tu
Ila kati ya anayenunua na wewe nani anajua upangiliaji wa pesa yake?Zimeshachoka. Kama Abood hana mapngo tena na Scania.
mchana yale ma abood yanatembea masaa ma 4Hata hapo imechelewa dar Moro ni dakika 90 mpaka 100 tuu
ulitaka ulalamikie kaburini? Majinga kabisa likipinga mzinga moja tu malalamiko kwa yote kwa serikali, tunawajua watanzania wengi bado majinga sana. Ikitokea ajali hapo watakavyolalamika mara waziri ajiuzulu, mara sijui nini. LATRA nyie mkasimamie sheria inavyotakiwa.Wanazingua kwan sie abiria tumelalamika
Kifo nje nje[emoji1]Tutajieni zinazoenda mwendo wa kobe mimi hizo za ligi hapana kwakweli