Mabenki yaanza kukusanya Tozo za Serikali kwenye miamala wanayofanya wateja

Mabenki yaanza kukusanya Tozo za Serikali kwenye miamala wanayofanya wateja

Na wao wameanza kuupiga mwingi? Ufafanuzi mwenye kujua...

26462E08-CFDF-4BEA-BD0B-DB35FBECF42B.jpeg
 
Ni ile sh 100 ukatwayo ukiuliza Salio kutumia simbanking
 
Anaupiga mwingi

Ukipata mshahara tunakata Kodi
Ukitoa mshahara tunakata Kodi
Ukituma tunakata Kodi
Uliyemtumia akitoa tunakata Kodi
Ukinunua bidhaa tunakata Kodi

Hapo bado tunakusanya na mikopo kutoka nje ya nchi.

"MTANIKUMBUKA..." alisikika jamaa fulani
 
LEO NIMEPATA SMS KUTOKA NMB BANK IKISEMA IFUATAVYO

Ndugu Mteja, tunakusanya tozo ya serikali kwenye akaunti yako kwa miamala ya tarehe 8 Sep 2021 mpaka 6 Oct 2021. Unaweza hakiki kupitia taarifa ya akaunti...
Jamani mpk Bank tozo tena? Haya ni maumivu sana. Tukaweke wapi pesa zetu .
 
Me Naomba nilie jamani Naomba tu nilie [emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24]
 
Ukisimama nchale ukikaa nchale.

Mwaka wetu huu[emoji20][emoji20][emoji20]

NMB hawa saaa

Naona shida hata kuangalia statement[emoji21][emoji21][emoji21]
Screenshot_2021-10-17-14-37-37-34.jpg
 
Huyu bibi ni kumpiga chini 2025.. leo ametumia kiribia mil 500 kwa usafiri tuu toka kilimanjaro hadi arusha.. ndege, magari kama 50, helkppter etc..

Kumbe fedha zote hizi ni tozo za kuviziana[emoji1787][emoji28]
 
Anaupiga mwingi

Ukipata mshahara tunakata Kodi
Ukitoa mshahara tunakata Kodi
Ukituma tunakata Kodi
Uliyemtumia akitoa tunakata Kodi
Ukinunua bidhaa tunakata Kodi


Hapo bado tunakusanya na mikopo kutoka nje ya nchi.


"MTANIKUMBUKA..." alisikika jamaa fulani
Rais wa katiba. Siyo rais wa jmt
 
Huyu bibi ni kumpiga chini 2025.. leo ametumia kiribia mil 500 kwa usafiri tuu toka kilimanjaro hadi arusha.. ndege, magari kama 50, helkppter etc..

Kumbe fedha zote hizi ni tozo za kuviziana[emoji1787][emoji28]

Kama anafaa hofu yake nini kupambana na wengine kwenye uwanja sawa?
 
Back
Top Bottom