Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
Mungu ibariki TanzaniaNMB Tanzania hii taarifa mbona kama hamkuniambia before? Huu undezi huu, kuweni serious na hela zetu.
View attachment 1977405
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mungu ibariki TanzaniaNMB Tanzania hii taarifa mbona kama hamkuniambia before? Huu undezi huu, kuweni serious na hela zetu.
View attachment 1977405
Kuna gazeti walitangaza, mimi niliona September sehemu nikachukua screenshot.Huu ni upumbavu uliopitiliza...kwanini Kama ni tozo wasitoe taarifa kwanza ndio waanze kukata? Hyo miamala nisingeifanya Kama ningejua Kuna hayo matozo yenu otherwise kwanini msingebeba huo mzigo wa hayo makato ninyi mnahamisha kwa wateja ambao hamkuwaambia? Huu mi ushenzi sana. Nimeangalia akaunti yangu nimekatwa zaidi ya elfu 50...
Uliwafuata wanakutolea gazeti walimo tangaza[emoji23][emoji23]Kesho nawafata rasmi wanitolee app zote kwenye simu yangu pamoja na simbanking tuone hizo tozo watamkata Nani..pumbavu sana
Mkuu hapa umewaachia zaidi ya teni.Hii michache na nilifanya transaction nyingi kifala yani[emoji21][emoji21][emoji21][emoji21]
Ccm ni [emoji706][emoji706][emoji706][emoji706]View attachment 1977532
Bora ukae nazo nyumbanNaplan kuweka akiba huko bank kesho, saa itakuaje wajumbe!!!..
Hili lilibainishwa na mh.Waziri wa fedha mwanzoni tuu isipokuwa utekelezaji ulikuwa badoLEO NIMEPATA SMS KUTOKA NMB BANK IKISEMA IFUATAVYO
Ndugu Mteja, tunakusanya tozo ya serikali kwenye akaunti yako kwa miamala ya tarehe 8 Sep 2021 mpaka 6 Oct 2021. Unaweza hakiki kupitia taarifa ya akaunti.
Ujumbe huo. Watanzania inafika point huna pakupumua kila sehemu tozo bank tozo kwenye simu tozo. Mnataka tuende wapi? Juzi nimetuma crdb to crdb nimeliwa 7500 huku nmb napo wanachukua tozo.
Kwenye simu miamala moto unawaka. Tunaumizana sana nchi hiiii
Sikuwa na deni binafsi .nilikuwa na milion moja na elfu moja nikataka kuihamisha account ya mtu ikagoma. Nikapunguza elfu 5 bado ikagoma. Nikapunguza kumi ndio ikakubali kucheki salio imebaki 2500.niliishiwa nguvu.hiyo 7500 itakua ulikua na madeni yako binafsi labda
Walikua Hilo akaunti zitakua dormantSasa mbona pale mbezi mwisho Nmb na Crdb watu wanajaa nyomi kila siku kufungua account
Afu wanyang'anyi wataingia kazini kiulainiiii..Labda watu waweke hela ndani mito sasa.
Sio hyo Kaka hapa tunazungumzia tozo unapohamisha Ela kwa kutumia simu mfano akaunti ya nmb kwenda nmb ilikuwa bure Ila serikali imeingiza tozo Sasa ukihamisha unakatwa tozoUliwafuata wanakutolea gazeti walimo tangaza[emoji23][emoji23]