Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huu ni wizi na unyang'anyi wa kidolaHuu ni uhuni uliopitiliza kiwango
Tozo siyo kodi,Tulipe kodi kwa maendeleo ya Taifa.
Tanzania bado tunapambana na..Huu ni uhuni uliopitiliza kiwango
Huwa unatumia matako kufikiri?Huu ni wizi na unyang'anyi wa kidola
Serikali haina haki ya kutwaa pesa za wananchi ukiachilia mbali kodi ambazo tayari zipo na watu tunazilipa kama kawaida!
Kodi ya mshikamanoTozo siyo kodi,
Ndiyo maana haijaitwa kodi kwa sababu by nature siyo kodi , tozo hizi ni kama vile kulazimishwa na jambazi ummegee mali yako!
You can't die healthy in TanzaniaKila sehemu ni tozo, naogopa hafi kufungua friji[emoji1787]
Wanatoza hela hataka unazo akaunti mbiliKWENU, National microfinance bank(nmb),hua mnajinasibu na kujifaragua kwamba ukiwa na akaunti ya nmb kutuma pesa kwenda nmb ni bure...