Missile of the Nation
JF-Expert Member
- May 24, 2018
- 15,101
- 56,054
yaani serikali inachukua savings za watu hivihivi. Sijui kwa nini inakuwa greedy!
Mbona kodi kibao za miamala ya kibenki tunalipa tayari, sasa hii mambo ya serikali kuingiza mkono wake kwenye savings zetu na kutwaa pesa tunapofanya miamala maana yake nini?
Mbona kodi kibao za miamala ya kibenki tunalipa tayari, sasa hii mambo ya serikali kuingiza mkono wake kwenye savings zetu na kutwaa pesa tunapofanya miamala maana yake nini?