Saint Ivuga
JF-Expert Member
- Aug 21, 2008
- 54,762
- 59,204
Walisema wapi?CHADEMA mlisema JPM akifa mtapata Uhuru nadhani hapa Mungu anawajibu kupitia Samia ,wanasema ukiomba mama wa kambo afe anakufa mamako na ndio unaipata fresh
Tulieni dawa iingie so mlitaka demokrasia ndio hii Sasa tena ya kiuchumi kizalendo
USSR
Lete hio clip acha porojo