Mabifu ya Jamii Forums yananichekeshaga sana

Imagne mtu anarudi Kwa mke wake bila meno
 
Imagne mtu anarudi Kwa mke wake bila meno
Well, hizo ndo consequences za real world.

Huku JF kuna false sense of security.

Mtaani hakuna hiyo security maana consequences zake ni real.

Kwa mfano, umeona huyo anayejiita ‘Mwamaleki’ anavyonishambulia?

Unadhani uraiani tukikutana atakuwa na huo ujasiri?

Akisema hayo maneno yake mbele yangu hatorudi mzima nyumbani kwake kama alivyotoka.

Akisema hivyo mbele yangu anaweza kabisa kurudi kwa wanae akiwa kibogoyo.

I’m just sayin’.
 
Duh, ukiona unagombana na mimi wewe ni fukarest
 
Umeona sasa ulivyo mweupe kichwani? Kwa vile hata hunijuwi nini kinakufanya uamini sitarudi salama. Kwanini usiamini mambo yatakua 50/50. Au wewe unapiga ulimwengu wote?

Maneno yasiwe mengi. Weka location nije asubuhi hii
 
Umeona sasa ulivyo mweupe kichwani? Kwa vile hata hunijuwi nini kinakufanya uamini sitarudi salama. Kwanini usiamini mambo yatakua 50/50. Au wewe unapiga ulimwengu wote?

Maneno yasiwe mengi. Weka location nije asubuhi hii
Uje asubuhi hii? Kwani we uko wapi?

Maana hapa nilipo imekaribia saa tatu za usiku.

Unanipotezea muda tu.

Fcuk you 🖕.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…