Mpetde
JF-Expert Member
- Sep 5, 2022
- 3,955
- 6,546
Hili pia ungeweka bold kabisa kwa msisitizohapo kwenye kuoa epuka mabinti wa kaskazini.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hili pia ungeweka bold kabisa kwa msisitizohapo kwenye kuoa epuka mabinti wa kaskazini.
Nnacho wakubali watu wa Arusha wako real, hawajui kufake, iwe me or ke.Kwenye kutafuta hela na wasifu,nilienda Arusha nikaikuta pisi kali inatembeza nguo, ingekuwa dar angekuwa anatembeza papuchi.
HAHAHAHAAHatimae Nikki wa pili kafunguka kwa mara ya kwanza.
Aliyeimba "sweet mangiii" sio wewe kweli?
Kuna dogo ni Mmasai mchanganyiko yuko poa sana sura, kifua ila flat kazidiwa na MakondaYesuuuu na Maria [emoji1787]
So you speak from experience Sir 🤔.........Asifiaye mvua imemnyea.
Noma na Nusu na Robo, manyoko kumbe ni funika funua namna hivyoNa ndio wanafanya vijana wakatae ndoa, niliacha kuwaheshimu pale mmoja wao ( mke wa mtu) kuniambie nimpe laki moja alafu nichakate mbususu akiwa hana wasi wasi kabisa usoni
Na hawaonagi kama ni shidaNoma na Nusu na Robo, manyoko kumbe ni funika funua namna hivyo
[emoji91][emoji91][emoji91] noumaaaah nimekumbukaa mbalii daaah.WEUSI_SAFARI LYRICS
Lyrics
Safari - Nikki Wa Pili
...
where is money oh!!
where is my honey njoo
Bila we ni presha nakesha
ah tupendane safari ya mapenzi kitaani
aziza Anita Anne
toka Nani anitukane
eti Sina pozi Sina money
niweke pozi au nikuchane
nikupe Kiki ujulikane
hakuna Kiki just fun
Sina mshahara Ila sholout
mziki biashara
wananitaka leo wakina Sarah
sio me sio joh sio g warara
watoto wanaipenda asali
watoto hawapendi ukali
hawapendi safari maisha kufika ni mbali na Tena kwa msoto mkali
I love u waubani (2)na huku I love
ur money ( uh uh eh)
I love u waubani (money') na huku I love my money
man me na we sijali
safari is not fun
jaman Hawataki kunicrown me
usijali hakianani
dem alidhani me ni jigga
nikakuacha akidhani nitapiga
hakuna gold wacha digger
utachezea wazungu wa nigga
mashoping kutwa kwa maduka
saluni mawigi kusuka
madiscko majoka kuruka
na jina nimwandike kwa chupa
kwa miguu ata nikamaliza moka
mie bado sikua Kanye
kumbe kasister du kitambo kalikua Kardashian
hakuna kitu kichwani dash Yan
watoto wanapenda asali
watoto hawapendi ukali hawapendi safari maisha kufika ni mbali na Tena kwa msoto .mkali
where is my money oh
where is my honey njoo
bila we ni presha nakesha na we (2)
I love u waubani na huku I love ur money
I love u waubani na huku I love my money
I love my money
utanipiga deki nikikudekeza
maisha safari ndo kuwekeza
Mara nataka I phone mmmh!!
nikakanunulia apple kakatafuna Kisha nikakatafuna
kakataka out nikakatoa nje kakapigwa upepo nikakaimbia xo
mapenzi mama ntakupa pepo
Mambo za Nini em karibu depo
mie ni zero juu yako simama pembeni kushoto tukamilishe kumi
watoto wanapenda asali
watoto hawapendi ukali
hawapendi safari
maisha kufika ni mbali na Tena kwa msoto mkali eh oooh.
where is my money oh
where is my honey njoo
bila we ni presha nakesha na we ( 2)
i love u waubani na huku I love ur money
I love u waubani na huku I love my money (money)
lyrics by ig alwayswith_mello
Kumbe Countrywide ni Nikki wa Pili ?Hatimae Nikki wa pili kafunguka kwa mara ya kwanza.
Aliyeimba "sweet mangiii" sio wewe kweli?
Hapa umeongea ukweli wenyewYaan kila siku huwa nashangaa mie, maana mitandaoni wanawake wa kaskazini wanakandiwa ila huku uraiani kila kukichaa utaona appearance tag kutoka kwa Gara B, huwa anaweka na tribes bas utaona mchaga, mpare, mmasai, mmeru, yaan na unakuta hapo mlimani city, na ndoa imefana balaaa afu ya gharamaa.
Mwezi uliopitaa Madame wangu wa field alinikuta 4m 3, aseeeh bonge la ndoa, niliona kwa Gara B, ni mmasai yeye. Na mumewe mnyaturu,
Afu hapa wanasemwa vibayaa naonaga, wanaume husika wanashindwa kuendana na hao wanawake, wanaamua kuwa dis, ila ukweli wanawapenda tatizo uwezo wao hauruhusu kuwa nao, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Ndio km yule wa jamàa rapa Nikki Simon aliemfanyia namna gan jamàa ni wa huko huko Arusha?Na hawaonagi kama ni shida
Ye mwenyewe kaachnaa na yule mtarajiwa wake mm ni mchaga ila aisee kuliko niowe mchaga bora nikae singlesweet mangi
Dah, dai na dai bili,
Nyingi nalipa ili,
Njaa isije katili,
Msingi uwe kamili,
Vocha jumatano, elf moja Mia tano,
Jiunge bando la chuo,
Mpaka tena jumatano,
Sina takataka,
Caterpillar, kata kila demu anaenitaka,
Kata kila shorts,
Ila wanasema, kila demu anataka kila, mwanaume amkatie pochi,
Sitakupa Indian hair,
Ntakupa mtaji wakuwauzia,
Brazilian hair,
Sitakupa brazilian hair,
Ntakupa mtaji wakuwauzia,
Perruvian hair,
You're humble and lovely all day everydayItakuwa kuna sehemu amenifumania mimi halisi [emoji19]
Nimepokea sifa [emoji3059]
Hizi tabia mbona hazina ukabila?Na ndio wanafanya vijana wakatae ndoa, niliacha kuwaheshimu pale mmoja wao ( mke wa mtu) aliponiambia nimpe laki moja alafu nichakate mbususu akiwa hana wasi wasi kabisa usoni
Huwezi jua, huenda alikufahamu kwa id nyingine, leo anajitambulisha kwa id nyingine. Basi Mologolo😜Itakuwa kuna sehemu amenifumania mimi halisi 😒
Nimepokea sifa 🥰
Unajuaje papuchi hatembezi? UngeulizaKwenye kutafuta hela na wasifu,nilienda Arusha nikaikuta pisi kali inatembeza nguo, ingekuwa dar angekuwa anatembeza papuchi.
Yaan unataka kusema wanawake wa Arusha wana Pesa kuwazidi wanaume wao waliowaoa yaan wanaume wa Arusha waliooa wameolewa au unamaanisha nini ? Kwako DepalYaan kila siku huwa nashangaa mie, maana mitandaoni wanawake wa kaskazini wanakandiwa ila huku uraiani kila kukichaa utaona appearance tag kutoka kwa Gara B, huwa anaweka na tribes bas utaona mchaga, mpare, mmasai, mmeru, yaan na unakuta hapo mlimani city, na ndoa imefana balaaa afu ya gharamaa.
Mwezi uliopitaa Madame wangu wa field alinikuta 4m 3, aseeeh bonge la ndoa, niliona kwa Gara B, ni mmasai yeye. Na mumewe mnyaturu,
Afu hapa wanasemwa vibayaa naonaga, wanaume husika wanashindwa kuendana na hao wanawake, wanaamua kuwa dis, ila ukweli wanawapenda tatizo uwezo wao hauruhusu kuwa nao, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]