Mabinti wa Kaskazini(Arusha & Moshi) Ni Tatizo, Wameshindikana. Be Warned!

Mabinti wa Kaskazini(Arusha & Moshi) Ni Tatizo, Wameshindikana. Be Warned!

.........Asifiaye mvua imemnyea.
So you speak from experience Sir 🤔

Unajua kuyasemea vibaya hayo makabila inakuwa kama kuyaharibia Image yao, kuna Mabinti zetu watakosa Wame kwa maneno yako ujue.

Manake kama ni ishu ya Changamoto za ndoa, ipo kila Kabila. Muhimu vijana kumuhusisha Mungu wakati wa kutafuta wenza wao wa ndoa na maisha.

Ukichagua Mke kwa kigezo cha Tako, siku hizi kuna matako ya China na Uturuki yamejaa tele. Mungu awasaidie
 
WEUSI_SAFARI LYRICS

Lyrics​

Safari - Nikki Wa Pili
...
where is money oh!!
where is my honey njoo
Bila we ni presha nakesha
ah tupendane safari ya mapenzi kitaani
aziza Anita Anne
toka Nani anitukane
eti Sina pozi Sina money
niweke pozi au nikuchane
nikupe Kiki ujulikane
hakuna Kiki just fun
Sina mshahara Ila sholout
mziki biashara
wananitaka leo wakina Sarah
sio me sio joh sio g warara
watoto wanaipenda asali
watoto hawapendi ukali
hawapendi safari maisha kufika ni mbali na Tena kwa msoto mkali
I love u waubani (2)na huku I love
ur money ( uh uh eh)
I love u waubani (money') na huku I love my money
man me na we sijali
safari is not fun
jaman Hawataki kunicrown me
usijali hakianani
dem alidhani me ni jigga
nikakuacha akidhani nitapiga
hakuna gold wacha digger
utachezea wazungu wa nigga
mashoping kutwa kwa maduka
saluni mawigi kusuka
madiscko majoka kuruka
na jina nimwandike kwa chupa
kwa miguu ata nikamaliza moka
mie bado sikua Kanye
kumbe kasister du kitambo kalikua Kardashian
hakuna kitu kichwani dash Yan
watoto wanapenda asali
watoto hawapendi ukali hawapendi safari maisha kufika ni mbali na Tena kwa msoto .mkali
where is my money oh
where is my honey njoo
bila we ni presha nakesha na we (2)
I love u waubani na huku I love ur money
I love u waubani na huku I love my money
I love my money
utanipiga deki nikikudekeza
maisha safari ndo kuwekeza
Mara nataka I phone mmmh!!
nikakanunulia apple kakatafuna Kisha nikakatafuna
kakataka out nikakatoa nje kakapigwa upepo nikakaimbia xo
mapenzi mama ntakupa pepo
Mambo za Nini em karibu depo
mie ni zero juu yako simama pembeni kushoto tukamilishe kumi
watoto wanapenda asali
watoto hawapendi ukali
hawapendi safari
maisha kufika ni mbali na Tena kwa msoto mkali eh oooh.
where is my money oh
where is my honey njoo
bila we ni presha nakesha na we ( 2)
i love u waubani na huku I love ur money
I love u waubani na huku I love my money (money)
lyrics by ig alwayswith_mello
[emoji91][emoji91][emoji91] noumaaaah nimekumbukaa mbalii daaah.

Leta na ule wa "kanifuata"
 
Yaan kila siku huwa nashangaa mie, maana mitandaoni wanawake wa kaskazini wanakandiwa ila huku uraiani kila kukichaa utaona appearance tag kutoka kwa Gara B, huwa anaweka na tribes bas utaona mchaga, mpare, mmasai, mmeru, yaan na unakuta hapo mlimani city, na ndoa imefana balaaa afu ya gharamaa.

Mwezi uliopitaa Madame wangu wa field alinikuta 4m 3, aseeeh bonge la ndoa, niliona kwa Gara B, ni mmasai yeye. Na mumewe mnyaturu,

Afu hapa wanasemwa vibayaa naonaga, wanaume husika wanashindwa kuendana na hao wanawake, wanaamua kuwa dis, ila ukweli wanawapenda tatizo uwezo wao hauruhusu kuwa nao, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Hapa umeongea ukweli wenyew

wanaume tutafute pesa tuache mboyoyo mingiii
 
sweet mangi

Dah, dai na dai bili,
Nyingi nalipa ili,
Njaa isije katili,
Msingi uwe kamili,
Vocha jumatano, elf moja Mia tano,
Jiunge bando la chuo,
Mpaka tena jumatano,
Sina takataka,
Caterpillar, kata kila demu anaenitaka,
Kata kila shorts,
Ila wanasema, kila demu anataka kila, mwanaume amkatie pochi,
Sitakupa Indian hair,
Ntakupa mtaji wakuwauzia,
Brazilian hair,
Sitakupa brazilian hair,
Ntakupa mtaji wakuwauzia,
Perruvian hair,
Ye mwenyewe kaachnaa na yule mtarajiwa wake mm ni mchaga ila aisee kuliko niowe mchaga bora nikae single
 
Baada ya wachaga wenzao kuwakimbia Siku hizi wanailewa kanda ya ziwa kwa Wasukuma na Wahaya. Ndo hawa mnaosikia kwamba wanaolewa kwa ndoa za gharama kubwa. Huko kanda ya ziwa waoaji wanafuata rangi na mabinti wanafuata mapenzi.
 
Yaan kila siku huwa nashangaa mie, maana mitandaoni wanawake wa kaskazini wanakandiwa ila huku uraiani kila kukichaa utaona appearance tag kutoka kwa Gara B, huwa anaweka na tribes bas utaona mchaga, mpare, mmasai, mmeru, yaan na unakuta hapo mlimani city, na ndoa imefana balaaa afu ya gharamaa.

Mwezi uliopitaa Madame wangu wa field alinikuta 4m 3, aseeeh bonge la ndoa, niliona kwa Gara B, ni mmasai yeye. Na mumewe mnyaturu,

Afu hapa wanasemwa vibayaa naonaga, wanaume husika wanashindwa kuendana na hao wanawake, wanaamua kuwa dis, ila ukweli wanawapenda tatizo uwezo wao hauruhusu kuwa nao, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Yaan unataka kusema wanawake wa Arusha wana Pesa kuwazidi wanaume wao waliowaoa yaan wanaume wa Arusha waliooa wameolewa au unamaanisha nini ? Kwako Depal
 
Back
Top Bottom