Tetesi: Machache aliyonieleza mfanyakazi wa TPA yana ukweli?

Tetesi: Machache aliyonieleza mfanyakazi wa TPA yana ukweli?

Naeleza kwa ufupi. Wenye kuelewa haraka hongereni.
  1. Bajeti ya Bandari inakata Sept 2023 ambapo kwa mujibu wake anasema kuanzia Oktoba TPA itakuwa ktk wakati mgumu kwenye kujiendesha
  2. DPW walipaswa kuanza shuguli bandarini mnamo Oktoba 2023. Lakini mpaka sasa seems deal halijafikia muafaka.
  3. Siyo kweli kwamba Watanzania hawana uwezo wa kuendesha bandari bali ufanisi hauonekani kwa sababu watawala wamekinga mirija yao bandarini.
  4. Endapo serikali ingeunda mamlaka inayojiendesha kibiashara kusimamia bandari na kuwepo nanusimamizi wa kizalendo, bandari zetu zingeweza kuleta tija mara kumi zaidi ya kinachotarajiwa kuletwa na DPW
Najua humu JF wapo wenye kuyaelewa haya mambo yanavyokwenda, je hizi taarifa zimekaaje?
1. Budget zote za uendeshaji, manunuzi na nyinginezo katika taasisi za serikali hipangwa na kupitishwa katika bunge la bajeti. Amekadiriaje kuwa kuanzia wakati huo pesa haitakuwepo na ukizingatia shirika halihitaji ruzuku kujiendesha kwamba bandari inafungwa?

2. Ni ngumu sana kwa DPE kuwa ingeanza shughuli mwaka huu hata kama kila kitu kingekua smooth. Handling and passing over activities za bandari sio kama kuuziana dalaala kuwa ukiuziana leo basi kesho utaanzakuamsha asbuhi kubeba abiria. Atupe timeframe iliyosema DPW angeanza kazi October.

3. Hili fuatilia mwenyewe utaujua ukweli. Kama wafanyakazi wa bandari ni mafisadi na wezi ama hao unaoita viongozi ndio mafisadi wa bandari utapata jibu.

4. Mkuu kuwa na bandari pekee sio kigezo cha mtu kupitishia mizigo katika bandari yako na ndio maana kuna masuala mengi ya kibiashara yanayoamua watu wapitie kwako. Hii ni debate tena kubwa tu na sio kwa tuhuma ndogo ama slight accusations kama hizi.

Mkuu kila mtu amekua akiongea lake kuhusu bandari na kama ilivyo kawaida ya majungu kila anayelipata analifanya ku'amplify hivyo kupoteza uhalisia wa mpika majungu wa mwanzo na wa mwisho.

Katika hili suala watu tunapaswa kusoma sanaaaa na kuchimba sana maandiko ya wataalamu katika PORT BUSINESS ili tuuelewe ukweli lakini kama kawaida yetu sisi watanzania ni wavivu kusoma na tunapenda kusimuliwa zaidi kuliko kusoma na siwezi kushangaa kukuta mtu anapondea ile IGA lakini ukimuuliza kama umesoma mkataba husika kwa niliokutana nao ni 80% hawakuusoma waliishia kupata clips na kusimuliwa.

Tunapaswa kutumia akili yetu kwanza kabla hatujatoka nje kutafuta msaada lakini tutafute uhalisia kwa neutral party tunaweza kuokota lolote
 
Naeleza kwa ufupi. Wenye kuelewa haraka hongereni.
  1. Bajeti ya Bandari inakata Sept 2023 ambapo kwa mujibu wake anasema kuanzia Oktoba TPA itakuwa ktk wakati mgumu kwenye kujiendesha
  2. DPW walipaswa kuanza shuguli bandarini mnamo Oktoba 2023. Lakini mpaka sasa seems deal halijafikia muafaka.
  3. Siyo kweli kwamba Watanzania hawana uwezo wa kuendesha bandari bali ufanisi hauonekani kwa sababu watawala wamekinga mirija yao bandarini.
  4. Endapo serikali ingeunda mamlaka inayojiendesha kibiashara kusimamia bandari na kuwepo nanusimamizi wa kizalendo, bandari zetu zingeweza kuleta tija mara kumi zaidi ya kinachotarajiwa kuletwa na DPW
Najua humu JF wapo wenye kuyaelewa haya mambo yanavyokwenda, je hizi taarifa zimekaaje?
Itakua kweli. Hao wenye mirija bandarini ndio wameona bora waiuze kabisa. Na ndio wasiyotaka usimamizi imara ili waweze kuendeleza unyonyaji wao. Rais na serikali yake wawajibike sio kutaka kuwapa dubai kutwaa bandari za nchi yetu. Vinginevyo 2025 tuibwage ccm chini.
 
mimi natamani wanipe niendeshe banandari.

nahisi point ya 3 ina ka ukweli fulani. Tanzania tuna matajiri wengi why wasipewe tenda hii kwa mkataba mzuri ?
Watawala hawana imani na ninyi raia
 
1. Budget zote za uendeshaji, manunuzi na nyinginezo katika taasisi za serikali hipangwa na kupitishwa katika bunge la bajeti. Amekadiriaje kuwa kuanzia wakati huo pesa haitakuwepo na ukizingatia shirika halihitaji ruzuku kujiendesha kwamba bandari inafungwa?

2. Ni ngumu sana kwa DPE kuwa ingeanza shughuli mwaka huu hata kama kila kitu kingekua smooth. Handling and passing over activities za bandari sio kama kuuziana dalaala kuwa ukiuziana leo basi kesho utaanzakuamsha asbuhi kubeba abiria. Atupe timeframe iliyosema DPW angeanza kazi October.

3. Hili fuatilia mwenyewe utaujua ukweli. Kama wafanyakazi wa bandari ni mafisadi na wezi ama hao unaoita viongozi ndio mafisadi wa bandari utapata jibu.

4. Mkuu kuwa na bandari pekee sio kigezo cha mtu kupitishia mizigo katika bandari yako na ndio maana kuna masuala mengi ya kibiashara yanayoamua watu wapitie kwako. Hii ni debate tena kubwa tu na sio kwa tuhuma ndogo ama slight accusations kama hizi.

Mkuu kila mtu amekua akiongea lake kuhusu bandari na kama ilivyo kawaida ya majungu kila anayelipata analifanya ku'amplify hivyo kupoteza uhalisia wa mpika majungu wa mwanzo na wa mwisho.

Katika hili suala watu tunapaswa kusoma sanaaaa na kuchimba sana maandiko ya wataalamu katika PORT BUSINESS ili tuuelewe ukweli lakini kama kawaida yetu sisi watanzania ni wavivu kusoma na tunapenda kusimuliwa zaidi kuliko kusoma na siwezi kushangaa kukuta mtu anapondea ile IGA lakini ukimuuliza kama umesoma mkataba husika kwa niliokutana nao ni 80% hawakuusoma waliishia kupata clips na kusimuliwa.

Tunapaswa kutumia akili yetu kwanza kabla hatujatoka nje kutafuta msaada lakini tutafute uhalisia kwa neutral party tunaweza kuokota lolote
Kidoogo naanza kupata nuru
 
Naeleza kwa ufupi. Wenye kuelewa haraka hongereni.
  1. Bajeti ya Bandari inakata Sept 2023 ambapo kwa mujibu wake anasema kuanzia Oktoba TPA itakuwa ktk wakati mgumu kwenye kujiendesha
  2. DPW walipaswa kuanza shuguli bandarini mnamo Oktoba 2023. Lakini mpaka sasa seems deal halijafikia muafaka.
  3. Siyo kweli kwamba Watanzania hawana uwezo wa kuendesha bandari bali ufanisi hauonekani kwa sababu watawala wamekinga mirija yao bandarini.
  4. Endapo serikali ingeunda mamlaka inayojiendesha kibiashara kusimamia bandari na kuwepo nanusimamizi wa kizalendo, bandari zetu zingeweza kuleta tija mara kumi zaidi ya kinachotarajiwa kuletwa na DPW
Najua humu JF wapo wenye kuyaelewa haya mambo yanavyokwenda, je hizi taarifa zimekaaje?
Bandari ni mto w pesa usiokauka, serikali iwape..
 
JPM alifanya trip kadhaa pale bandarini mara baada tu ya kuingia madarakani. Haikuwa kazi rahisi kuikata ile mirija pale.

Huyu mama ameingia madarakani akaanza kuwachekea hao wezi akidhani JPM alikuwa kichaa kuwanyoosha.

Sasa anadhani DPW watafanya nini? Shida ni yeye, amekuta mifumo imara kaamua kuibomoa kwa ushauri mbovu aliopewa na hao wezi waliotega mirija yao hapo.

As long as anaongoza nchi kwa kulipa fadhila kwa maswahiba asahau kuhusu ufanisi. Kwanini alimwondoa Kakoko pale? Nani alimshauri? Arejee hatua zake nyuma atawajua wabaya wake.
Kakoko Ana mafaili mengi Sana Siku akiyamwaga panachafuka.
 
JPM alifanya trip kadhaa pale bandarini mara baada tu ya kuingia madarakani. Haikuwa kazi rahisi kuikata ile mirija pale.

Huyu mama ameingia madarakani akaanza kuwachekea hao wezi akidhani JPM alikuwa kichaa kuwanyoosha.

Sasa anadhani DPW watafanya nini? Shida ni yeye, amekuta mifumo imara kaamua kuibomoa kwa ushauri mbovu aliopewa na hao wezi waliotega mirija yao hapo.

As long as anaongoza nchi kwa kulipa fadhila kwa maswahiba asahau kuhusu ufanisi. Kwanini alimwondoa Kakoko pale? Nani alimshauri? Arejee hatua zake nyuma atawajua wabaya wake.
Mkuu tuweke records sawa. Wakati Samia anaingia madarakani hadi hivi sasa hakuna major changes alizofanya zaidi ya kutowaongeza muda TICTS na ameamua kutoa room ya uwekezaji kwa mwingine na sehemu nyingine ya bandari ili kuboresha utendaji zaidi na faida zaidi na wanadai kuwa hali ya kipato kwa serikali tokea pale bandarini imeongezeka(naweza kurekebishwa).

Kwani kuna mfumo gani mwingine alioubadili nijifanyie updates hapa
 
Nidhamu ilikuwepo mkuu.

Siku magufuli anatangazwa Kuwa amefariki watu walihamishia matrioni majumbani mwao .
Alipoingia Samia akakuta hazina ni nyeupe wakamdamganya Kuwa JPM hakufanya Kitu.
Yule MTU aliifanya kazi kubwa sana .

Nilitofautiana Naye aliposhindwa kuzuga Hata kumpa pole Tundu Lisu. Na kuvuruga uchaguzi na kuibeba CCM . Kuibeba CCM Ilikua ni Kama kumlaza mtoto mchanga kwenye Chumba chenye Siafu.

Lakini mambo Mengi JPM alikua Yuko Sahihi sana.
Nchi hii haihitaji mjomba kuja kuendeleza zaidi ya kupata Rais mwenye ujasiri na roho ngumu ya kuiua CCM na kuwaacha Wezi wapambane na Hali zao.

Bandari na miundombinu mingi Ilikua inawekwa Vizuri Ili uanze kukusanya pesa Kwa Kasi.

Hivi umewahi kujiuliza pesa zinazokusanywa kwenye mizani Kila MAHALI, masoko, Stendi Kila Halmashauri, vituo vya mafuta, Nyumba Asilimia kubwa katikati ya miji ni za NHC. Pesa karibu asilimia 60 mpaka 70 zinaishia mifukoni Kwa watu . Hivi Soko kama la kariakoo linapataje hasara. Stendi Kama ya Mbezi inapataje hasara? Shirika la Nyumba linapataje hasara, bandari inapataje hasara?
Watu wanajiunganishia bomba la mafuta kuelekea majumbani mwao halafu wanabembelezwa Badala ya kuzsmishwa kwenye kisima cha mafuta na kutiwa kiberiti.

Watanzania watapataje ajira Kwa Mwarabu wakati wametangaziwa Kwa Wazi Kuwa sio waaminifu ,ni Wezi na wasiojituma!! ?
Watu Kama Hao Kwa nini wasinyooshwe kwanza Kwa miaka 20 Ili wabadikike kwanza ndipo waendane na Kasi ya utendaji Wa Dunia unaohitaji watu waadilifu. CCM mpaka Karne hii Bado Wanaweka watu Wa kuchota pesa za kampeni kwenye mashirika ya umma na Kisha Kurudi madarakani kuiba Tena.
Mfano tu Yule Aliyeiba pesa za Benki ya Walimu alipata uteuzi Badala ya kufungwa halafu utegemee banki ile iweze kuwanufaisha walimu?

Pesa za Tasaff ni wizi mtupu lakini ndio bajeti yake inaongezwa baadala ya kunyoosha kwanza wezi na kuwafunga gerezani Ili anayeingia upya awe muoga na Kuwa mwadilifu .
Tabia zinatengwa na jamii kulingana na mazingira . Wizi ukizidi Lazima pawe na hatua Kali na SIO kubembelezana Kama Yule Mkurugenzi Wa maje alivochukizwa na Mafisadi wanaoletea vimemo mezani halafu waziri anawalamba Miguu . Ingekua Mimi ningempiga Chini waziri nimpe yule Dada kazi mana anaonekana kukerwa na Uovu unaorudisha Nyuma maendeleo ya watu.
Naunga mkono

Kana kwamba hao wezi sijui sio waaminifu wameteuliwa na serikali ya chama kingine.
 
JPM alifanya trip kadhaa pale bandarini mara baada tu ya kuingia madarakani. Haikuwa kazi rahisi kuikata ile mirija pale.

Huyu mama ameingia madarakani akaanza kuwachekea hao wezi akidhani JPM alikuwa kichaa kuwanyoosha.

Sasa anadhani DPW watafanya nini? Shida ni yeye, amekuta mifumo imara kaamua kuibomoa kwa ushauri mbovu aliopewa na hao wezi waliotega mirija yao hapo.

As long as anaongoza nchi kwa kulipa fadhila kwa maswahiba asahau kuhusu ufanisi. Kwanini alimwondoa Kakoko pale? Nani alimshauri? Arejee hatua zake nyuma atawajua wabaya wake.
Kungekuwa na mifumo imara rais asingehangaika na maziara ya kustukiza ya mchongo!
 
Kwann tusinunue management ya kuendesha shughuli zetu za uchumi toka nje na kuipa full mamlaka.
Hata Kama watalipwa mishahara mikubwa kuliko kubinafsisha
 
Naeleza kwa ufupi. Wenye kuelewa haraka hongereni.
  1. Bajeti ya Bandari inakata Sept 2023 ambapo kwa mujibu wake anasema kuanzia Oktoba TPA itakuwa ktk wakati mgumu kwenye kujiendesha
  2. DPW walipaswa kuanza shuguli bandarini mnamo Oktoba 2023. Lakini mpaka sasa seems deal halijafikia muafaka.
  3. Siyo kweli kwamba Watanzania hawana uwezo wa kuendesha bandari bali ufanisi hauonekani kwa sababu watawala wamekinga mirija yao bandarini.
  4. Endapo serikali ingeunda mamlaka inayojiendesha kibiashara kusimamia bandari na kuwepo nanusimamizi wa kizalendo, bandari zetu zingeweza kuleta tija mara kumi zaidi ya kinachotarajiwa kuletwa na DPW
Najua humu JF wapo wenye kuyaelewa haya mambo yanavyokwenda, je hizi taarifa zimekaaje?
Bila kujali ulilotaka kuweka hapa, rekebisha hapo namba tatu, kama viongozi ndio wanakula hapo, hiyo DP World watakulaje wakiwaleta? Rekebisha hapo tafadhali.
 
Bila kujali ulilotaka kuweka hapa, rekebisha hapo namba tatu, kama viongozi ndio wanakula hapo, hiyo DP World watakulaje wakiwaleta? Rekebisha hapo tafadhali.
Mkuu
DPW ni upande mmoja na hao wahuni ni kamilisho la upande huo.

Elewa concept
 
Naeleza kwa ufupi. Wenye kuelewa haraka hongereni.
  1. Bajeti ya Bandari inakata Sept 2023 ambapo kwa mujibu wake anasema kuanzia Oktoba TPA itakuwa ktk wakati mgumu kwenye kujiendesha
  2. DPW walipaswa kuanza shuguli bandarini mnamo Oktoba 2023. Lakini mpaka sasa seems deal halijafikia muafaka.
  3. Siyo kweli kwamba Watanzania hawana uwezo wa kuendesha bandari bali ufanisi hauonekani kwa sababu watawala wamekinga mirija yao bandarini.
  4. Endapo serikali ingeunda mamlaka inayojiendesha kibiashara kusimamia bandari na kuwepo nanusimamizi wa kizalendo, bandari zetu zingeweza kuleta tija mara kumi zaidi ya kinachotarajiwa kuletwa na DPW
Najua humu JF wapo wenye kuyaelewa haya mambo yanavyokwenda, je hizi taarifa zimekaaje?
Hayati John Joseph Pombe Magufuri akiwa kama baba wa taifa 🇹🇿 wa pili baada ya wa kwanza Julius nyerere...,.....

Hao wawili wasinge kabidhi sovereign state yetu kwa kijikampuni kitakataka Cha DP WORLD in MWABUKUSI voice.,........
 
Hayati John Joseph Pombe Magufuri akiwa kama baba wa taifa 🇹🇿 wa pili baada ya wa kwanza Julius nyerere...,.....

Hao wawili wasinge kabidhi sovereign state yetu kwa kijikampuni kitakataka Cha DP WORLD in MWABUKUSI voice.,........
Tujikumbushe sababu na dhima ya kutoipa CCM kura hapo 2025
 
Back
Top Bottom