Kentsuhcy Wrudate
JF-Expert Member
- Aug 20, 2019
- 1,075
- 653
Sayansi ndogo sana hio. Ukiwa na negative energy kubwa mafanikio yako yatakua hafifu. Usijawe na negative mindset.Hizo elimu zingine zimekuwepo kabla ya sayansi.Vipi kuhusu nguvu za asili mfano negative na positive energy na jinsi zinavyoathiri watu je sayansi inayo majibu?
Na sahihi usemacho ni utapeli mtupu [emoji16]Sayansi ina majibu. Sayansi ipo kwaajili ya kutafuta majibu. Ww ndio umejifungia kwenye box... nilishawahi kua muamini. Ila kwenye dini fix tu zimejaa. Nimesoma biblia yote, ninesoma baadhi ya aya za quran. Hamna kitu humo...
Mungu hayupo ndio Kwa sababu sifa zinazo elezea uwepo ndio Zina zidi kuthubitisha kuwa hayupo Kwa Wenye akili , Mungu mjuzi wa yote Kwanini amuumbe shetani wakati alikuwa anajua kuwa atakuja kumsaliti !?Kwahiyo wewe unakiri MUNGU HAYUPO, sindio?
Unahoja nzito sana ni vigumu Kwa low thinkers kukuelewaKama kila kitu sio lazima kiwe na chanzo basi hata ulimwengu hauna chanzo
Kama unakubali akili zetu haziwezi kufikiria kwa usahihi kwasababu ziko limited, utajuaje kuwa hata hilo wazo la kusema muumbaji wa ulimwengu ni Mungu sio muendelezo ule ule wa kufikiria majibu yasio sahihi?
Kabla ya kusema kumuamini Mungu hapo unakuwa umeruka vipengele baadhi ambavyo havijaonesha namna gani umefika hapo
Umejuaje kuna Mungu ambaye anapaswa kuaminiwa?
Ni akili ipi uliyoitumia kujua hilo?
Katika maswali yako uliyojiuliza kuhusu hatma ya ulimwengu nakujibu kwa kukupa maswali zaidi
Hapa nachukua upande wa dini ambao najua wengi ndio mnasimamia
Dini zimesema hapo mwanzo Mungu aliumba mbingu na ardhi
Kumbuka huo ni mwanzo, unaweza kujiuliza kabla ya mwanzo kulikuwaje?
Kama mwanzo umeanza na Mungu kuumba mbingu na ardhi, je huo sio mwanzo wa uwepo wa Mungu pia?
Kama Mungu alikuwepo kabla basi huo sio mwanzo
Lakini utajiuliza tena alikuwa akiishi wapi maana mbingu na ardhi kaviumba leo ambayo ndio mwanzo, na yeye wansema ni wamilele. Alikuwa akiishi wapi?
Haya huko pia alipokuwa akiishi kuliumbwa na nani?
Na kama kulikuwa kuna sehemu anaishi bado tu hii ya ulimwengu na ardhi itaendelea kuhesabika kama mwanzo?
Au tuseme ni mwanzo wa uumbaji na tukubaliane kwamba hakukuwa na uimbaji mwingine uliotangulia kabla ya huo?
Hapo kuna maswali mengi magumu naomba tupaache tuelekee section ya pili na huwezi kukuta pastor ana hubiri hoja tata kama hizo
Haya tujiulize mazingira ya uumbaji yalivyofanyika
Mfano leo hii ukitaka kuchimba shimo lazima utaanzia juu ya ardhi, nikiwa na maana kwamba utasimama ukiwa hapo na likikamilika utaweza kuingia ndani
Leo hii ukimkuta mtu yupo shimoni baada ya kuchimba shimo itakuwa ni rahisi kufikiria kuwa kabla ya kuingia shimoni kulikuwa na ardhi ambayo iko level ambapo hapo ndio alisimama akachimba mpaka kutengeneza shimo
Sasa Mungu aliumba ulimwengu akiwa wapi?
Huwezi kufikiria aliumba ulimwengu akiwa ndani ya ulimwengu kwasababu itaonekana hapo anaufanyia repair kwa maana ya kwamba ulikwisha jengwa
Sayansi haina uwezo wa kutibu magonjwa ya kiroho mfano ukimwi,ushoga,uteja, uzinzi, laana nk. Bado sayansi ni elimu changa sana kumudu kujibu KILA kitu.Sayansi ndogo sana hio. Ukiwa na negative energy kubwa mafanikio yako yatakua hafifu. Usijawe na negative mindset.
Kwa uzoefu wangu wa kufanya kazi na wabongo pamoja na watu wa ulaya, wabongo asilimia kubwa tuna negative mindset kuliko wao. Na ndio maana wao wanafanikiwa zaidi
Waache wajifurahishe na imaginary stories mi pia na enjoy sana story za namna hiyo1. Hakuna ushaidi wowote kuhusu ulimwengu usionekana wala huwezi kuleta ushahidi wowote ivo basi kisayansi hakuna kitu kama ulimwengu usioonekana.
2. Sayansi inamajibu kuhusu ndoto
3. "Nguvi ya mawazo" unamaana gani kusema ivo? Ukiwa na msongo wa mawazo unajirisk kupata matatizo ya akili...
4. Roho? Hakuna uwezekano wa kuprove existence ya roho, ivo hakuna kitu kama roho
5. Hakuna maisha baada ya kifo
6. Viumbe vilivo katika sayari nyingine havijagunduliwa. Kama vipo, vipi sayari gani? Itakua rahisi kuprove uwepo wao...
7. Asili ya mwanadamu, kuna theories nyingi zinazo suggest asili yetu. Uumbaji ikiwa far off from the truth...
8. Chuki, wivu, hasira, upendo? Hivi vitu vinategemea sana na jinsi mtu alivokizwa toka utotoni, mazingira aliopo na vitu kama ivo
9. Sayansi haiamini katika mungu, muumba wa ulimwengu wote. Inategemea unadefine vipi neno "mungu"
10. Kwenye uchawi tumepigwa, hamna kitu kama icho[emoji38]
Hawa wameamua kutupigisha stori za kufikirikaUnahoja nzito sana ni vigumu Kwa low thinkers kukuelewa
Mungu yupi na kwasababu gani?Bora kuamini kuwa Mungu yupo.
Sayansi haina uwezo wa kutibu magonjwa ya kiroho mfano ukimwi,ushoga,uteja, uzinzi, laana nk. Bado sayansi ni elimu changa sana kumudu kujibu KILA kitu.
Tukitoka hapo tujadili majoka yanayowapa watu mali...Waache wajifurahishe na imaginary stories mi pia na enjoy sana story za namna hiyo
Wakimaliza kujadili ulimwengu usio onekana waniite tutanue mjadala zaidi kwa kujadili Unicorn wa pink asiyeonekana na nitawahoji kujua ni kiasi gani wanakubaliana na stori hiyo
Kama kila kitu sio lazima kiwe na chanzo basi hata ulimwengu hauna chanzo
Kama unakubali akili zetu haziwezi kufikiria kwa usahihi kwasababu ziko limited, utajuaje kuwa hata hilo wazo la kusema muumbaji wa ulimwengu ni Mungu sio muendelezo ule ule wa kufikiria majibu yasio sahihi?
Kabla ya kusema kumuamini Mungu hapo unakuwa umeruka vipengele baadhi ambavyo havijaonesha namna gani umefika hapo
Umejuaje kuna Mungu ambaye anapaswa kuaminiwa?
Ni akili ipi uliyoitumia kujua hilo?
Katika maswali yako uliyojiuliza kuhusu hatma ya ulimwengu nakujibu kwa kukupa maswali zaidi
Hapa nachukua upande wa dini ambao najua wengi ndio mnasimamia
Dini zimesema hapo mwanzo Mungu aliumba mbingu na ardhi
Kumbuka huo ni mwanzo, unaweza kujiuliza kabla ya mwanzo kulikuwaje?
Kama mwanzo umeanza na Mungu kuumba mbingu na ardhi, je huo sio mwanzo wa uwepo wa Mungu pia?
Kama Mungu alikuwepo kabla basi huo sio mwanzo
Lakini utajiuliza tena alikuwa akiishi wapi maana mbingu na ardhi kaviumba leo ambayo ndio mwanzo, na yeye wansema ni wamilele. Alikuwa akiishi wapi?
Haya huko pia alipokuwa akiishi kuliumbwa na nani?
Na kama kulikuwa kuna sehemu anaishi bado tu hii ya ulimwengu na ardhi itaendelea kuhesabika kama mwanzo?
Au tuseme ni mwanzo wa uumbaji na tukubaliane kwamba hakukuwa na uimbaji mwingine uliotangulia kabla ya huo?
Hapo kuna maswali mengi magumu naomba tupaache tuelekee section ya pili na huwezi kukuta pastor ana hubiri hoja tata kama hizo
Haya tujiulize mazingira ya uumbaji yalivyofanyika
Mfano leo hii ukitaka kuchimba shimo lazima utaanzia juu ya ardhi, nikiwa na maana kwamba utasimama ukiwa hapo na likikamilika utaweza kuingia ndani
Leo hii ukimkuta mtu yupo shimoni baada ya kuchimba shimo itakuwa ni rahisi kufikiria kuwa kabla ya kuingia shimoni kulikuwa na ardhi ambayo iko level ambapo hapo ndio alisimama akachimba mpaka kutengeneza shimo
Sasa Mungu aliumba ulimwengu akiwa wapi?
Huwezi kufikiria aliumba ulimwengu akiwa ndani ya ulimwengu kwasababu itaonekana hapo anaufanyia repair kwa maana ya kwamba ulikwisha jengwa
Hilo swala la spirit tunaelewa ni guard kuzuia maswali magumu.Maswali ya ki-mwili kweli kweli !! 🤣🤣, kumfananisha Mungu na mchimba shimo aliyeingia shimoni!!🤣🤣.
God is a Spirit, He exist spiritually and performs consciously and Wisely in disciplinary whatever He likes. He embodies everything and He is not Occupied by any thing, He is eternity and every thing comes from Him and exist and some perish under His commandments. Huwezi kuyachukua mazingira ya kibinadamu (space time) na kuyafanya ya apply kwa Mungu aliyeyaumba hayo mazingira kwani Yeye ni beyond uumbaji wake, Usije ukauliza kama Mungu anaishi je anavuta Oxygen kiasi gani na anakunywa maji lita ngapi nk ??!🤣🤣
Hilo swala la spirit tunaelewa ni guard kuzuia maswali magumu.
Ukisema Mungu ni roho na kwamba sio kitu tangible utapata kigugumizi pale utapokuwa ukimuelezea sifa zake
Vitabu vyenu vimesema Mungu wenu ameketi kwenye kiti cha enzi, sasa kisicho hitaji space kivipi tena upande wa pili wa stori kitu hicho kinaelezewa kuwa kimekaa sehemu fulani?
Kama Mungu ana makazi yake mbinguni na tunaweza kuyajadili kuwa aliyaumba, kwanini swala la kuhoji mahali alipokuwa akiishi kabla ya kuumba hiyo mbingu likose majibu kwa kigezo cha roho?
[emoji817]Ukubwa na udogo wa kitu huonyesha ukuu wa Mungu, ingawa kwenye post sikuzungumzia kuhusu vitu vidogo.
Kwanza Kuna vitu unabidi uvielewe kuhusu dini na imani;
•Nimesema kuwa (according to religious teachings), hatujapewa elimu juu vitu vyote. Akili ya binadamu ni limited.
Hata science bado haiwezi kuelezea mambo mengi ambayo tunayaona kila siku.
Hiyo science unayoiamini bado haina majibu juu ya mambo mengi tu;
Mfano
a. Kwanini tunalala?
b. Kwanini tunaota?
c. Kwanini tunapiga miayo?
d. Kwanini nyanya ina gini nyingi zaidi ya binadamu?
e. Mysteries of black holes
f. How magic works?
g. Source of disappearances in Bermuda triangle
Jiulize ni asilimia ngapi ya ulimwengu ishakuwa explored na binadamu?
Huko mbali, wanasayansi wenyewe wanasema ni asilimia tano tu ya bahari ndio imegunduliwa.
Vip kuhusu hii solar system yetu?
Vipi kuhusu our milky way galaxy?
Then what about billion of galaxies out there?
Kuamini Mungu kwanza you have to submit to the will of God. You have to admit that your mind, level of thinking, intellect and observation are very weak kitu ambacho atheist wengi hawataki kukubali.
Kama akili yako haiwezi kusolve vitu vidogo tu vipi inaweza kudiscuss vitu vikubwa kama creation. Binadamu alieshindwa kujua what is going on in Bermuda triangle!![emoji1787]
Kama akili yako imeshindwa kuaccomodate kuwa Mungu ndio mkubwa zaidi, yeye ndio tata zaidi, hana chanzo, hatakuwa na mwisho na yeye ndio kaumba least complex beings.
Vipi wewe unaamini universe ilianza as tiny particle? Hiyo particle ilitokea wapi? iliundwa na vitu gani, hivyo vitu vilitokea wapi? How can something emerge from nothing? Mwisho wa siku utakuja kuconclude kwamba akili yako haiwezi KAMWE kutolea maelezo vitu vyote. Science is true lakini ina LIMIT yake, uelewa wetu una limit pia.
Msingi mkubwa wa dini/imani ni belief. Hata science imejengwa katika kuamini na kwa ufupi kila taarifa ili ikubalike unapaswa kuiamini.
Kwa layman, kivipi unakubali kuwa binadamu alitua mwezini?
Kivipi unakubali picha za NASA ni real? Sio editing?
Kivipi unakubali uwepo wa black holes na haujawahi kushika hata binoculars/telescope?
Huko mbali, umeshahi kuziona sayari katika mfumo wetu wa jua kwa kutumia devices?
Unaamini matukio ya kihistoria? Je una empirical evidences at you hand?
Kama unakubali kuwepo kwa vitu hivyo basi wewe pia unaamini tu (not witness), na hii haimaanishi kuwa vitu hivyo havipo.
Kwanza ili uamini, unatakiwa kupewa evidence, na evidence ya uwepo wa Mungu ni vitabu vya Mungu, Maisha ya Manabii na Mambo waliyoyafanya.
Pili ili kuithibitisha taarifa fulani you only need to trust the informer (sio lazima information iwe perceived katika sense organ zako)
Kama mnavyowaamini NASA, Historians, researchers, theorists and philosophers ndivyo hivyo nasisi tunawaamini Manabii, their miracles, revelations, books of God n.k.
Haya yote tunayaongea ni kugusia tu kati ya vingi vilivyozungumziwa, bali ushahidi wa uwepo wa Mungu upo katika vitabu vyake. Ni uvivu wa kusoma lakini Kama utasoma vitabu hivyo basi hiyo doubt uliyokuwa nayo itaondoka.
Kuna kila aina ya ushahidi kwenye vitabu hivyo lakini MMEGOMA kuchukua maarifa huko.
Kwa ufupi tu, kama hivi vitabu vya dini vilitungwa na watu, viliwezaje kuzungumzia mambo ya kisayansi ambayo leo yanathibitishwa kuwa ni kweli.
Mfano katika Quran vimezungumziwa vitu vingi ambavyo vinaendana na modern science
-Embryology
-The sky's protection
-Beginning of universe
-Iron within meteorites
-The meeting of the seas
-Sun moving in orbit (galactic revolution of solar system)
-Mountains as stakes
-Expansion of the universe
-Pain receptors and many more.
Katika kutofautiana, unaweza ukachagua cha kuamini na ukakitafutia sababu za kuamini lakini kuna upande mmoja tu ambao uko sahihi.
[emoji23]Maswali ya ki-mwili kweli kweli !! [emoji1787][emoji1787], kumfananisha Mungu na mchimba shimo aliyeingia shimoni!![emoji1787][emoji1787].
God is a Spirit, He exist spiritually and performs consciously and Wisely in disciplinary whatever He likes. He embodies everything and He is not Occupied by any thing, He is eternity and every thing comes from Him and exist and some perish under His commandments. Huwezi kuyachukua mazingira ya kibinadamu (space time) na kuyafanya ya apply kwa Mungu aliyeyaumba hayo mazingira kwani Yeye ni beyond uumbaji wake, Usije ukauliza kama Mungu anaishi je anavuta Oxygen kiasi gani na anakunywa maji lita ngapi nk ??![emoji1787][emoji1787]
Ukubwa na udogo wa kitu huonyesha ukuu wa Mungu, ingawa kwenye post sikuzungumzia kuhusu vitu vidogo.
Kwanza Kuna vitu unabidi uvielewe kuhusu dini na imani;
•Nimesema kuwa (according to religious teachings), hatujapewa elimu juu vitu vyote. Akili ya binadamu ni limited.
Hata science bado haiwezi kuelezea mambo mengi ambayo tunayaona kila siku.
Hiyo science unayoiamini bado haina majibu juu ya mambo mengi tu;
Mfano
a. Kwanini tunalala?
b. Kwanini tunaota?
c. Kwanini tunapiga miayo?
d. Kwanini nyanya ina gini nyingi zaidi ya binadamu?
e. Mysteries of black holes
f. How magic works?
g. Source of disappearances in Bermuda triangle
Jiulize ni asilimia ngapi ya ulimwengu ishakuwa explored na binadamu?
Huko mbali, wanasayansi wenyewe wanasema ni asilimia tano tu ya bahari ndio imegunduliwa.
Vip kuhusu hii solar system yetu?
Vipi kuhusu our milky way galaxy?
Then what about billion of galaxies out there?
Kuamini Mungu kwanza you have to submit to the will of God. You have to admit that your mind, level of thinking, intellect and observation are very weak kitu ambacho atheist wengi hawataki kukubali.
Kama akili yako haiwezi kusolve vitu vidogo tu vipi inaweza kudiscuss vitu vikubwa kama creation. Binadamu alieshindwa kujua what is going on in Bermuda triangle!![emoji1787]
Kama akili yako imeshindwa kuaccomodate kuwa Mungu ndio mkubwa zaidi, yeye ndio tata zaidi, hana chanzo, hatakuwa na mwisho na yeye ndio kaumba least complex beings.
Vipi wewe unaamini universe ilianza as tiny particle? Hiyo particle ilitokea wapi? iliundwa na vitu gani, hivyo vitu vilitokea wapi? How can something emerge from nothing? Mwisho wa siku utakuja kuconclude kwamba akili yako haiwezi KAMWE kutolea maelezo vitu vyote. Science is true lakini ina LIMIT yake, uelewa wetu una limit pia.
Msingi mkubwa wa dini/imani ni belief. Hata science imejengwa katika kuamini na kwa ufupi kila taarifa ili ikubalike unapaswa kuiamini.
Kwa layman, kivipi unakubali kuwa binadamu alitua mwezini?
Kivipi unakubali picha za NASA ni real? Sio editing?
Kivipi unakubali uwepo wa black holes na haujawahi kushika hata binoculars/telescope?
Huko mbali, umeshahi kuziona sayari katika mfumo wetu wa jua kwa kutumia devices?
Unaamini matukio ya kihistoria? Je una empirical evidences at you hand?
Kama unakubali kuwepo kwa vitu hivyo basi wewe pia unaamini tu (not witness), na hii haimaanishi kuwa vitu hivyo havipo.
Kwanza ili uamini, unatakiwa kupewa evidence, na evidence ya uwepo wa Mungu ni vitabu vya Mungu, Maisha ya Manabii na Mambo waliyoyafanya.
Pili ili kuithibitisha taarifa fulani you only need to trust the informer (sio lazima information iwe perceived katika sense organ zako)
Kama mnavyowaamini NASA, Historians, researchers, theorists and philosophers ndivyo hivyo nasisi tunawaamini Manabii, their miracles, revelations, books of God n.k.
Haya yote tunayaongea ni kugusia tu kati ya vingi vilivyozungumziwa, bali ushahidi wa uwepo wa Mungu upo katika vitabu vyake. Ni uvivu wa kusoma lakini Kama utasoma vitabu hivyo basi hiyo doubt uliyokuwa nayo itaondoka.
Kuna kila aina ya ushahidi kwenye vitabu hivyo lakini MMEGOMA kuchukua maarifa huko.
Kwa ufupi tu, kama hivi vitabu vya dini vilitungwa na watu, viliwezaje kuzungumzia mambo ya kisayansi ambayo leo yanathibitishwa kuwa ni kweli.
Mfano katika Quran vimezungumziwa vitu vingi ambavyo vinaendana na modern science
-Embryology
-The sky's protection
-Beginning of universe
-Iron within meteorites
-The meeting of the seas
-Sun moving in orbit (galactic revolution of solar system)
-Mountains as stakes
-Expansion of the universe
-Pain receptors and many more.
Katika kutofautiana, unaweza ukachagua cha kuamini na ukakitafutia sababu za kuamini lakini kuna upande mmoja tu ambao uko sahihi.
Asilimia kubwa hawaamini uwepo wa Mungu...Hata watu wa anga za juu kama NASA wanaamini uwepo wa Mungu, iweje sisi?
Mungu yupo na ndiyo maana Solar system yenye sayari kibao haijawahi kwenda service kwa ma billions ya miaka.