Wapi nitapata chimbo la barber shop chir kwa bei ya mtanzania wa Hali ya chini? Msaada plz kwa anaejua

Ukifika mataa ya fire ya kwanza kutokea Ubungo
Pale njia panda ya kwenda muhimbili, ingia kulia utaona duka kubwa Lina Vitu Vya barber shop , ukitaka Mtumba utasogea mbele kidogo
 
bei ya jumla ya hizo yebo wakuu na zinapo patikana kwa kariakoo.
 
Naomba msaada wa vifaa vya solar kama chaja za kobe za sola na taa za sola
 

Attachments

  • IMG_20230822_190906.jpg
    175.6 KB · Views: 15
NANUNUA,NAFUNGA NA KUSAFIRISHA BIDHAA KUTOKA KARIAKOO KWENDA MIKOA YOTE TANZANIA NA NCHI JIRANI.

HUDUMA ZA ZIADA
📌Nafuata,nafunga na kusafirisha bidhaa iliyokwisha kununuliwa Kariakoo kupitia mitandao kama fb na insta.
📌Nafanya ukaguzi na kuhakiki ubora wa bidhaa uliyonunua kariakoo kupitia mitandao kama fb na insta.
📌Nafanya malipo ya bidhaa uliyonunua kariakoo kupitia mitandao kama fb na insta baada ya kuhakiki na kukagua ubora wa bidhaa.
📌Nakusanya bidhaa,nazifunga kwa pamoja kisha nasafirisha kama mzigo mmoja kutoka kariakoo kwenda mikoa yote Tanzania na nchi jirani.

SIMU:0745645035 (PIGA/SMS/WHATSAPP)
 
Habari! Nahitaji kujua chimbo la chupa hizi kwa bei ya jumla k koo.asante
 

Attachments

  • Screenshot_20231107_140407_Gallery.jpg
    74.5 KB · Views: 32
Mabegi ya Wanafunzi chimbo lake liko wapi?
January hii hapa
 
Habari! Nahitaji kujua chimbo la chupa hizi kwa bei ya jumla k koo.asante
Nenda pale mtaa vyombo mtaa wa aggrey ..pale maduka yanapoanzia karibu na mtaa wa sikukuu..nenda duka la tatu kutoka duka la wachina kuna mdada anauza , mkono wa kushoto , huyo jumla ndio anaanzania angalau piece 3 . Hizo chupa ziko 4 in 1 pale anauza jumla 15,000
 
Shukraani ndugu.nitafanya ivyo
 
Wapi tapata dj mixer.
 

Attachments

  • maxresdefault.jpg
    174.3 KB · Views: 24
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…