Macho yangu yanaona kama yako? CCM mnaenda kuanguka na anguko lenu ni kubwa sana

Macho yangu yanaona kama yako? CCM mnaenda kuanguka na anguko lenu ni kubwa sana

Serikali ya CCM imepoteza dira na mwelekeo inaelekea shimoni inaenda kuanguka na anguko lake ni kubwa sana imepoteza mvuto inawatia hofu Watanzania masikini walianza na hofu ya internet, kwa maana ya Bando watu walichachamaa sana wakabadili gia angani baadaye tena wakaja na suala la Corona na chanjo watu wametishwa sana tena sana baadaye limekuja suala la kufukuza machinga nalo linafukuta hili ni hatari narudia kusema hili ni hatari linaenda kuiangamiza CCM amini nawaambieni ukweli ni kuwa watu wamedevelop resistance they are insensitive yaani hizi colonial mindset za viongozi wapumbavu ni mbaya sana unakuta yy a Anahudumiwa kila kitu na serikali anaanza tena kukimbizana na wafanyabiashara wadogo wadogo wanaotafuta 2000 ya kuwalisha watoto hivi hali hii ni zaidi ya mfumo wa kinyonyaji

Serikali iache kuhangaika na hawa watu wadogo wadogo ijiulize kuwa hawa mamilioni ya watu ambao haijawaajili wataenda wapi? yaaani kwa kweli very painful sana kwa Kheri CCM
Wewe huna tofauti na hao mnawaita manabii feki kina Gwajima..

Kwanza serikali haiwafukuzi inawapanga watakaokaidi lazima waone moto nchi lazima iwe na utaratibu.

Pili hao ni wachache sana huko mijini ukilinganisha na maelfu ya WaTzn ,tena wengi wako Dar,Mwanza basi kwingine hata hawana impacts ndio maana hujasikia kelele kutoka maeneo mengine.

Kwa hiyo unajilisha upepo, tatizo lilikuzwa na mwendazake lakini hatuwezi endelea hivyo likakua zaidi.

Rais kwa sasa anahangaika kurejesha uchumi wa kabla ya Magu kipindi cha JK ,pesa ilikuwepo na watu walipenda kujiajiri na biashara zilikuwa zinatoka
 
Serikali ya CCM imepoteza dira na mwelekeo inaelekea shimoni inaenda kuanguka na anguko lake ni kubwa sana imepoteza mvuto inawatia hofu Watanzania masikini walianza na hofu ya internet, kwa maana ya Bando watu walichachamaa sana wakabadili gia angani baadaye tena wakaja na suala la Corona na chanjo watu wametishwa sana tena sana baadaye limekuja suala la kufukuza machinga nalo linafukuta hili ni hatari narudia kusema hili ni hatari linaenda kuiangamiza CCM amini nawaambieni ukweli ni kuwa watu wamedevelop resistance they are insensitive yaani hizi colonial mindset za viongozi wapumbavu ni mbaya sana unakuta yy a Anahudumiwa kila kitu na serikali anaanza tena kukimbizana na wafanyabiashara wadogo wadogo wanaotafuta 2000 ya kuwalisha watoto hivi hali hii ni zaidi ya mfumo wa kinyonyaji

Serikali iache kuhangaika na hawa watu wadogo wadogo ijiulize kuwa hawa mamilioni ya watu ambao haijawaajili wataenda wapi? yaaani kwa kweli very painful sana kwa Kheri CCM
Kilichofanyika kwa Wamachinga Dar ni Maafa. Lakini kwanini Makala alirudi na anaeleweka. Haya kabadilika na wakati
 
Kila mtu anatafuta riziki lakini utafutaji huu ni lazima uwe na utaratibu, siyo uwe hovyo hovyo na unaoathiri watu wengine.

Ni ujinga kuruhusu ukiukwaji wa taratibu na sheria, eti kwa sababu ya kupata kura. Serikali ikazanie kutengeneza mazingira yatakayosaidia tuwe na wazalishaji wengi, na siyo wachuuzi. Ni uzalishaji ndio utakaotengeneza ajira, kuongeza mapato ya nchi, utaongeza fedha za kigeni, na kuondoa umaskini. Serikali iwapate super intelligent brains watakaoisaidia kimawazo na kimbinu, namna tutakavyopunguza machinga, na kuongeza wazalishaji.

Mleta mada, ameleta hoja za kipuuzi kabisa. Wapuuzi kama mleta mada kuna siku vibaka wakiwa wengi, wakizuiwa kuwapora watu, atasema waachwe, wakiondolewa CCM itakosa kura.
 
Kwenye hili la Wamachinga nitasimama na serikali yetu. HAIWEZEKANI WAMACHINGA WASAMBAA NA KUFANYA BIASHARA KILA MAHALI..tena tulichelewa sana kufanya uamuzi juu ya hili. BARABARA ZOTE ZA MIJI ZIMEJAA VIBANDA NA HAMANA KULIPA KODI. big NO to Machingas
Wamachinga wanakuathiri vipi wewe? Hauingizi kipato? Watoto wako hawasomi? Chuki na ubinafsi vikizidi ni chanzo cha kuvunjika amani. Jiulize machinga wasikie hayo maneno yako inakuwaje?

Kesho zikianza roba za mbao na matairi kutobolewa na misumari utataka serikali ikusaidie.
 
Kwenye hili la Wamachinga nitasimama na serikali yetu. HAIWEZEKANI WAMACHINGA WASAMBAA NA KUFANYA BIASHARA KILA MAHALI..tena tulichelewa sana kufanya uamuzi juu ya hili. BARABARA ZOTE ZA MIJI ZIMEJAA VIBANDA NA HAMANA KULIPA KODI. big NO to Machingas
Uko sahihi ila ila athali zao kukosa sehemu muafaka watu hao ni kuingiza jeshi mtaani usilojua namna ya kulidhibiti serikali wao ni chanzo cha tatizo wanapaswa walitataue kwa busara kuliko njia wanazotumia maana ni kama uporaji unamtoa mtu.barabarani huku na mtaji wake umemaliza wengi tunaopinga machinga ni kwa vile sisi tunafanya kazi maofisini na kutoona taabu zitawakuta na maamuzi watayochukua baada ya mitaji yao kukata
 
Serikali ya CCM imepoteza dira na mwelekeo inaelekea shimoni inaenda kuanguka na anguko lake ni kubwa sana imepoteza mvuto inawatia hofu Watanzania masikini.

Walianza na hofu ya internet, kwa maana ya Bando watu walichachamaa sana wakabadili gia angani baadaye tena wakaja na suala la Corona na chanjo watu wametishwa sana tena sana baadaye limekuja suala la kufukuza machinga nalo linafukuta.

Hili ni hatari narudia kusema hili ni hatari linaenda kuiangamiza CCM amini nawaambieni ukweli ni kuwa watu wamedevelop resistance they are insensitive yaani hizi colonial mindset za viongozi ni mbaya sana.

Unakuta yeye anahudumiwa kila kitu na Serikali anaanza tena kukimbizana na wafanyabiashara wadogo wadogo wanaotafuta 2000 ya kuwalisha watoto, hivi hali hii ni zaidi ya mfumo wa kinyonyaji.

Serikali iache kuhangaika na hawa watu wadogo wadogo ijiulize kuwa hawa mamilioni ya watu ambao haijawaajili wataenda wapi? yaaani kwa kweli very painful sana kwa Kheri CCM.
Tulia dawa ikuingie we chawa wa mwendazake
 
Anguko kuu la CCM itakuwa ni Independence ya pili kwa Tanzania na Watu wake.
 
Serikali ya CCM imepoteza dira na mwelekeo inaelekea shimoni inaenda kuanguka na anguko lake ni kubwa sana imepoteza mvuto inawatia hofu Watanzania masikini.

Walianza na hofu ya internet, kwa maana ya Bando watu walichachamaa sana wakabadili gia angani baadaye tena wakaja na suala la Corona na chanjo watu wametishwa sana tena sana baadaye limekuja suala la kufukuza machinga nalo linafukuta.

Hili ni hatari narudia kusema hili ni hatari linaenda kuiangamiza CCM amini nawaambieni ukweli ni kuwa watu wamedevelop resistance they are insensitive yaani hizi colonial mindset za viongozi ni mbaya sana.

Unakuta yeye anahudumiwa kila kitu na Serikali anaanza tena kukimbizana na wafanyabiashara wadogo wadogo wanaotafuta 2000 ya kuwalisha watoto, hivi hali hii ni zaidi ya mfumo wa kinyonyaji.

Serikali iache kuhangaika na hawa watu wadogo wadogo ijiulize kuwa hawa mamilioni ya watu ambao haijawaajili wataenda wapi? yaaani kwa kweli very painful sana kwa Kheri CCM.

Inaangushwa na nani?
 
Serikali ya CCM imepoteza dira na mwelekeo inaelekea shimoni inaenda kuanguka na anguko lake ni kubwa sana imepoteza mvuto inawatia hofu Watanzania masikini.

Walianza na hofu ya internet, kwa maana ya Bando watu walichachamaa sana wakabadili gia angani baadaye tena wakaja na suala la Corona na chanjo watu wametishwa sana tena sana baadaye limekuja suala la kufukuza machinga nalo linafukuta.

Hili ni hatari narudia kusema hili ni hatari linaenda kuiangamiza CCM amini nawaambieni ukweli ni kuwa watu wamedevelop resistance they are insensitive yaani hizi colonial mindset za viongozi ni mbaya sana.

Unakuta yeye anahudumiwa kila kitu na Serikali anaanza tena kukimbizana na wafanyabiashara wadogo wadogo wanaotafuta 2000 ya kuwalisha watoto, hivi hali hii ni zaidi ya mfumo wa kinyonyaji.

Serikali iache kuhangaika na hawa watu wadogo wadogo ijiulize kuwa hawa mamilioni ya watu ambao haijawaajili wataenda wapi? yaaani kwa kweli very painful sana kwa Kheri CCM.
Lia lia kama kawaida yetu, tukiwaambia tuandike katiba mpya hamtaki, ujinga na upumbavu tu umetawala ndo maana ccm inawageuza inavyotaka
 
Kwa upinzani upi sasa

Mbona mna macho yanayoona upande mmoja
 
Serikali isiwaguse kabisa wafanyabiashara wadogo wadogo. Waachwe wawe huru kufanya biashara wanavyotaka na vibali wapewe.

Waendelee kupika na kujenga vibanda kandokando ya barabara kwenye maeneo yaliyotengwa kwa dharura na watembea kwa miguu. Kuna wanaolala maeneo hayo, waachwe ni haki yao.

Kuna wanaojisaidia maeneo hayo wasiguswe. Vijana nguvu kazi waendelee kuhama vijijuni waende mijini wakarundikane kariakoo nk waachwe wasiguswe kabisa.

Wafanyabiashara wakubwa wenye maduka wafunge maduka yao na badala yake waendelee kuwatumia ipasavyo wafanyabiashara wadogo wadiogo kuaauzia biashara zao kwa ufanisi mkubwa bila kubugudhiwa sababu hii nchi ni yetu sote
😂kuna watu hawatakuelewa hapa wataishia kukutukana, ngoja waje wazalendo
 
Kwenye hili la Wamachinga nitasimama na serikali yetu. HAIWEZEKANI WAMACHINGA WASAMBAA NA KUFANYA BIASHARA KILA MAHALI..tena tulichelewa sana kufanya uamuzi juu ya hili. BARABARA ZOTE ZA MIJI ZIMEJAA VIBANDA NA HAMANA KULIPA KODI. big NO to Machingas
Sawa machinga ni kero kwajamii yako wewe unayekosa parking ukienda kariakoo, je huyu mtu unaweza kumuhudumia yeye na familia yake kuanzia kula kulala kuvaa na matibabu pindi atakapovunjiwa banda lake au biashara yake nyumbani kwako? Kama wabunge wenu wanasema wahitimu wajiajiri wasitegemee kuajiriwa. Unataka wafanye nini?
Kisa tu wewe upo kwenye system inayokupendelea , usije ona wenzako wanao taabika kwenye jua kali na mvua kuwa hawana haki yakula mema ya nchi hii .
 
Hao wamachinga ni raia wa nchi gani? Kama ni Watz hamna kitu kitatokea, mark my words...
 
Kwenye hili la Wamachinga nitasimama na serikali yetu. HAIWEZEKANI WAMACHINGA WASAMBAA NA KUFANYA BIASHARA KILA MAHALI..tena tulichelewa sana kufanya uamuzi juu ya hili. BARABARA ZOTE ZA MIJI ZIMEJAA VIBANDA NA HAMANA KULIPA KODI. big NO to Machingas
Machinga ni baba, ni mama, ni babu, ni bibi, ni mke, ni mume, ni mtoto! Dkt Magufuli aliposema msiwabuguzi alimaanisha tutafute njia inayowapa pia unafuu chinga. Tusiwabague wala kuwaona wabaya.
 
CCM inawaogopa wamachinga; Machinga leo ana uwezo wa kupanga biashara yake mbele ya nyumba yako na huthubutu kumgusa!!

Machinga walishagundua weakness ya CCM - sasa Kariako halipitiki - huku mtaani nako njia zote ni meza na matenga matupu !!

CCM oyeeeeee
Machinga oyeeeeeeee
Jiji la Dar es salaam oyeeeee

kazi iendeleee...!!
 
Hili suala sio la kujibu kwa hasira wala kukurupuka hata kidogo, tukianza kuongelea maisha ya kijijini ambako asilimia tisini ya wakazi vijiji vingi shughuli zao ni kilimo, hali ni mbaya sana.

Aisee labda uwe hujaishi vijijini, kwa wale wasio na rasilimali fedha either kwa kupata kutoka kwenye source nyingine mfano biashara, ajira n.k inayowawezesha kufanya kilimo cha kisasa kwa eneo kubwa, kuwa na maghara/ uthubutu wa kuhifadhi mazao baada ya mavuno na kusubiri mpaka bei ya bidhaa kuwa ya kuridhisha au ikiwezekana kusafirisha mazao mpaka kwenye maeneo yenye masoko mazuri, hakika watu wataendelea kukimbia vijijini na kujazana mjini.

Kijijini sio pazuri kabisa kama huna mtaji, elimu bora ya msingi, pembejeo na vitendea kazi vya kisasa for large scale farming. Tusiongee tu kirahisi, serikali, sekta binafsi wanapaswa kuwekeza zaidi huko ukizingatia mijini kunajiendesha kwenyewe tayari kwa kiwango chake.

Machinga wapo mpaka Paris ufaransa, issue ni wamepangwaje? Serikali ingeweka standards za mmachinga kwa ku-demonstrate catalog ya setup ya mmachinga wa chini, wakati na wajuu. Pia wangewaita kama ambavyo wanaweza fanya kampeni wakajaza wananchi kwenye majukwaa nchi nzima, wakawafundisha namna nzuri za kujipanga, kuwe na siku ya wamachinga ikibidi katika mwaka, maana siku ya wafanyabiashara maarufu kama sabasaba ni kama sio yao, hata hivyo wafanyabiashara wakubwa wanawakataa hawa jamaa kwamba wanawabania riziki. Wengi utawaona siku ya nane nane ambayo sio yao pia.

Tuwasaidie maana nao ni watanzania pia na wana haki zao mbalimbali katika nchi yao. Ni rahisi sana kukosoa ikiwa ofisi yako ni rasmi, mmepewa mpaka usafiri na vitu kama hivyo lazima utawaona wao kama kero.

By the way, wamachinga ndio wateja wakubwa wa vyoo vya kulipia, hivyo kuziingizia mapato almashauri zetu, wanaojisaidia hovyo mara nyingi ni wapita njia na haswa haswa Mateja, watoto wa mitaani na makuli ambao ndio haswa wanaolala barabarani. Usiuongelee mtaa, ingia mtaani na uijue mitaa hakika hutalaumu sana zaidi ya kutafuta suluhu ya kudumu. Kweli hatupaswi kuishi kama inzi lakini pia hatupaswi fanya wananchi wetu kuwa kama wakimbizi nchini kwao kisa standards zisizoeleweka.

Uchafu wa miji serikali inamchango mkubwa sana, imagine kila mfuko wa mkate, kopo la juice/soda, pampers, mpaka hayo mabaki ya matunda, maganda ya miwa, na kila aina ya uchafu serikali imechukua asilimia yake kwenye kodi, tozo, ushuru au kwa namna nyingine yeyote, wanashindwa vipi kushirikiana na makampuni ya bidhaa husika kuweka miji safi? Hawatujali sisi na afya zetu hao. Bado wanamgambo, sungusungu, skauti, polisi, jeshi n.k ila sasa wao busy na siasa tu January to December. Hatuna viongozi wazuri bado.
Umeongea nonsense kabisa

Pathetic fool
 
Kwenye hili la Wamachinga nitasimama na serikali yetu. HAIWEZEKANI WAMACHINGA WASAMBAA NA KUFANYA BIASHARA KILA MAHALI..tena tulichelewa sana kufanya uamuzi juu ya hili. BARABARA ZOTE ZA MIJI ZIMEJAA VIBANDA NA HAMANA KULIPA KODI. big NO to Machingas
Tatizo haohao waliruhusu hii hali eti wanaweza kuiondoa?haiwezekani wamefika mwisho panahitajika wengine wanaoweza kufikiri tofauti na hao vinginevyo itakuwa ni vurugu na hakuna kitacho kaa sawa kama mnabisha shauri yenu
 
Hujanielewa, nimesema, wapewe catalog/ setup ( kwa lugha nyepesi naweza kusema muundo) na serikali kwamba hii ndio standard, wao sasa wakatengeneze za kwao, ila ziwe nafuu na zakupendezesha mji.
Unaongelea nchi gani? Huyo mmachinga wa kumpa kiwango atengeneze ni wa hapa! Na akishatengeneza aliweke wapi zaidi ya katikati ya barabara.
Wengi wa hao wamachinga wanalala kwenye mabanda yao.
 
  • Thanks
Reactions: Ame
Back
Top Bottom