Akilinjema
JF-Expert Member
- Aug 9, 2016
- 11,430
- 11,813
Acha kulalamika, tunaomba utueleze tena kwa evidence tatizo ni nini?. Kama huna ushahidi kaa kimya.Kwa hili Mama Samia naomba tafakari upya, tena Mungu akuongoze sana
Haya mambo nyie mnayatoa wapi mbona wengne hatujauona huo mkataba? Kwa nn hawataki kutupatia mbona sauti za akna Nappe na Makamba wanamteta malaika zilitolewa?Ajabu yenyewe watu wanaolilia kupandishiwa mishahara, kujengewa barabara, kupewa ulinzi, watoto zao waende shule nzuri, serikali ikidhi wafanyakazi sector ya afya na vifaa tiba vya kileo.
Kutaja mambo machache ambayo hakuna mwekezaji atakufanyia kwa hela yake ni jukumu la serikali pekee; ndio watu hao hao wanaopiga kelele serikali iingie mikataba itakayopteza mapato chungu mzima kwa miaka kibao na kukosa hayo mahitaji wanayolilia kuwafikia haraka.
Mchina umeambiwa anarudisha hela yake ndani ya miaka 10 kwa makadirio ya juu ya mapato na kwa makadirio ya chini miaka 15; serikali wamewapa miaka 30 ya kuvuna. Mchina hataki anataka apewe 99 years.
Mchina anataka industrial park iwe sehemu ya mkataba wa bandari; serikali imemwambia hapana ajenge hivyo viwanda viwe vyake mwenyewe na sehemu wamempa bure serikali ivyo viwanja imeshavilipia fidia.
Isipokuwa huo uwekezaji wa viwanda uwe kama wa wawekezaji wengine wa kigeni kama kuna benefits zozote watazipata huko huko wizara ya viwanda kama wenzao hakina Dangote; lakini TPA aina interest na viwanda vya mchina.
Mie nadhani kuna wakati tukubali tu hii nchi walalahoi siku tukichoka ndio tutaikomboa; kwa sasa kama mkate unaenda kinywani vitu vingine kubali tu yaishe. Maana wale wanaopiganiwa ndio wanazi wakubwa wakushangilia ujinga.
That reminds me of Spike Lee classic movie “She is gotta have it” ndio watanzania kuna wasaa unaona waachwe tu yawakute.
Mboyi utapata tabu sana!! Bagamoyo ni muhimu sana kuliko utumbo wako ulioandika hapa wewe PUSH GANG.........Kazi iendelee Mikumi tena kwa Mh SSH.Wazee tumekwisha rasmi. End of the game.
Bado ardhi tu, tubaki kuwa watumwa ndani ya nchi yetu wenyewe.
China inalalamikiwa kote Duniani Kwa kufanya miradi inayowaumiza wazawa, sasa zamu yetu imefika rasmi.
Walau kwa hili, Magufuli tutamkumbuka mno. Hii bandari ina maslahi makubwa sana kwa Wachina kuliko watz.
Wewe kwa ujinga wako unajua hiyo miradi yote umeitekeleza mwenyewe? Huna haya kuwaza hivi? Eti tunaitekeleza wenyewe, pimbi sana wewe.Busara ikutume ufiche huu upumbavu wako. Miradi yote uliyoisema hapo juu tunaitekeleza wenyewe, labda kama unataka kuona mikataba ya ujenzi na wakandarasi waliopata tender.
Huu mradi wa Bagamoyo unakwenda kutekelezwa na wachina na watu wa oman. Swali ulililotakiwa kujiuliza, Sisi kama taifa tunakwenda kunufaikaje? Hoja zilizotolewa na Serikali iliyopita, lini zilishawahi kupatiwa majibu? Na kwanini wachina wanaung'ang'ania sana huu mradi kuliko hata sisi ambao tunaambiwa ndo wanufaika wakuu. Unahisi wanatupenda sana
Sent from my SM-A730F using JamiiForums mobile app
Hiyo ni hujuma, ililetwa awamu ya 4. Bingo kubwa walichuma kuidhinisha mradi huo. Vizazi vijavyo vitalia sana.Sikuwahi kudhani Tanzania tuna uhaba wa Port mpk tuwauzie wachina Bagamoyo tumekarabati Bandari ya Dsm na Bandari zingine kwa gharama kubwa kabisa lakini leo tunakwenda kuziua bandari zote
Namuona Yuda ila sijui alimsaliti mwenzie kwa vipande 30 vya fedha au kwa ahadi ya kupewa kitu!!
Bunge lipi, la spika Ndugai?Wewe ulikuwa segerea nn wkt wanasema vifungu vilivyomo kwenye mkataba? Kama huyo mama yenu ni mkweli na mwenye kutaka mema kwa watu wake apeleke Bungeni huo Mkataba ukachambuliwe
Hivi mikataba si ndio siri?Halafu hata ukipelekwa upya bungeni kwa sasa napata tashwishi .
Kina nani watasoma huo mkataba between lines?
Kina nani watausoma kwa umakini ?
Kama haitasomwa kwa umakini hata mjadala wake hautakuwa na manufaa.
Waliosemekana kuwa hodari wa kusoma mikataba na nyaraka bungeni ilisemekana ni wabunge wa upinzani kwa kiasi kikubwa,
Je wapo ?
Kina Dr. Slaa, Lissu, Zitto Kabwe, John Mnyika, Heche n.k
Jamaa walikuwa hawalali wanasoma kwa umakini mkubwa sana.
Wakati wengine wameenda kwenye starehe na kulala wao wanakomaa kusoma kwa manufaa ya Umma.
Siku hizi kina nani watakesha kusoma mikataba, budget na nyaraka kabla ya kujadiliwa na kupitishwa na bunge?
Wanaolalamika ni wavivu wa kazi na kufikiri, Africa imewalalamikia wazungu kwa miaka yote na kila siku wanawalaumu kuwa ndio chanzo cha umasikini, ukweli umasikini ni uamuzi wao, China ilikubali kushirikiana na wazungu na sana ni Matajari, Lazima tukubali kushirikiana na nchi zilizoendelea ili kupata maendeleo, Na ushirika lazima uwe wa muda mrefu.Wazee tumekwisha rasmi. End of the game.
Bado ardhi tu, tubaki kuwa watumwa ndani ya nchi yetu wenyewe.
China inalalamikiwa kote Duniani Kwa kufanya miradi inayowaumiza wazawa, sasa zamu yetu imefika rasmi.
Walau kwa hili, Magufuli tutamkumbuka mno. Hii bandari ina maslahi makubwa sana kwa Wachina kuliko watz.
Hapa ni pdf guy akijaribu kutazama umuhimu wa Bahari kwa sisi watz. Nimemuelewa sana huyu jamaa.
Hapa pia kuna video ya Magufuli akijaribu kuweka dondoo ya nini kilichomo kwenye Mkataba wa Bandari ya Wachina (Bagamoyo).
Kuna uzi pia Lowassa akisema huu mkataba atauvunjilia mbali huko.
Huenda watanzania Mungu amewakataa hapa Duniani na hata Mbinguni. Endeleeni kumuuliza Mungu Kwa upole na unyenyekevu mkubwa sana.
Kwenye Madini tumepotezwa. Hayati JK Nyerere aliwahi kusema Madini tusichimbe hadi tuwe na uwezo wa kuhakikisha yanatunufaisha, hatukusikia na sasa kila mtu anajua kinachoendelea kwenye madini.
Gesi imepigiwa kelele nyingi haijawahi kutokea lakini kila mtu anajua kinachoendelea na gesi kwa wananchi wa kawaida. Ndio ardhi yetu inaondoka hivyo wazee.
Hizi ni nyakati za kujikabidhi mbele za Mungu kila mmoja kwa imani yake. Tumekwisha, muda si mrefu hili litabainika. Hakuna ajira, watu hawana hela, maisha magumu hakuna matumaini tena.
Mungu uturehemu.
Angetukataa asingemteua mwendazake kuwa kiongozi wa malaika...Mungu labda kashatukataa mbinguni na ardhini ni vile hatujui tu
Hatuogopi ila tunataka tuwekwe wazi na uwe wa win-win situationHata Dubai wangeugomea uwekezaji wa matrilion ya dola miaka hiyo leo hii nchi yao isingekuwa HUB ya dunia kwa usafiri wa anga na mahotel ya kifahari.
Watanzania msiogope uwekezaji...hiyo ni roho ya kimaskini.
Au anywe sumu amfuate mwendazake kwenye uongozi wa malaikaNakushauri ubadilishe URAIA
Yani tuna bandari mbili karibu hv kwanini bandari hiyo isijengwe Tanga au Mtwara.. Yani sasa bandari ya Dar itakuwa na kazi ganiSikuwahi kudhani Tanzania tuna uhaba wa Port mpk tuwauzie wachina Bagamoyo tumekarabati Bandari ya Dsm na Bandari zingine kwa gharama kubwa kabisa lakini leo tunakwenda kuziua bandari zote
Namuona Yuda ila sijui alimsaliti mwenzie kwa vipande 30 vya fedha au kwa ahadi ya kupewa kitu!!
Akili huna hiko ndio minachojuaHata Dubai wangeugomea uwekezaji wa matrilion ya dola miaka hiyo leo hii nchi yao isingekuwa HUB ya dunia kwa usafiri wa anga na mahotel ya kifahari.
Watanzania msiogope uwekezaji...hiyo ni roho ya kimaskini.