Machozi yamenitoka kusikia Bandari ya Bagamoyo itajengwa, tena na Wachina

Lowasa alisema mradi haufai.

Magufuli alisema ni mjinga pekee atakaye saini mkataba na akauvunja.

Kwanini rais Samia hauweki mkataba wazi tuusome wote.
Atakuwa ndio yule kichaa anayeweza sign huo mkataba
 
Tangu lini China kawa adui wa Tanzania au CCM? Sio hawa wachina ambao balozi wao wanahudhuria vikao vya chama?

Sio Magufuli aliyekuwa anatumbia kuwa wazungu ni mabeberu? Lini aliwahi kusema wachina ni mabeberu?

Sent from my SM-A207F using JamiiForums mobile app
 
Asee wajinga bado mpo wengi
Wewe mwelevu tuelimishe basi sisi wajinga. Au utasema hayo niliyoyaorodhesha yako kwa mjibu wa sheria yetu ya Export Processing Zones Act (EPZ act).
 
Kwa hili Mama Samia naomba tafakari upya, tena Mungu akuongoze sana
Acha kumshirikisha Mungu kwenye vitu vya kipuuzi hujui chochote kuhusu bandari ya bagamoyo umelishwa matango pori na mwendazake unabwabwaja kama fala humu
 
Haa hayo ndo mnadanganywa eti meli za mita 400 nani amekuambia ndo tu zitakazokuja hapo
 
Ndo ukweli huo na automatic bandari ya dar itakufa natural death , na jira za ndugu zetu zitapotea maana bandari bagamoyo itakuwa Kama ni guazou ndogo , serikali wataweza kutia mguu hapo
 
Wapiga dili wamesharudi kwa speed....
muda utasema
 
Acha kumshirikisha Mungu kwenye vitu vya kipuuzi hujui chochote kuhusu bandari ya bagamoyo umelishwa matango pori na mwendazake unabwabwaja kama fala humu
Sawa. Najua umetanguliza mbele matusi kwa kuwa ndio hazina yako.

Mm acha nitangulize hekima na busara Kwa sababu ndio hazina yangu, yaani kila mmoja ana hazina yake hapa, na kila mtu hutoa alichonacho. Yaani km una harufu mbaya unatoa harufu mbaya na kama una harufu nzuri basi unatoa harufu nzuri. Sayansi na hesabu ya maisha ipo hvyo siku zote
 

Hili sidhani kama lina baraka ya watanzania walio wengi. Kuna watu wameamua kufanya hili jambo bila kujari watanzania wanaliona vipi. Litaleta manjonzi na lawama. Liangaliwe upya
 
Acha kukifanya una uchungu wakati ulikuwa unashangilia Kijiji cha Chato kujengwa kuwa jiji
 
Huwez ukawa na akili timamu kuja hadharan kumkumbuka mwendazake,kuondoka kwake na kuja kwa mama it's a blessing in disguise,kazin iendelee
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…