Unalialia ungana na wanaodai katiba mpya hii katiba onatengeneza vi-mungu dunia aamkeni ccmWazee tumekwisha rasmi. End of the game.
Bado ardhi tu, tubaki kuwa watumwa ndani ya nchi yetu wenyewe.
China inalalamikiwa kote Duniani Kwa kufanya miradi inayowaumiza wazawa, sasa zamu yetu imefika rasmi.
Walau kwa hili, Magufuli tutamkumbuka mno. Hii bandari ina maslahi makubwa sana kwa Wachina kuliko watz.
Mwenda zake alisema IPO siku tutamkumbuka na bado na baaadoWazee tumekwisha rasmi. End of the game.
Bado ardhi tu, tubaki kuwa watumwa ndani ya nchi yetu wenyewe.
China inalalamikiwa kote Duniani Kwa kufanya miradi inayowaumiza wazawa, sasa zamu yetu imefika rasmi.
Walau kwa hili, Magufuli tutamkumbuka mno. Hii bandari ina maslahi makubwa sana kwa Wachina kuliko watz.
Naona kama naanza kukosa Imani kwake, kweli haburuzwi, lakini wapi wanaomburuza, sasa hivi wema watakaa pembeniKwa hili Mama Samia naomba tafakari upya, tena Mungu akuongoze sana
Tushapigwa,imeshakula kwetuWazee tumekwisha rasmi. End of the game.
Bado ardhi tu, tubaki kuwa watumwa ndani ya nchi yetu wenyewe.
China inalalamikiwa kote Duniani Kwa kufanya miradi inayowaumiza wazawa, sasa zamu yetu imefika rasmi.
Walau kwa hili, Magufuli tutamkumbuka mno. Hii bandari ina maslahi makubwa sana kwa Wachina kuliko watz.
Tuondolee ushamba wa kisukuma hapa!Wazee tumekwisha rasmi. End of the game.
Bado ardhi tu, tubaki kuwa watumwa ndani ya nchi yetu wenyewe.
China inalalamikiwa kote Duniani Kwa kufanya miradi inayowaumiza wazawa, sasa zamu yetu imefika rasmi.
Walau kwa hili, Magufuli tutamkumbuka mno. Hii bandari ina maslahi makubwa sana kwa Wachina kuliko watz.
Hizi ni akili za kijamaa na za kipumbavu kabisa.Sikuwahi kudhani Tanzania tuna uhaba wa Port mpk tuwauzie wachina Bagamoyo tumekarabati Bandari ya Dsm na Bandari zingine kwa gharama kubwa kabisa lakini leo tunakwenda kuziua bandari zote
Namuona Yuda ila sijui alimsaliti mwenzie kwa vipande 30 vya fedha au kwa ahadi ya kupewa kitu!!
Huo wimbo ni kama nyimbo zingine uliimbwa na awamu zote Ila ulichezwa kiakili mno, labda uwe umezaliwa juziMagufuli alituhakikishia wachina ni ndugu zetu
Kwahiyo ndugu zetu au siyo?Huo wimbo ni kama nyimbo zingine uliimbwa na awamu zote Ila ulichezwa kiakili mno, labda uwe umezaliwa juzi
Bunge lipi mkuu? Wakati hii hoja wameifufua wao?Wewe ulikuwa segerea nn wkt wanasema vifungu vilivyomo kwenye mkataba? Kama huyo mama yenu ni mkweli na mwenye kutaka mema kwa watu wake apeleke Bungeni huo Mkataba ukachambuliwe
Mtanzania na mchina wapi na wapi?Kwahiyo ndugu zetu au siyo?
Magufuli aliuawa 100% ili
kupisha haya yanayoendelea kwa sasa nchini!
Hivi viongozi wengine si wajitokeze kukataa huu upunguani waone jinsi wananchi watakavyowaunga mkono?
Majaliwa, CDF, Kabudi, na wengine mnafanya nini???
Kataeni huu ukichaa
na hata mkitishwa ndani ya chama ama katika nafasi zenu!
uendeni hata chama kingine muone mtakavyopokelewa kama mashujaa wa nchi!
Rais ameamua kumfurahisha Kikwete ni sawa!
Shida ni kwamba wengi nao ni wachumia tumbo!
Kiukweli wanaoumia ni wengi kwa huu ujinga unaoendelea kwa sasa Tanzania!
ni swal la muda tu!
Mzee mzee nakuita mara 3 hakuna mtu yeyoye anaeijua shipping vzr akakubali wazo la POB (Port of Bagamoyo) rabda awe ni mfuasi wa hawa madalali wa wachinaHivi mkuu unafahamu malengo hasa makubwa ya hiyo bandari?kwani mnalishwa matango poli tu na kuyamumunya !!bandari ya bagamoyo shughuri zake wala haitahusiana kabisa na bandari nyingine, kama mi meli mikubwa tena mikubwa kweli ya kuanzia mita 400 urefu, yanatoa bidhaa china kwa ajiri ya masoko ya afrika na sehemu nyingine, yanaileta hapo bagamoyo, kuanzia hapo ina bebwa na meli za kawaida na kuipeleka sehemu hizo, na bidhaa nyingine zitakuwa zinatengenezwa hapo.sasa kwa shughuri hizi hizi bnadari zetu nyingine zitakufa vipi?!!
Kweli me jitu la Morogoro lakini turudi kwenye swali la msingi inakuwaje unahitaji huu mkataba uende bungeni ndio uamini wakati uliamini maneno ya Magu bila mkataba kwenda bungeni? Swala la mkataba kwenda Bungeni ni muhimu lakini kwanini hukuwa unahoji terms za mkataba kipindi cha MaguAlafu sikia usiwe mpuuzi hv unajua Tanzania tuna bandari ngapi? Unajua Tanzania tunapokea meli ngapi kwa Mwaka au mizigo tani ngapi? Ulishawaza au kusikia Tatizo la Bandari ni kukosa Gati (Sehemu za kupaki meli bandarini) Tatizo letu si Upungufu wa Bandari Tatizo letu ni efficient tu na swala hili linafanyiwa kazi Tumechimba berth zote 11 yani kwa mpigo bandari ya Dsm inaweza kupark meli 11 kwa wakati mmoja na zenye ukubwa mbali mbali why tusiboreshe miundombinu ya kuingia na kutoka bandarini kwa malori ,gari moshi kuliko kwenda na huu upuuzi wa POB?
Nisije kuwa naongea na jitu la Morogoro ambalo hata meli alijawahi kuiona.
Unaweza faida zenye mashiko za Bandari ya Bagamoyo ukitoa ajira za vibarua mtakazo pewa na wachina ?Hizi ni akili za kijamaa na za kipumbavu kabisa.
Tulia wewe msukuleMbona huu mradi hata kipofu hawezi kutia saini yake.[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Mchezo unaanza hivi.......
Bidhaa nyingi zinazoagizwa nje ya nchi zinatoka China na wabia wakuu wa kuagiza bidhaa hizi wanatoka china
Halafu wachina wawe na bandari yao, hivi unategemea hizo bidhaa zitashushwa kwenye bandari ipi?
Wachina watajenga bandari yenye hadhi na yenye uwezo mkubwa wa kuhudumia mizigo mingi kwa wakati mmoja tofauti na hizi bandari zetu nyingine hivyo kupelekea wateja wengi wa mizigo kushusha mizigo yao kwenye hiyo bandari
Mchezo utaisha hivi.....[emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24]
Hakuna mfanyabiashara atakae taka kushusha mizigo kwenye hii bandari ya dar yenye mizengwe mingi
Hili litagharimu taifa kwa miaka mingi Sana
Mama oyeeeee.......