Mtoto wa Shule
JF-Expert Member
- Nov 16, 2014
- 15,133
- 11,914
Mkuu baada ya Nyerere aliyekuwa na machungu na nchi hii aliyefuatani Raid Mpendwa Magufuli. Waliobaki na mamisheni town tu!!!Wazee tumekwisha rasmi. End of the game.
Bado ardhi tu, tubaki kuwa watumwa ndani ya nchi yetu wenyewe.
China inalalamikiwa kote Duniani Kwa kufanya miradi inayowaumiza wazawa, sasa zamu yetu imefika rasmi.
Walau kwa hili, Magufuli tutamkumbuka mno. Hii bandari ina maslahi makubwa sana kwa Wachina kuliko watz.
Wazee tumekwisha rasmi. End of the game.
Bado ardhi tu, tubaki kuwa watumwa ndani ya nchi yetu wenyewe.
China inalalamikiwa kote Duniani Kwa kufanya miradi inayowaumiza wazawa, sasa zamu yetu imefika rasmi.
Walau kwa hili, Magufuli tutamkumbuka mno. Hii bandari ina maslahi makubwa sana kwa Wachina kuliko watz.
Umeandika Upu.uzi kabisa. ama kweli Jiwe alishika akili za wengiMbona huu mradi hata kipofu hawezi kutia saini yake.[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Mchezo unaanza hivi.......
Bidhaa nyingi zinazoagizwa nje ya nchi zinatoka China na wabia wakuu wa kuagiza bidhaa hizi wanatoka china
Halafu wachina wawe na bandari yao, hivi unategemea hizo bidhaa zitashushwa kwenye bandari ipi?
Wachina watajenga bandari yenye hadhi na yenye uwezo mkubwa wa kuhudumia mizigo mingi kwa wakati mmoja tofauti na hizi bandari zetu nyingine hivyo kupelekea wateja wengi wa mizigo kushusha mizigo yao kwenye hiyo bandari
Mchezo utaisha hivi.....[emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24]
Hakuna mfanyabiashara atakae taka kushusha mizigo kwenye hii bandari ya dar yenye mizengwe mingi
Hili litagharimu taifa kwa miaka mingi Sana
Mama oyeeeee.......
Inasikitisha sana Jiwe alifanikiwa sawa ku brainwash wajinga wengi. kwani miradi mingapi imefanyika nchini umeiona mikataba yake?Mh. Rais wangu Mama Samia. Ujue nakuunga sana mkono na miguu. Mimi ni supporter wako kufa kupona, ila Mama nakuomba sana, huu Mkataba wa Bagamoyo, uweke wazi kabisaaa kila kitu kiwe hadharani, plz plz mama, Mama, Mama yangu..
Do this, kila kitu kiwe wazi na kwa kila mtu ili tujue mbivu na mbichi na hii itatoa kila shaka na sintofahamu inayozunguka kwa kila mmoja wetu. Mm binafsi nawajua wachina kama mafisi, sasa Wachina ni hatari sana Mama yangu, nakuomba Mama jamani, tuwekee kila kipengele cha mkataba wazi ili tujua, tunapata nini na Wachina wanapata nini, Wachina sio watu Mama yangu, ni sawa kukubali mazungumzo yaanze upya, hilo sio baya, ila kuondoa sintohamu yoote, weka huu mkataba wazi na utaona hofu, wasiwasi na mashaka yote yatapotea, na mashaka ya wananchi wengi ni haki yao, kwani Wachina wanajulikana walivyofilisi nchi nyingi za kiafrika.. Tunaomba hilo Mama sana sanaa. Mungu tusaidie, Wachina kweli hapana
Wala hata haujui kwa undani ulichoandika na unachokilalamikia.Wazee tumekwisha rasmi. End of the game.
Bado ardhi tu, tubaki kuwa watumwa ndani ya nchi yetu wenyewe.
China inalalamikiwa kote Duniani Kwa kufanya miradi inayowaumiza wazawa, sasa zamu yetu imefika rasmi.
Walau kwa hili, Magufuli tutamkumbuka mno. Hii bandari ina maslahi makubwa sana kwa Wachina kuliko watz.
Kwa tulivyoelezwa na JPam kama yalikuwa kweli basi inasikitisha sana kwamba kuna watu wako tyr kulinda maslah yao kuliko ya Nchi duh ! Mbona hawakumjibu kwa kuitetea kuwa bandari hii Ina maslahi kwa Taifa ??!!! Aisee nimehuzunika, hatuna msimamo kila ajaye ana lake mmhSikuwahi kudhani Tanzania tuna uhaba wa Port mpk tuwauzie wachina Bagamoyo tumekarabati Bandari ya Dsm na Bandari zingine kwa gharama kubwa kabisa lakini leo tunakwenda kuziua bandari zote
Namuona Yuda ila sijui alimsaliti mwenzie kwa vipande 30 vya fedha au kwa ahadi ya kupewa kitu!!
Haya ndiyo matokeo ya kuwa na utawala wa majaribio ambapo anayetawala ni mwingine. Nadhani Kikwete sasa karudi madarakani kwa mlango wa nyuma. Huyu mama muda si mrefu atageuka maafa. Naona kama ruksa ya mwinyi na ubabaishaji na uzururaji wa Kikwete vinarudi kwa mlango wa nyuma. Hapa anachofanya mama ni kuzidi kuiumiza CCM. Wamejisahau baada ya Magufuli kuwaokoa na tishio la kutupwa nje.Wazee tumekwisha rasmi. End of the game.
Bado ardhi tu, tubaki kuwa watumwa ndani ya nchi yetu wenyewe.
China inalalamikiwa kote Duniani Kwa kufanya miradi inayowaumiza wazawa, sasa zamu yetu imefika rasmi.
Walau kwa hili, Magufuli tutamkumbuka mno. Hii bandari ina maslahi makubwa sana kwa Wachina kuliko watz.
Inauma SANA, kila mmoja anakuja na lakeKwa tulivyoelezwa na JPam kama yalikuwa kweli basi inasikitisha sana kwamba kuna watu wako tyr kulinda maslah yao kuliko ya Nchi duh ! Mbona hawakumjibu kwa kuitetea kuwa bandari hii Ina maslahi kwa Taifa ??!!! Aisee nimehuzunika, hatuna msimamo kila ajaye ana lake mmh
AmenUzuri ni kwamba Sheria za kimataifa zinaruhusu nchi husika kuvunja mkataba Kwa maslahi ya Taifa.
Hivyo hawa mabeberu acha waingie mkataba wao wa kilaghai.
Wajenge bandari Yao feki.
Mungu wetu mkuu atainua wakala wake , ataufutilia mbali.
Bandari itajengwa wewe endelea na upuuzi wakoElections 2015 - Lowassa: Serikali yangu itaangalia jinsi ya kuvunja mkataba wa bandari ya Bagamoyo
Leo katika taarifa ya habari ya Channel Ten nimemsikia Rais mtarajiwa wa awamu ya tano Ngoyai Lowassa akisema kwamba Serikali yake itaangalia jinsi ya kuuvunja mkataba wa bandari ya Wachina Bagamoyo. Amesema haoni mantiki ya kutumia mabilioni kujenga bandari moja Bagamoyo wakati bandari za...www.jamiiforums.com
Unaelewe maana ya mkataba au unajifurahishaUzuri ni kwamba Sheria za kimataifa zinaruhusu nchi husika kuvunja mkataba Kwa maslahi ya Taifa.
Hivyo hawa mabeberu acha waingie mkataba wao wa kilaghai.
Wajenge bandari Yao feki.
Mungu wetu mkuu atainua wakala wake , ataufutilia
Ikiwa asili yako ni Iringa unasubiri nini kumaliza kesi?Wazee tumekwisha rasmi. End of the game.
Bado ardhi tu, tubaki kuwa watumwa ndani ya nchi yetu wenyewe.
China inalalamikiwa kote Duniani Kwa kufanya miradi inayowaumiza wazawa, sasa zamu yetu imefika rasmi.
Walau kwa hili, Magufuli tutamkumbuka mno. Hii bandari ina maslahi makubwa sana kwa Wachina kuliko watz.
Katika hiyo miradi yote kuna nchi au kikundi cha watu wanao umiliki?Mkataba wa ununuzi wa ndege uliuona? Ulijiridhisha ulikuwa na maslahi kwa waTz?
Mkataba wa bwawa la Nyerere uliuona? Ulijiridhisha ulikuwa na maslahi kwa waTz?
Mkataba wa SGR (segments zote) uliuona? Ulijiridhisha ulikuwa na maslahi kwa waTz?
Usiwe bendera fuata mkumbo. Hii nchi mikataba haijawahi kuwa na ahueni. Mikataba yote huwa tunapigwa mjomba. Ishu huwa ni nani ananufaika na kupigwa kwetu, nakuhakikishia hata mikataba enzi za Jiwe ilikuwa tunapigwa mno!
Tuungane kudai katiba itakayotaka mikataba yote kuwekwa hadharani kabla haijasainiwa
NB
Sina maslahi na bandari ya Bagamoyo wala siungi mkono mkataba unless uwekwe wazi
Si hatutaki mtu aipite legacy,hiii bandari itamfunika sana shujaa,,Wakati sisi tunajenga nchi, nyie endeleeni kulinda legasi.
Magufuli si alisema wachina ni ndugu zetu?Wazee tumekwisha rasmi. End of the game.
Bado ardhi tu, tubaki kuwa watumwa ndani ya nchi yetu wenyewe.
China inalalamikiwa kote Duniani Kwa kufanya miradi inayowaumiza wazawa, sasa zamu yetu imefika rasmi.
Walau kwa hili, Magufuli tutamkumbuka mno. Hii bandari ina maslahi makubwa sana kwa Wachina kuliko watz.