Madaktari wa Bongo washindwa kutema yai

Mkuu unakosea Sana kutoa maamuzi ya jumla,
Hicho ndo ninachokijua Boss, make nimeishi nao kwa miaka kadhaa enzi tunatoka Arusha na mabasi ya Taqwa unapanda basi SAA kumi jioni, make basi lilikuwa linaanzia sAFARI DAR, then Namanga mpaka NRD, NRB Lodwar, Kakuma JUBA.
Unakaa JUBA visa ikiisha unarudi mpakani unagonga unarudi tena maisha yanaendelea. Enzi hizo bado ukikutwa unachepuka na tayari uko kwenye ndoa shimo linakuhusu mpaka shingoni alafu mawe mpaka ufe. Kama wewe ni balehe viboko 100. Kama sijakosea make ni siku nyingi nimetoka huko. Sisi tulikuwa tunaponea kwa wajasiriamali kutoka Uganda tofauti na hapo utapigwa upwiru mpaka uchakae.
 
Aise,kama ni kweli basi Hali mbaya
 
Na wewe ni Daktari? Siyo "language berrier" ni "language barrier"
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…