Madaktari wa Bongo washindwa kutema yai

Madaktari wa Bongo washindwa kutema yai

Ila Kiingereza bado ni changamoto kubwa sana Kwa wasomi wetu.

Ajabu wale waliosoma miaka ya 60/70/80 wanatema Lugha barabara sijui sisi wengine tunaferi wapi.

Nina rafiki yangu Mzungu anaishi London, weekend hii alinipigia simu Whatsapp, niliongea naye dakika 15 hivi baada ya kumaliza kuongea naye nikawahi Panadol faster maana kichwa kilishaanza kuniuma

Imagine sasa hao Madaktari wenyeji walipaswa kuongea nao Kila Siku masaa 7 ama 8 Kwa Siku 🙌
Mkuu, mbona hata Kiswahili chenyewe huwa tunaongea "broken" mara nyingi tu?

Kwa mfano, hata wewe kwenye "comment" yako hapo juu, kama si "typing error", basi umekosea:

Tunaferi ❎

Tunafeli ✅
 
Sio poa.

Madaktari walitakiwa kuongea Kingereza muda wote wa kazi😆😆😆
Na hapo ndipo utata ulipo

Kuna Ofisi nilifanya kazi miezi 13 hivi, ile Ofisi muda wote wanaongea Kiingereza kasoro Wahudumu tu.

Kusema kweli nilipata tabu sana miezi ya mwanzoni, ila baadaye nikazoea zile Yes/ you know

Changamoto unapotakiwa kuwasilisha taarifa ya kazi ya Mwezi.

Unaenda ku-project pale then unaanza kutiririka na you know you know za kutosha 😅🙌
 
Kwangu Mimi Kiswahili kimechangia kuleta umaskini nchi Tanzania
Niliwahi tembea mikoa mbalimbali sidhani ata kama tunakijua kiswahili vizuri ,sehemu nyingi tu wanapiga kilugha na lafudhi ya kiswahili kibovu tu .

Nchi ya kenya wamenufaika kupitia kiswahili kuliko Tanzania kimataifa na kitaifa .
 
Kusoma MD au degree yoyote Hapa Tz na kujua kuongea kiingereza vizuri ni mambo mawili tofauti

Mfano ukifika chuo kikuu unaweza kukubaliana na hili ,yaani kuwa na degree na kuwa fluent katika kiingereza ni tofauti.
Hii ni Kweli nilikuwa na rafiki yangu msukuma tulikuwa wote chuo kikuu, akaniambia alitegemea akifika chuo ataweza kuongea English, lakini anashanga Yuko chuo na English bado haipandi
 
Mwisho wa mwaka 2023 Wanafunzi wa masoma ya udaktari kutoka Sudan, wanao fadhiliwa masomo Yao na serikali ya tz 🇹🇿, hapa Nchi

Walisambazwa kwenye hospital za hapa Dar es salaam, wakitokea muhimbili, Kwa ajili ya kufanya practical training . Ili kuwapa sehemu zingine Sio wote wakae Tu muhimbili.

Katika hospital walizopelekwa ni mwananyamala, Temeke, ubungo, kigamboni etc.

Waka kabidhiwa Kwa wakuu wa idara mbalimbali Katika hospital hizo.

Cha kushanga wakuu wa idara wakashindwa kuwapa ushirikiano wa kutosha , wakawa Wana kula Kona, wengine wanakuwa wakali ili wasiulizwe maswali.

Shida kubwa ni Kwamba ma daktari walishindwa kuongea Nao English, kama taifa tumeingia matopeni Tena coz masoma wanayosoma ni Kwa lugha ya English.

Kwa hiyo hawa wanafunzi wakawa Wana lalamika kukosa ushirikiano report ikaja kuwa kuna language berrier. Na hawawezi Endelea Tena na practical training Yao, coz hakuna wanaoweza kufanya Nao communication.

So mwanzoni wa February 2024 ikabidi warudishwe muhimbili wakamalizie practical training Yao.

Ushauri: Kiswahili hakina tija Kwa taifa kifutwe mashuleni kabisa.

View attachment 2918900

Kulikuwa na nabii jiwe, pia yule propesa waziri waziri. Kwa hakika walitia fora!
 
Niliwahi tembea mikoa mbalimbali sidhani ata kama tunakijua kiswahili vizuri ,sehemu nyingi tu wanapiga kilugha na lafudhi ya kiswahili kibovu tu .

Nchi ya kenya wamenufaika kupitia kiswahili kuliko Tanzania kimataifa na kitaifa .
Shida inakuja mkenya anaongea English fluently, mbongo SS yes you know
 
Mkuu, mbona hata Kiswahili chenyewe huwa tunaongea "broken" mara nyingi tu?

Kwa mfano, hata wewe kwenye "comment" yako hapo juu, kama si "typing error", basi umekosea:

Tunaferi [emoji735]

Tunafeli [emoji736]
Ata wewe umefeli ,nini maana ya kuongea kiswahili "broken " kwa lugha ya kiswahili,
?
 
Mkuu, mbona hata Kiswahili chenyewe huwa tunaongea "broken" mara nyingi tu?

Kwa mfano, hata wewe kwenye "comment" yako hapo juu, kama si "typing error", basi umekosea:

Tunaferi ❎

Tunafeli ✅
Yeah ni kweli

Japo comfortability tunaipata tukiwa tunaongea Kiswahili zaidi

Miaka fulani nilikuwa Kiranja wa darasa letu la kidato cha 5, kutokana na changamoto ya kupigiana kelele darasani nikawaambia wenzangu pigeni kelele Kwa Kiingereza otherwise naandika Majina ya wapiga kelele

Kwani Kuna waliopiga Kelele basi 😅
 
Mwisho wa mwaka 2023 Wanafunzi wa masoma ya udaktari kutoka Sudan, wanao fadhiliwa masomo Yao na serikali ya tz 🇹🇿, hapa Nchi

Walisambazwa kwenye hospital za hapa Dar es salaam, wakitokea muhimbili, Kwa ajili ya kufanya practical training . Ili kuwapa sehemu zingine Sio wote wakae Tu muhimbili.

Katika hospital walizopelekwa ni mwananyamala, Temeke, ubungo, kigamboni etc.

Waka kabidhiwa Kwa wakuu wa idara mbalimbali Katika hospital hizo.

Cha kushanga wakuu wa idara wakashindwa kuwapa ushirikiano wa kutosha , wakawa Wana kula Kona, wengine wanakuwa wakali ili wasiulizwe maswali.

Shida kubwa ni Kwamba ma daktari walishindwa kuongea Nao English, kama taifa tumeingia matopeni Tena coz masoma wanayosoma ni Kwa lugha ya English.

Kwa hiyo hawa wanafunzi wakawa Wana lalamika kukosa ushirikiano report ikaja kuwa kuna language berrier. Na hawawezi Endelea Tena na practical training Yao, coz hakuna wanaoweza kufanya Nao communication.

So mwanzoni wa February 2024 ikabidi warudishwe muhimbili wakamalizie practical training Yao.

Ushauri: Kiswahili hakina tija Kwa taifa kifutwe mashuleni kabisa.

View attachment 2918900
Nasikia vilikua vijuaji balaa
 
Mwenye shida ndio unajifunza kama Umekuja Bongo kwa Waswahili jifunze lugha...; Unadhani ukienda Russia huko hautajifunza lugha yao ?

Kujua na kuongea lugha au confidence ya kuongea lugha nyingine ni vitu viwili tofauti kabisa; In short Doctors are not measured their prowess by mastering a certain lingo...; kuelewa syallabus na masomo huitaji kuwa mahiri wa language englisha ya kuunga unga haikufanyi hushindwe kuelewa human anatomy
Nchi za nje, unapewa mwaka mmoja wa lugha, hapa tumewapa kipindi gani?
Yes dkt hapimwi kwa lugha, but kuna scenarios unafanya kazi na dkts wa nje? Unadhani universal language ni ipi? English. Am sorry dunia imechange sana, hata wenzetu wana lugha zao, but wana kuwa recommended kufaham zaidi ya lugha moja, miaka ya kukarir only single language inaisha
 
Back
Top Bottom