Madaktari wa Bongo washindwa kutema yai

Madaktari wa Bongo washindwa kutema yai

Kama ingekuwa wanapenda kampani yao wangekuwa karibu nao.... Kingereza kitu hapo sudan kwa kingereza gani basi?
Mlikuwa wakali mkiwaona wanafuata , na Muda mwingine mnakula Kona au kujifungia ofisini.

Yan mlikuwa kama vichaa
 
Ila Kiingereza bado ni changamoto kubwa sana Kwa wasomi wetu.

Ajabu wale waliosoma miaka ya 60/70/80 wanatema Lugha barabara sijui sisi wengine tunaferi wapi.

Nina rafiki yangu Mzungu anaishi London, weekend hii alinipigia simu Whatsapp, niliongea naye dakika 15 hivi baada ya kumaliza kuongea naye nikawahi Panadol faster maana kichwa kilishaanza kuniuma

Imagine sasa hao Madaktari wenyeji walipaswa kuongea nao Kila Siku masaa 7 ama 8 Kwa Siku 🙌
😀😀
 
Mwisho wa mwaka 2023 Wanafunzi wa masoma ya udaktari kutoka Sudan, wanao fadhiliwa masomo Yao na serikali ya tz 🇹🇿, hapa Nchi

Walisambazwa kwenye hospital za hapa Dar es salaam, wakitokea muhimbili, Kwa ajili ya kufanya practical training . Ili kuwapa sehemu zingine Sio wote wakae Tu muhimbili.

Katika hospital walizopelekwa ni mwananyamala, Temeke, ubungo, kigamboni etc.

Waka kabidhiwa Kwa wakuu wa idara mbalimbali Katika hospital hizo.

Cha kushanga wakuu wa idara wakashindwa kuwapa ushirikiano wa kutosha , wakawa Wana kula Kona, wengine wanakuwa wakali ili wasiulizwe maswali.

Shida kubwa ni Kwamba ma daktari walishindwa kuongea Nao English, kama taifa tumeingia matopeni Tena coz masoma wanayosoma ni Kwa lugha ya English.

Kwa hiyo hawa wanafunzi wakawa Wana lalamika kukosa ushirikiano report ikaja kuwa kuna language berrier. Na hawawezi Endelea Tena na practical training Yao, coz hakuna wanaoweza kufanya Nao communication.

So mwanzoni wa February 2024 ikabidi warudishwe muhimbili wakamalizie practical training Yao.

Ushauri: Kiswahili hakina tija Kwa taifa kifutwe mashuleni kabisa.

View attachment 2918900

Mwisho wa mwaka 2023 Wanafunzi wa masoma ya udaktari kutoka Sudan, wanao fadhiliwa masomo Yao na serikali ya tz 🇹🇿, hapa Nchi

Walisambazwa kwenye hospital za hapa Dar es salaam, wakitokea muhimbili, Kwa ajili ya kufanya practical training . Ili kuwapa sehemu zingine Sio wote wakae Tu muhimbili.

Katika hospital walizopelekwa ni mwananyamala, Temeke, ubungo, kigamboni etc.

Waka kabidhiwa Kwa wakuu wa idara mbalimbali Katika hospital hizo.

Cha kushanga wakuu wa idara wakashindwa kuwapa ushirikiano wa kutosha , wakawa Wana kula Kona, wengine wanakuwa wakali ili wasiulizwe maswali.

Shida kubwa ni Kwamba ma daktari walishindwa kuongea Nao English, kama taifa tumeingia matopeni Tena coz masoma wanayosoma ni Kwa lugha ya English.

Kwa hiyo hawa wanafunzi wakawa Wana lalamika kukosa ushirikiano report ikaja kuwa kuna language berrier. Na hawawezi Endelea Tena na practical training Yao, coz hakuna wanaoweza kufanya Nao communication.

So mwanzoni wa February 2024 ikabidi warudishwe muhimbili wakamalizie practical training Yao.

Ushauri: Kiswahili hakina tija Kwa taifa kifutwe mashuleni kabisa.

View attachment 2918900
yani hapo issue ni mchele bongo tena hakuna cha bure weka mchele hapo uone ppo zitavoongea hadi kichina hwang chin hong han
 
Ukiniuliza mimi Ntakwambia kuna Shida nyingine tofauti na Language barrier..
Kwanini..
Kwanza Daktari ndo translator Mkubwa kwenye tasnia..

Kwa sababu anasikiliza Hostoria ya Mgonjwa kwa Kiswahili anaiandika maelezo kwa kingereza..
Halafu akishaiandika anaelezea kwa kiswahili kwa mgonjwa..

Pili sitaki kuamini kwamba Daktari akiwa Muhimbili anakuwa anaongea Kingereza vizuri ila akiwa Temeke,Mwananyamala na Ubongo kingereza kinamponyoka...

Maana yake ni kwamba Daktari akipata ajira mubimbili anaingiwa na pepo la kingereza anaongea.kingereza fresh kabisa....

Daktari huyo huyo akiajiriwa Temeke au Kigamboni pepo la kingereza linamtoka anakuwa hajui kingereza na anakuwa mkali..

Kuna kitu ambacho kinafichwa nyuma ya pazia..

Anywei..
Mafunzo ya Udaktari yote MD mpaka Zaidi ya hapo yanafundishwa kwa lugha ya kingereza hata Practical.zake zote hufundishwa kwa kingereza Presentation za wagonjwa Wodini plus mitihani ya Wagonjwa na clinical yote ni kwa lugha ya kingereza hata akiwa wodini ni hivyo hivyo...

Sasa ghafla mtu ambaye kasoma kingereza miaka 6 bila Chembe ya kiswahili ghalfa anasahau kingereza????
Inashangaza sana na kuchekesha maana watanzania wape habari kichwa watatafuta wao .

Yaani kweli hao jamaa zangu walishindwa hata kuongea kilugha kwa kuchanganya na kiinglishi ili wasudani waseme Tz doctors wana morphology ngumu sana ?

Njooni na lingine sio hili la leo
 
Haha 🤣, itakuwa wizarani wameifikichia pesa zao,
Ma daktari walivyo na madeni 🤣🤣, watauwana
mwenye huo muda ni nani kwanza watu wana vijiwe vyao mazingira ya kazi magumu mambo ni mengi inshort...yani wao wamewamwaga tu kwamba waende wapewe tu ushirikiano bila kuwapoza wazawa mhh sisi tu tulio kua field bila kujituma mwenyewe unatoka mkavu.
 
Inashangaza sana na kuchekesha maana watanzania wape habari kichwa watatafuta wao .

Yaani kweli hao jamaa zangu walishindwa hata kuongea kilugha kwa kuchanganya na kiinglishi ili wasudani waseme Tz doctors wana morphology ngumu sana ?

Njooni na lingine sio hili la leo
Mkuu Hata Sisi tulikataa kabisa ile report, baada ya uchunguzi kufanyika ikabainika wazee English haipandi kabisa.
Japo MD wanadai kuna vitu hawakulipwa
 
shauri: Kiswahili hakina tija Kwa taifa kifutwe mashuleni kabisa.
Kiswahili ni uchafu wa lugha wa kwetu. Tuliema linapokuja suala la international communication, kiingereza hakikwepeki. Rais alishindwa kwenda nje kwa vile kiingereza kilikuwa kinampiga chenga
 
😅😅😅🤣🤣
Nilimisi Kucheka
Huo ndio ukweRiii dokta.

Ukishapata NEUROPATHY au PERIPHERAL NEURAL DAMAGE anakwambia usijali, hizo ni SIDE EFFECTS ZA KAWAIDA. Usijali, relax!!!!!

Miaka ya 2000's wazee wa madawa walituletea SUMU zinazoitwa CHLOROQUINE na QUININE, ukimeza masikio yanakufa kabisa unakuwa KIZIWI!

Lakini madaktari wakawa wanazigawa tu wanakwambia msihofu hizo ni SIDE EFFECTS ZA KAWAIDA TU, relax, hii ni SAYANSI! Hata ukiwa kiziwi haina shida, ni side effects za kawaida tu za KISAYANSII 🥺🧐🙄

Nyie watu mnatisha! Kila dawa kutoka kiwandani mnaisukumiza kwa wananchi bila kuhoji!
 
Ngoja madaktari tutoe utetezi kwenye hili DR Mambo Jambo Dr Restart DR HAYA LAND
Mna kipi cha kuongeza hapa. Ila mimi nadhani madaktari walijaribu kurusha vocal wakachemsha 😃😃 siamini kwamba lugha ndio tatizo
Mi nimeshajibu 😁😁😆😆😃
Kwenye #200 na #41..

Hapo kuna kitu kingine ila sio Kingereza..

Labda angeniambia Kule Temeke ENT ndo kuna wale maDr wachaga yule dada na jamaa wote Watu wa Marangu wale.."Mchaga na Kingereza wapi na wapi"...😀😀
 
Mi nimeshajibu 😁😁😆😆😃
Kwenye #200 na #41..

Hapo kuna kitu kingine ila sio Kingereza..

Labda angeniambia Kule Temeke ENT ndo kuna wale maDr wachaga yule Dada na yule kaka wote Watu wa Marangu wale.."Mchaga na Kingereza wapi na wapi"...
Mkuu kote wamezingua
 
Huo ndio ukweRiii dokta.

Ukishapata NEUROPATHY au PERIPHERAL NEURAL DAMAGE anakwambia usijali, hizo ni SIDE EFFECTS ZA KAWAIDA. Usijali, relax!!!!!

Miaka ya 2000's wazee wa madawa walituletea SUMU zinazoitwa CHLOROQUINE na QUININE, ukimeza masikio yanakufa kabisa unakuwa KIZIWI!

Lakini madaktari wakawa wanazigawa tu wanakwambia msihofu hizo ni SIDE EFFECTS ZA KAWAIDA TU, relax, hii ni SAYANSI! Hata ukiwa kiziwi haina shida, ni side effects za kawaida tu za KISAYANSII 🥺🧐🙄

Nyie watu mnatisha! Kila dawa kutoka kiwandani mnaisukumiza kwa wananchi bila kuhoji!
CHLOROQUINE na QUININE, mseto, hizi zote ni biashara za politicians,
 
Kabla ya kusema kiswahili kifutwe, ilitakiwa maoni yasomeke kuwa. Wale waote wanaokuja kusoma kwetu wajifunze mwaka mmoja kiswahili au hata miwili. Mfano hao madaktari wakapangwa wafany kazi hapa tz na wakatupwa huko sonchombwate wataongea nin na wagonjwa???

Achen utumwa wa fikra mbona ukienda china madaktari wao hawajui kizungu

Sent from my SM-A037F using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom