Madam Ritha achukia vijana kumtongoza

Vijana we hovyo watamfata
 
Ukifungua dirisha upate upepo tegemea na nzi, mbu, vumbi navyo kuingia
 
Umri huo unatangaza mitandaon unatafuta mchumba..?? Labda watakufuata sababu ya ustars na vijisent tofaut na hapo labuda ujue kakatika ila ukitoa hivyo hakuna mwanaume mwenye kujielewa atakufuata akuoe ukweli usemwe muulize wemaa mkiambiwa wanawake una muda maalumu wa kuolewa hamuelewi, mwanamke ukisha fika 30 ni mbibi tayar we omba dua itokee zali la mental
 
Aisee kumbeee.....kwa hiyo yeye hataki vijana wampakie mkongo🤣🤣🤣🤣
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…