Vijana we hovyo watamfataKwa hivyo alivyovaa lazima vijana wamfuate.
Sasa kwa watu wasima sidhani kama wapo ambao watakua na muda wa kushauriana na mtu anayevaa vikaputula vya jinsi vilivyokatwa.
Kundi kubwa la wale ambao anasema hawana pa kukaa pigo zao ndio kama hizo kwahiyo asishangae sana kupata anaoendeana nao.
[emoji23][emoji23][emoji23] wanatumia fursa vzr.[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3] vijana wakasema yes lishangazi hili hapa limejileta kwenye mfumo.
Ameshindwa kutofautisha kati ya kijana na Marioo.Usiseme vijana sema marioooo
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3] vijana wakasema yes lishangazi hili hapa limejileta kwenye mfumo.
Umepoteza nafasi ya kwenda BSsmadam ritha ni mbaya aisee
Ukifungua dirisha upate upepo tegemea na nzi, mbu, vumbi navyo kuingiaMadam Ritha amechukizwa na tabia ya vijana wadogo kumtongoza.
View attachment 2875628
"Baada ya lile tangazo la kutafuta mpenzi vijana wengi wamenifata sana DM wengine ni watoto wadogo nikiwaangalia hawana hata pakukaa. Siwezi kusema kama nimempata au laah hilo haliwahusu lakini nimegundua vijana wa sasa hivi hawana heshima kabisa".
"mimi nataka mwanaume mtu mzima ambaye tutashauriana tukaelewana na sio hawa vijana ambao wengine hata pakuishi hawana"- Madam Ritha
Nini maoni yako?
Best comment ever😀😀Ukifungua dirisha upate upepo tegemea na nzi, mbu, vumbi navyo kuingia
Yule Macron kalogwa...Halafu hajui kama mapenzi hayana umri hv hamuoni rais wa ufaransa??
Aisee kumbeee.....kwa hiyo yeye hataki vijana wampakie mkongo🤣🤣🤣🤣Madam Ritha amechukizwa na tabia ya vijana wadogo kumtongoza.
View attachment 2875628
"Baada ya lile tangazo la kutafuta mpenzi vijana wengi wamenifata sana DM wengine ni watoto wadogo nikiwaangalia hawana hata pakukaa. Siwezi kusema kama nimempata au laah hilo haliwahusu lakini nimegundua vijana wa sasa hivi hawana heshima kabisa".
"mimi nataka mwanaume mtu mzima ambaye tutashauriana tukaelewana na sio hawa vijana ambao wengine hata pakuishi hawana"- Madam Ritha
Nini maoni yako?
Wabongo bwana yaani nyie kiwaza kilogwa tuu. 🤣🤣🤣🤣Yule Macron kalogwa...
unakula Tuna-less Coochie swafi, na Pesa juu[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3] vijana wakasema yes lishangazi hili hapa limejileta kwenye mfumo.
Duh!!Yeye ndiye hana heshima kwa kujinadi mtandaoni...angeweka wazi kuwa anataka vizee vya miaka 70 ili apate urithi wake mapema
Sio kwa kibibi kile..tayari menopose..Wabongo bwana yaani nyie kiwaza kilogwa tuu. 🤣🤣🤣🤣
Yule kapenda jamani tatizo lenu nyie wanawake wakibongo hampendi mnaloga ili jamaa ahudumie. Sio poa mnavyo tufanyia mjue
Menopose ndio huleta utulivu wa kula tunda bila stressSio kwa kibibi kile..tayari menopose..