Madaraka Nyerere asema atastaafu siasa siku chache zijazo!

Madaraka Nyerere asema atastaafu siasa siku chache zijazo!

Naona mnahangaika Sana na Madaraka Nyerere mnataka kutuaminisha kwamba Madaraka ni Kamanda Mwenzenu,kifupi tu haya maigizo sio ya Kwanza kwa Chadema kutaka kutuaminisha CCM imechokwa na Watanzania wengi ikiwemo familia ya Baba wa Taifa,Nakumbuka Mwaka 1995 Makongoro Nyerere alikuwa upinzani wakati huo Baba wa Taifa hajatuacha lkn Chama Cha Mapinduzi kiliendeleakushika hatamu.

Tafuteni Kiki nyingine acheni kutuletea story za level ya Shule ya Msingi, Watanzania tuliowengi hasa Wanyonge kwa sasa tunakihitaji Chama cha Mapinduzi kutuletea Maendeleo ya kweli sambamba na kutuondolea fikra za Kibeberu.
Unamjua mleta mada ni nani au umekurupuka na chai hujanywa mbio JF hujui hata unampinga nani!!?
 
Madaraka alikuwa mwanasiasa wa nchi ipi katika africa Mashariki jamani 🙆🏾. Katika hili nakiri sijawahi msikia ila Makongoro nilishamsikia upinzani zama zile kisha sijui amejikuta nani siku hizi but huyu Madaraka kwa kweli nahisi labda alikuwa mwanasiasa wa kimoyo moyoni 😜
 
Naona mnahangaika Sana na Madaraka Nyerere mnataka kutuaminisha kwamba Madaraka ni Kamanda Mwenzenu, kifupi tu haya maigizo sio ya Kwanza kwa Chadema kutaka kutuaminisha CCM imechokwa na Watanzania wengi ikiwemo familia ya Baba wa Taifa, Nakumbuka Mwaka 1995 Makongoro Nyerere alikuwa upinzani wakati huo Baba wa Taifa hajatuacha lkn Chama Cha Mapinduzi kiliendeleakushika hatamu.

Tafuteni Kiki nyingine acheni kutuletea story za level ya Shule ya Msingi, Watanzania tuliowengi hasa Wanyonge kwa sasa tunakihitaji Chama cha Mapinduzi kutuletea Maendeleo ya kweli sambamba na kutuondolea fikra za Kibeberu.
Sasa huoni aibu miaka khamsini na ushee ya uhuru bado unajivunia kuwa mnyonge na chama kilichokufanya kuwamnyonge
 
Back
Top Bottom