Mkuu unanikumbusha waakina Ali Moja na timu yenu ya Ufipa ya Ajax.
juzi makomeo na swai walichezea kichapo mitaa ya manyanya na muuza powder mmja...aliyepigwa ana swa.... basi wanaleta defenda kila siku hapo mtaani mapusha wte nduki hawakai.....wale waliyomvamiaaa chonji ni special force walipofka kwake wakagongaa mlango kufunguaa ndy cchonji wakapugaa risasi juu jamaa waliingia ndani naskia waliwagongaaaa sanaa maana mbavu zilizoendaaa achana nazo thomas mashali alikuwa anafanya mazoezi hapo alikimbiaaa nduki....watu wa chonji waliamkaaa wakikuta muhimbili hoi....walikuja na wafaransa pia yaani ninomaaa ... Mkoroshokigoli
dah kweli ali one singo ila sahv mkulimaa mkubwa tu alishatoka kwenye game.....timu ya ajax iliwa moto...ombea ikutana ajax na msebenze ilikuwa balaaa wakati ule ndondo ndondo kweli syo sahv wakina mbwiga wanajifanya wanajuaa ndondo hahahaha...
mar ya mwisho kombo nlikutana naye sout afrika ila syo teja sema mlevi sana wa pombe.....
Poa mkuu maana umenikumbusha kitaa, si unajua tupo mbali tunatafuta kihalali.
Mkuu usintanie mtama mchungu tena!!?? Huyu Mzee ni mbishi na ni mkongwe wa hizi kazi huyu Keko Kama sebuleni kwake anaingia na kutoka daily!!!namfahamu Ana kigorofa chake njia ya makanya kabla ya break point!!
kweli mimi mwnyw mtaa nliukimbia muda sema siku moja moja lazima tukawasalimie masela
wakuu mtama mchungu ndo NANI??!
Mhh yani wana mbaka mwanaume mwenzao
Yule dada nae anaroho ngumu kuolewa na mume muuza unga mmh nampa hongera zake mi navyo waogopa hao watu .