Madawa ya Kulevya: Mfanyabiashara Mharami Mohamed na wenzake 4 wakamatwa na kilo 7 za Heroin

Madawa ya Kulevya: Mfanyabiashara Mharami Mohamed na wenzake 4 wakamatwa na kilo 7 za Heroin

Mkuu unanikumbusha waakina Ali Moja na timu yenu ya Ufipa ya Ajax.

dah kweli ali one singo ila sahv mkulimaa mkubwa tu alishatoka kwenye game.....timu ya ajax iliwa moto...ombea ikutana ajax na msebenze ilikuwa balaaa wakati ule ndondo ndondo kweli syo sahv wakina mbwiga wanajifanya wanajuaa ndondo hahahaha...
 
juzi makomeo na swai walichezea kichapo mitaa ya manyanya na muuza powder mmja...aliyepigwa ana swa.... basi wanaleta defenda kila siku hapo mtaani mapusha wte nduki hawakai.....wale waliyomvamiaaa chonji ni special force walipofka kwake wakagongaa mlango kufunguaa ndy cchonji wakapugaa risasi juu jamaa waliingia ndani naskia waliwagongaaaa sanaa maana mbavu zilizoendaaa achana nazo thomas mashali alikuwa anafanya mazoezi hapo alikimbiaaa nduki....watu wa chonji waliamkaaa wakikuta muhimbili hoi....walikuja na wafaransa pia yaani ninomaaa ... Mkoroshokigoli

Daaah mkuu mrangi safi sana cjaipata hiyo habari cjapita mitaa hiyo kitambo nakumbuka miaka flan nimemaliza degree yangu natafuta kazi bila mafanikio nikajikuta njaa imeniingiza uwanja huo wa kupush mzigo but baada ya kupata kazi nikapiga chini hiyo b'ness so makomeo amenichukulia sana buku tano zangu uzuri hatakagi hela kubwa hata chips yai na soda anaridhika tatizo huyo swai ndo mnoko balaaa...thank god mungu alininusuru na hayo maisha!!
 
Last edited by a moderator:
dah kweli ali one singo ila sahv mkulimaa mkubwa tu alishatoka kwenye game.....timu ya ajax iliwa moto...ombea ikutana ajax na msebenze ilikuwa balaaa wakati ule ndondo ndondo kweli syo sahv wakina mbwiga wanajifanya wanajuaa ndondo hahahaha...

Kitu cha Shayawena , Marehemu Chopa kujimwagia mavi . Ajax mlikuwa mnampenda sana kuwaleta marehemu Felix Ongara na William Funbullah ndondo.Nilisikia bwana Ali Moja amekuwa mkulima na mfugaji nadhani Mbezi, kuna mdogo wake mmoja anaitwa Kombo (sina uhakika na jina) naona kama amekua teja hivi.
 
mar ya mwisho kombo nlikutana naye sout afrika ila syo teja sema mlevi sana wa pombe.....
 
.. Muyegeya ahh makomeo hakatai hela katusumbuaa sana mtaani kipindi kile anakuletea defenda muda wote ....kala sana hela zetu...yeye hela mbele tu
 
Last edited by a moderator:
Hao askari wasijipalie makaa bure, cha msingi waachane na hao jamaa kama wanazipenda familia zao - kwenye fweza afungwe bongo bana!!
 
Mkuu usintanie mtama mchungu tena!!?? Huyu Mzee ni mbishi na ni mkongwe wa hizi kazi huyu Keko Kama sebuleni kwake anaingia na kutoka daily!!!namfahamu Ana kigorofa chake njia ya makanya kabla ya break point!!

wakuu mtama mchungu ndo NANI??!
 
[h=1]MUUZA MADAWA YAKULEVYA WA MAGOMENI ADAKWA…….[/h] MANGE 107 COMMENTS OCT 24,2014 UNCATEGORIZED
UWIIIII HAYA CHONJI AMBAE NI MUUZA MADAWA MAARUFU WA MAGOMENIAMEDAKWA LIVE LIVE NA MADAWA YAKE NA POLISI NA SASA YUKO NDANI. YANI HUYU HATOKI TENA…UWIIIII SASA POLISI WAMEFIKA MAGOMENI……..UWIIII WALIOOLEWA NA MA DRUG DEALERS WA MAGOMENI MATUMBO JOTO SAA HIZI… HAHAHAHAHHAHAUWIIII TENA BESTI WA MUMEO NDO KAWEKWA NDANI, UWIIII NAHISI MUNAKUWA HAMLALI USIKU MNASIKILIZIA GETINI KAMA POLISI WAMEFIKA…HAHAHHHAHAHAAUWIIIIIII , JAMANI KUNA SIKU WATU WATAKUJA SEMA KUMBE MANGE ALIKUWA ANASEMA KWELI,,,HAAHAHAHAHAHAYA YETU MACHO……ACHA SIE TUUZE VINGUO TUPATE VIHELA VYETU HALALI, NA WAUME ZETU WAPINDE MIGONGO KWENYE OFISI ZA WATU WAPATE VISENTI VYA KULISHA FAMILIA……WANAOPENDA MTEREMKO NA MAISHA WASIOYAWEZA MPAKA WANAUZA MADAWA YA KULEVYA AU KUOLEWA NA WANAOUZA MADAWA YA KULEVYA KUNA SIKU WATAONA RANGI ZOTEEE………JAMANI MSHAONA MAMBO YAMEHARIBIKA WATAFUTIENI WAUME ZETU KAZI ZINGINE JAMANI HATA KAMA IT MEANS KWAMBA MKAISHIMBAGALA, SI BORA MKAISHI MBAGALA ILA USIKU MNALALA KWA RAHA BILA WASIWASI KULIKO KUTAKA KUISHI KWENYE MAGOROFA HUKU ROHO JUU JUU…..HAYA NGOJENI SASA SIKU MTOKE FROM MAGOROFA TO SEGEREA TO MTAMJUA NZOWA….SIMOOOOOOOOOOOOOO
[h=2]KWA HABARI ZAIDI DUMBUKIA HUMU……[/h]
UPDATEEEEEE:::::Hahhahaha hii story imewagusa wasomaji wangu huko, maanainside informationa zinamwagika kwenye what'sapp yanguNiliona comment jana usiku mtu kaweka akielezea mkasa huu ulipoanzia na yeye alisema kitu very similar na hiki,ila kumbe its even worse hawakumpiga , walimteka then vijana wakambaka mtoto wa watu. Nilitaka kushangaa kupigwa tu ndowazazi wafatatilie kesi mpaka huko juu kumbe walimbaka bwana… Duh imagine umelea mtoto wa kiume ,lijali hajui ushoga wala ninileo mtu atume watu wambake mwanao kisa madaya ya kulevya,duh ningeua mtu……Haya kila mtu anataka kuwa top in town kama Khadija Kopa kwa njia yoyote ile…. hahahahahhahahah
 
Ni baada ya jamaa wa ilala kudakwa airport ndo wanaanza kugundulika walipoeehh atawataja wote
 
Mhh yani wana mbaka mwanaume mwenzao

Hiyo stori nayo toka j3 kuna best yangu ndio lawyer wake ila abdul ameponea chupuchupu kukamatwa mana naskia alitoka tu ndio police wakavamia wamekuta unga 7kg pia wamewapa kipogo balaa hao jamaa
 
Yule dada nae anaroho ngumu kuolewa na mume muuza unga mmh nampa hongera zake mi navyo waogopa hao watu .
 
Yule dada nae anaroho ngumu kuolewa na mume muuza unga mmh nampa hongera zake mi navyo waogopa hao watu .

Tamaa mbaya...kutaka maisha ya juu bila kazi ya maana hapa mjini...wenyewe wanajiita wadada wa mujini...
 
Back
Top Bottom