Madereva wa mikoani, tabia na utaratibu wa kupaki mabasi sehemu ya chakula chenye bei juu mnaumiza abiria wenye kipato kidogo

Madereva wa mikoani, tabia na utaratibu wa kupaki mabasi sehemu ya chakula chenye bei juu mnaumiza abiria wenye kipato kidogo

Dakika kumi huwezi kula hotel na watoto zaidi ya kuachwa na basi beba chakula kupunguza gharama
 
• kwa nini tuishi kwa biscuit na juice, mamlaka zinakazi gani,?
• Hapa tunazungumzia Abiria kuwa huru wakati wa safari, mbona tren inahuduma zuri angalau, na inasimama kwenye vituo vya kawaida kabisa.
Shida ni kutaka kila kitu serikali itatue. Biashara huria, ukiona basi linakupeleka sehemu ya ghali, badilisha basi; ikishindikana badilisha usafiri; ikishindikana badilisha utaratibu wa ulaji.
 
Kabisa msosi bure, kulala bure ..ukija na muchepuko huulizwi chochote😀😀😀
😁😁 Nyie Madereva mnazingua sana, mnawatesa watoto wa kimaskini, njia zima wanashindia maji au juice
 
Iambie serikali ndio ijenge hizo sehemu za kula watu masikini inawezekana kama inaweza Jenga stend haishindwi.
Hizo hotel wamewekeza pesa nyingi na kila dereva na makonda wanakula Bure.
Cha msingi beba chakula chako.
Njiani sio sehemu za kula kula,kale kwako.
Njiani sio sehemu za kula kula,kale kwako.
Kwani ukiwa safarini, na ukiwa kwako njaa huwa zinauma tofauti?

Iambie serikali ndio ijenge hizo sehemu za kula watu masikini inawezekana kama inaweza Jenga stend haishindwi.
Siyo kwamba serikali ijenge hotels za maskini, kwani utaratibu wa zamani ilikuwaje, au mwenzetu ndo umezaliwa 2022?


Hizo hotel wamewekeza pesa nyingi na kila dereva na makonda wanakula Bure.
Huu ndo ujinga wa mtu Mweusi sasa, mjengo amejenga vizuri, lakini vyakula anauza vibichi, vimechacha,
 
Kwani ukiwa safarini, na ukiwa kwako njaa huwa zinauma tofauti?


Siyo kwamba serikali ijenge hotels za maskini, kwani utaratibu wa zamani ilikuwaje, au mwenzetu ndo umezaliwa 2022?



Huu ndo ujinga wa mtu Mweusi sasa, mjengo amejenga vizuri, lakini vyakula anauza vibichi, vimechacha,
Zamani sio sasa,Sasa ni ushindani,
Kama pesa haitoshi unafunga masaa TU kama kubeba hotpot mzigo
 
Vyakula vingi vya njiani ni sub standard huwa nashangaa watu kula hovyo njiani utadhani wanasafiri kufanya utalii WA kula,kale kwenu
 
Shida ni kutaka kila kitu serikali itatue. Biashara huria, ukiona basi linakupeleka sehemu ya ghali, badilisha basi; ikishindikana badilisha usafiri; ikishindikana badilisha utaratibu wa ulaji.
ukiona basi linakupeleka sehemu ya ghali, badilisha basi
Utabadilishaje gari, wakati magari yote yaendayo Mikoani inafanya huo upuuzi!

ikishindikana badilisha usafiri;
Usafiri upi, Ndege? Kama chakula tu shida hizo garama za choppa anatoa wapi?
 
Tafuta tuu hiyo afu nane, watu wameshalamika sana, ila ukumbuke cheap is expensive... Utauziwa afu tatu kilomita mbili nyingi tumbo linaanza kuvuruga
Hata hivyo vya bei matumbo yanavuruga kama kawaida. Silagi njiani labda nitakapo kuwa na familia hasa watoto wa kike wakiume nitakomaa nao.
 
Usichojua ni kwamba dereva sio kwamba anapaki kwa bahati mbaya, hapana kuna vigezo na masharti umpelekea kupaki kwenye hotel hiyo, sharti la kwanza mwenye hotel lazima atoe hela kwa dereva nadhani ni sh 10,000 au 20,000 pili sahani moja bure ya dereva, tatu toileti ziko sawa, nne anauwezo wa kuhudumia watu 50+ kwa muda mchache yaani dk 15? , tano parking.Uzuri na bei ya chakula sidhani kama wanazingatia, vigezo ni hivyo hapo.
 
Vyakula vingi vya njiani ni sub standard huwa nashangaa watu kula hovyo njiani utadhani wanasafiri kufanya utalii WA kula,kale kwenu
Ndo maana nasema, Vyakula vipo chini ya kiwango, lakini bei inakuwa siyo rafiki kabisa,.

nashangaa watu kula hovyo njiani utadhani wanasafiri kufanya utalii WA kula
Kula ovyo ovyo kiaje, kwa hiyo mkuu unaweza safiri masaa 14 bila kula chochote?
 
Mimi nachangia tu kuwa
Zile hoteli wanazopaki ni safi, na huduma nyingine za kijamii ni nzuri (Usafi umeboreshwa)
Pendekezo; Badala ya kuweka bufee pekee yake, waweke pia vyakula vya watu wa kawaida
mfano: Wali maharage au wali mboga mboga, (maandazi/Chapati/chai) Chips kavu za buku au pengine
viazi vya kukaanga vya buku nk nk
 
Dah niliudhika sana Ally's kutoka Dar-kwenda Mwanza...badala ya kupaki dodoma mjini kwenye hotel/migahawa mizuri .wameenda kulipaki basi karibu na bahi...vyakula vimepoa na vibaya kinoma.

Ok kutoka hapo ineenda kusimama tena nje ya mji wa Singida..chakula kibaya na bei kubwa vile vile..
Hotel za ajabu ajabu na mpya ndio ambazo zina maslahi mazuri kwa dereva na konda. Nyie mkienda kupigwa jua dereva yeye anakunja 20K yake na anakula sahani moja bure
 
Mimi nachangia tu kuwa
Zile hoteli wanazopaki ni safi, na huduma nyingine za kijamii ni nzuri (Usafi umeboreshwa)
Pendekezo; waweke pia vyakula vya watu wa kawaida
mfano: Wali maharage au wali mboga mboga, maandazi ya 500, chapati, Chips kavu za buku au pengine
Mihogo/viazi vya kukaanga vya 500/buku nk nk
Kweli, hapa itapendeza zaidi,
 
J4 sa kumi na ijumaa mida hiyo first 50 second 45 haifiki.
First mtu 2 tu,second km una watoto familia ni vitanda vi4.
Huna utakutana na majirani humo ndani mnagawana vitanda.
Hiyo safari ni bonge la adventure,unalala unapotaka,kinywaji mda wowote,chakula kipo ukitaka unawapitia 3rd class kusalimia utawakuta mle km magunia ya viazi wanaenda kapiri mposhi.
Njiani hapo ukitoka mlimba mbele mlimani udzungwa pale ndio utajua kwamba kuna sehemu tuko vizuri.
Treni inaenda speed ndogo sana kupanda juu kule,sasa ukichungulia chini unaweza kuruka kwa woga.
Ni midaraja mikubwa na matreni yaliyodondoka ya mizigo yapo.
Cha ajabu mbele kidogo kuna wanakijiji wanakaa milimani,utaona vijumba vyao kule juu baada ya hiyo shughuli baas treni utaipenda.
Inakamata mteremko na tambarare.
Hapo utaskia honi tu.
Hiyo view sasa huku nje.
Jaribu one day utashukuru.
Asante 🤝
 
Back
Top Bottom