Madhara jumuishi kuwa na mahusiano sehemu za kazi.. Ofisi moja

Madhara jumuishi kuwa na mahusiano sehemu za kazi.. Ofisi moja

Ngoja nijaribu kukuletea Mjukuu wangu mmoja wa kike nione kama utatoboa

Uliiona ile PisiKali ya Lugumi, ndiyo sampuli ya Mjukuu wangu nitakayemleta 😜
mzee wewe leta tu, ila niki mtimua usi shangae.

huwa nina msemo, everyone is replaceable. So ni aidha upige kazi, au urudi kijiweni uka wapelekee wanunuzi😆
 
Sio imagine we Bwana uliwalaa nao walipeleka taarifa za uongo 😂😂😂
Hahaha...........sikuwahi

Miaka hii, kuna njia nyingi wanaweza kuzitumia kukusanya ushahidi iwapo utawekewa mtego wa Kulala na Mwanamke yeyote

Kuanzia meseji,picha, video n.k

Kwahiyo hizi teknolojia zinatumika barabara katika kuwakamata target wengi
 
Mimi alipojaa tu kwenye mfumo akaanza kuchelewa kazini na ku dogde bila sababu za msingi.. Na mimi ndio nilikuwa nasimamia nidhamu.. Hakuna rangi niliacha kuona🙌🏿🙌🏿🙌🏿
Hukupeleka jina lake kilingeni wamtengeneze 🤣🤣🤣🍆🍆
 
Atalala kwenye nyumba za wasafiri. Huwezi jua
Ndiyo mwanzo wa kufa haraka

Umewahi kuona Mzee masikini anavyosimangwa?

Umewahi kuona Mzee yupi anaitwa mchawi kati ya Mzee Tajiri na Mzee masikini?

Vijana wakilijua hili, wataongeza nia na bidii kwenye kuandaa kesho yao sasa
 
Big up kwa wale wanandoa wote ambao hata kama walikutana ofisi moja lakini wakaamua kujiongeza na mmojawapo kuhama ili kuondoa madhara jumuishi...!
Na ni afadhali mkawa wote level moja kuliko mmoja akawa boss ambapo utakapokosea kwenye vikao vya nidhamu na kuwajibishana... Mke/mume wako uliyelala naye jana kitanda kimoja shuka moja ndiye anayetakiwa kukuwajibisha ama kusaini nyaraka zako zitakazokukaanga
Hii pia inahusu michepuko sehemu za kazi
Penzi kitovu cha uzembe na maanguko mengi sehemu za kazi.. Sisi si wa kwanza, tuliyaona kwa Babu yetu Samson kwa Delillah.. Tuliyaona pia kwa babu yetu Ngoswe.. Tuliyaona mengi tu pia kwa mabosi wa makampuni mengi
Wenza wa wajumbe wa kamati kuu nfani ya CHADEMA ambao ni sehemu ya covid 19 wameshababisha mtanziko mkubwa sana ndani ya chama.. Kwakuwa waliweza kutumiwa na kutumika vilivyo na wapinzani na maadui nje ya chama
Kumekuwa na mgongano mkubwa wa maslahi kati ya hawa wenza na waume zao hasa kwenye maamuzi ya hatima yao ndani ya chama
Kwa kosa hili kubwa tujifunze na kuapa kutolirudia tena
Mapadri hawaruhusiwi kuoa ili wasiwe na attachment yoyote ya kihisia ili aweze kuwatumikia wote kwa usawa!
💯
 
Kumbe wazee wa kilingeni mnalogeka na mbususu🤣🤣🤣🤣
Wee acha tu🥱
1736885056393.jpg
 
Back
Top Bottom