Madudu yaliyoibuliwa bandarini na Rais Samia mbona hayasemwi?

🤣🤣acha kutetea ujinga🙏mwambie there's always a second chance in life,Mungu amempatia baraka hii,asiichezee,aitumie vizuri,btw hakuna uzee katika kusoma,arudi darasani,nafasi yavkuajiri private tutor international anayo,aitumie vyema,anahitaji mtaalamu wablugha na international relations,"muzungu"kufikia Hilo🙏akifanya Hilo she will be untouchable 🙏bado tunampenda na ana nafasi ya kufanya marekebisho hayo madogo🙏
 
Swwali zuri sana, hayo ndiyo yakuwauliza waliopewa amri ya kuchukuwa hatua.

Hii vita siyo ndogo lama mnavyodhania.
Kama alitoa amri haikuyekelezwa, tuwaulize waliopewa amri au aliyetoa amri kafanya nini baada ya kupuuzwa?
Au alivyoona kapuuzwa ndo akachukua hatua ya kuwaleta Waarabu kama comeback?
 
Mm na familia yangu pamoja na ukoo wangu tunataka bandari yetu tu. Yani mnauza wavaa vijola.
Asante
 
Wewe una haki ya kufikiri upendacho. Lakini ukweli ni huo. Tena hayo ni machache sana.

Jiulize, kwanini mwaka huu tumeweza kuipiku bandari ya Mombasa kwa wingi wa mizigo kuliko miaka yote ya nyuma?

Nini kilikuwa kinafanyika?
Pumbavu zao "stupid"

Sent from my TECNO KE5 using JamiiForums mobile app
 
Mama aligundua Biswalo Maganga ametuibia 27 billion na kwenda kuzificha China. Amemchukulia atua gani?
 
Ni kweli kabisa hapa ungeongeza na wafanya biashara maarufu baadhi na hata sheria nyingi zinavunjwa na na hao hao huku mitaani, kwenye hili ni ukweli 100% wala ushingae kuona gari ya Judge inapita mwendokasi lakini yeye ndio anasimamia sheria za nchi. Ni wakati tukabadlika sheria ziheshimiwe ndio maana hili la bandari kunaweza kuwa na mapungufu lakini ukweli linawaumiza wengi sana wapinzania, CCM na wafanya biashara kuna watu walishawazoea sana mfumo wanapiga tu simu mambo yao yanaenda sasa mabadiliko watu watapoteza mamilioni hili lipo tukiacha na mengine mapungufu ya kimkataba lakini wizi bandarini wa mazoea watu wana connection sio mchezo, hili wanaliogopa sana na Tz huwa tunatabia kuogopa changes, hatupendi.
 
Kwenye kipengele gani cha mkataba wa DPW kwamba upigaji utakuwa historia

Sent from my TECNO KE5 using JamiiForums mobile app
 
Wewe una haki ya kufikiri upendacho. Lakini ukweli ni huo. Tena hayo ni machache sana.

Jiulize, kwanini mwaka huu tumeweza kuipiku bandari ya Mombasa kwa wingi wa mizigo kuliko miaka yote ya nyuma?

Nini kilikuwa kinafanyika?
Inakuwaje rais amesema sisi bandari hatuwezi kuiendesha? Kama mpaka mombasa tumewapiku

Sent using Jamii Forums mobile app
 
si ndio maana wanapiga kelele mpaka wameajiri wa kuwasaidia huku kwenye mitandao ya jamii. We unafikiri ni watanzania wa kawaida walipa kodi ndio wanaopiga kelele humu, kila siku wanaokoteza mauzushi. Ndio haohao wanaona sasa watanyanganywa tonge. Rais wangu akaze mwendo awapuuze hawa wezi na majambazi wa mapato ya nchi yetu. Sasa hivi wezi ndio wanajifanya wazalendo zaidi. Shughuli za bandari lazima zibinafsishwe ili tupate kuona matunda km nchi siyo watu wachache, wao waendelee kuhonga watashtukia pesa za kuhonga zimeisha na DP World ndani ya nyumba
 
we ndio zezeta, uamuzi na direction anayoichukua rais ndio mwarobaini
 
Wewe una haki ya kufikiri upendacho. Lakini ukweli ni huo. Tena hayo ni machache sana.

Jiulize, kwanini mwaka huu tumeweza kuipiku bandari ya Mombasa kwa wingi wa mizigo kuliko miaka yote ya nyuma?

Nini kilikuwa kinafanyika?
Usiwe kama mtu ambaye hafahamu kinachoendelea ni kipi usichojua kuhusu kuongezwa kwa kina cha bahari ili kuruhusu meli kubwa kutia nanga?? Matrilioni yamewekezwa na serikali sio Ticts wala hao DP ili kuongeza kina kuwezesha meli kubwa kupakua mizigo yake
 
Umenikumbusha vile vigari vilivyogeuzwa kuwa ambulence eti viliokotwa bandarini..!! Inasemekana PM alikuwa na mkono wake, na ndiyo maana yakaishia hewani
 
Swwali zuri sana, hayo ndiyo yakuwauliza waliopewa amri ya kuchukuwa hatua.

Hii vita siyo ndogo lama mnavyodhania.

duh sasa kiongozi umetoa amri, na hakuna aliyetekeleza hiyo amri, ina maana kuna watu wanamiguvu kuliko Rais.
 
Pale amejaza wazanzibar wenzake ataweza kuwachukulia?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…