Benjamini Netanyahu
JF-Expert Member
- Aug 7, 2014
- 95,871
- 116,627
Labda sisi ndiyo tukuchukue hatua, walioko bandarini kawateua yeye tena ni wazanzibar wenzake anataka sisi ndiyo tuchukue hatua?Sasa kama yeye mwenyewe hakuchukua hatua yoyote sisi tuyaseme itasaidia nini?
Hayo ndiyo majangili ya nchi makubwaYakiwekwa wazi yatawaumbua wenyewe.
Nchi hii ni ya ajabu Sana mtu ambaye anasimama Jukwaani na kuhamasisha ulipaji Kodi ndiyo anakuwa wa kwanza kukwepa Kodi.
Vigogo wa Chama na Serikali ndiyo wanao ongoza kuua Bandari yetu kwa kupitisha Makontena bila kulipa Kodi.
Ukitumia neno ''Huenda'' hiyo inakua ni ''Dhana'' au hisia,Huenda teknologia itakayofungwa itarahisisha upigaji maana hakuna uwajibikaji Wala uwajibishwaji
Sent from my TECNO KE5 using JamiiForums mobile app
Nitakutesa sana mwarabu koko.We jamaa unateseka sana aisee,unahangaika sana.naona jahazi linazama ila tu unajaribu kupiga mbizi japo huna utaalamu wa kuogelea,DPW wakianza kazi sijui utabadili hiki ki ID chako!
Una acha kujadili mada unarukia vitu vingine kabisa,upigaji Bandarini utakua historia.
Kwa zile terms za hovyo kwenye ule mkataba mjinga hunifundishi chochote..Wewe ni sawa sawa na mtu ambaye hajatoka nje ya kijiji chake na haamini kuwa kuna wilaya , mikoa na majiji. Jitahidi uwaze zaidi ya hapo ulipo
Only zezeta anaweza akasimama na kutetea mazezeta. Hata Tozo mliimba mapambio hivihivi wakati sisi tukipinga, sasa imeondolewa mnapongeza.we ndio zezeta, uamuzi na direction anayoichukua rais ndio mwarobaini
Utateseka sana mzungu koko,angalia tu usije ukapata vidonda vya tumbo.Nitakutesa sana mwarabu koko.
Sio yeye huyu mama anaingizwa mkenge tu na wajanja. Tumwonee huruma. Kuna vita ya kugombea urais ccm. Wanajitahidi kumharibia mama wa watu aonekani hawezi ili 2025 apigwe chini.Wizara wapewe wawekezaji
Usinilalamikie, mlalamikie yule anayekufanya nikuumize bila wewe kujua, nitakutandika sana makonzi ya utosini wallahi..Utateseka sana mzungu koko,angalia tu usije ukapata vidonda vya tumbo.
Tungewapeleka kozi fupi vijana wetu wazalendo waliojenga ikulu ya Chamwino Kisha tuwape bandari. Au JWTZ na wasomi wao watashindwa kweli? Maana bandarini Kuna Siri za nchi pale, Kila mzigo uskaniwe na kutazamwa na mgeni mwekezaji kweli hili? Tukinunua rada mpya wajue, ndege vita mpya wajue, makombora mapya wajue nk, hii nchi si itakuwa uchi kabisa? Wangewapa jeshi wasimamie kama uzoefu wataupatiaga huko huko potelea mbali.Only zezeta anaweza akasimama na kutetea mazezeta. Hata Tozo mliimba mapambio hivihivi wakati sisi tukipinga, sasa imeondolewa mnapongeza.
Katika hili tena rais akibadili maamuzi napo mtapongeza, unajua kwanini? Sababu ninyi mliumbwa bila tu bila purpose.
Miaka yoooote inafahamika watu wanapiga pesa Bandarini sio mchezo !! Ndio maana tumbua tumbua huwa haziishi pale !!Miezi michache baada ya kuapishwa Urais. Rais Samia Suluhu Hassan alivunja bodi ya Mamlaka ya Bandari Tanzania (TPA) na Shirika la Meli kwa kuwaondoa wenyeviti wake baada ya kutoridhishwa na utendaji wao.
Rais Samia alitangaza uamuzi huo Jumamosi Desemba 4, 2021 wakati wa uzinduzi wa gati namba 0 hadi 7 katika bandari ya Dar es Salaam.
Kabla ya tangazo hilo, Rais Samia alieleza baadhi ya mapungufu yanayoikabili mamlaka hiyo, baadhi yake yakiwa katika ripoti ya Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG) akihoji kwa nini hakuna hatua zozote zilizochukuliwa hadi sasa.
Bodi ya TPA inaundwa na mwenyekiti wake Prof Ignas Rubaratuka na naibu wake ni Dk Delphine Magere. Wajumbe hao ni Malata Pascal, Dk Jabiri Bakari, Masanja Kadogosa, Jayne Nyimbo, Mhandisi Ephrem Kirenga na Eric Hamissi ambaye ni Mkurugenzi Mkuu wa Bandari.
Aidha, ameitaka PCCB kuchunguza bodi hizo kwa kile kinachoendelea bandarini na kuwachukulia hatua waliohusika na upotevu wa fedha uliotajwa katika ripoti hiyo.
"Mkurugenzi, PCCB nakuagiza uchukue hatua dhidi ya watu hawa haraka iwezekanavyo na kama hakuna taarifa nitakupa maelezo ya kilichotokea hapa," alisema Rais Samia.
Alisema mifumo ya malipo bandarini kwa muda mrefu imekuwa ikiendeshwa na watumishi jambo ambalo linaonesha kuwa mizigo imekuwa ikilipiwa langoni lakini kwa maana halisi si kweli inasababisha upotevu wa mapato kwa nchi.
Alitoa wito kwa shirika la kupambana na rushwa kuja na majibu ya kwa nini yote haya yanatokea bado bodi na wafanyakazi waliohusika bado wako ofisini.
Pia aligusia juu ya idhini ya zabuni bandia na Shirika la Usafirishaji, huku akijua kuwa vigezo sahihi havikufuatwa na bodi ilihusika katika idhini na serikali ilikuja tu kujua baada ya kutuma watu nchini Uturuki kuchunguza kampuni hiyo.
Alimtaka Waziri wa Ujenzi na Uchukuzi kuchukua hatua za haraka na endapo atashindwa, anapaswa kumjulisha ili kuchukua hatua zinazohitajika ikiwa ni pamoja na kumteua waziri mpya.
Chanzo: Tanzania: President Samia Dissolves Tanzania Ports Authority, Shipping Corporation Boards
Miezi michache baada ya kuapishwa Urais. Rais Samia Suluhu Hassan alivunja bodi ya Mamlaka ya Bandari Tanzania (TPA) na Shirika la Meli kwa kuwaondoa wenyeviti wake baada ya kutoridhishwa na utendaji wao.
Rais Samia alitangaza uamuzi huo Jumamosi Desemba 4, 2021 wakati wa uzinduzi wa gati namba 0 hadi 7 katika bandari ya Dar es Salaam.
Kabla ya tangazo hilo, Rais Samia alieleza baadhi ya mapungufu yanayoikabili mamlaka hiyo, baadhi yake yakiwa katika ripoti ya Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG) akihoji kwa nini hakuna hatua zozote zilizochukuliwa hadi sasa.
Bodi ya TPA inaundwa na mwenyekiti wake Prof Ignas Rubaratuka na naibu wake ni Dk Delphine Magere. Wajumbe hao ni Malata Pascal, Dk Jabiri Bakari, Masanja Kadogosa, Jayne Nyimbo, Mhandisi Ephrem Kirenga na Eric Hamissi ambaye ni Mkurugenzi Mkuu wa Bandari.
Aidha, ameitaka PCCB kuchunguza bodi hizo kwa kile kinachoendelea bandarini na kuwachukulia hatua waliohusika na upotevu wa fedha uliotajwa katika ripoti hiyo.
"Mkurugenzi, PCCB nakuagiza uchukue hatua dhidi ya watu hawa haraka iwezekanavyo na kama hakuna taarifa nitakupa maelezo ya kilichotokea hapa," alisema Rais Samia.
Alisema mifumo ya malipo bandarini kwa muda mrefu imekuwa ikiendeshwa na watumishi jambo ambalo linaonesha kuwa mizigo imekuwa ikilipiwa langoni lakini kwa maana halisi si kweli inasababisha upotevu wa mapato kwa nchi.
Alitoa wito kwa shirika la kupambana na rushwa kuja na majibu ya kwa nini yote haya yanatokea bado bodi na wafanyakazi waliohusika bado wako ofisini.
Pia aligusia juu ya idhini ya zabuni bandia na Shirika la Usafirishaji, huku akijua kuwa vigezo sahihi havikufuatwa na bodi ilihusika katika idhini na serikali ilikuja tu kujua baada ya kutuma watu nchini Uturuki kuchunguza kampuni hiyo.
Alimtaka Waziri wa Ujenzi na Uchukuzi kuchukua hatua za haraka na endapo atashindwa, anapaswa kumjulisha ili kuchukua hatua zinazohitajika ikiwa ni pamoja na kumteua waziri mpya.
Chanzo: Tanzania: President Samia Dissolves Tanzania Ports Authority, Shipping Corporation Boards
Swwali zuri sana, hayo ndiyo yakuwauliza waliopewa amri ya kuchukuwa hatua.
Hii vita siyo ndogo lama mnavyodhania.
Hao wote ni wezi tu na yeye anawaondoa Ili aweke wa kwake!Miezi michache baada ya kuapishwa Urais. Rais Samia Suluhu Hassan alivunja bodi ya Mamlaka ya Bandari Tanzania (TPA) na Shirika la Meli kwa kuwaondoa wenyeviti wake baada ya kutoridhishwa na utendaji wao.
Rais Samia alitangaza uamuzi huo Jumamosi Desemba 4, 2021 wakati wa uzinduzi wa gati namba 0 hadi 7 katika bandari ya Dar es Salaam.
Kabla ya tangazo hilo, Rais Samia alieleza baadhi ya mapungufu yanayoikabili mamlaka hiyo, baadhi yake yakiwa katika ripoti ya Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG) akihoji kwa nini hakuna hatua zozote zilizochukuliwa hadi sasa.
Bodi ya TPA inaundwa na mwenyekiti wake Prof Ignas Rubaratuka na naibu wake ni Dk Delphine Magere. Wajumbe hao ni Malata Pascal, Dk Jabiri Bakari, Masanja Kadogosa, Jayne Nyimbo, Mhandisi Ephrem Kirenga na Eric Hamissi ambaye ni Mkurugenzi Mkuu wa Bandari.
Aidha, ameitaka PCCB kuchunguza bodi hizo kwa kile kinachoendelea bandarini na kuwachukulia hatua waliohusika na upotevu wa fedha uliotajwa katika ripoti hiyo.
"Mkurugenzi, PCCB nakuagiza uchukue hatua dhidi ya watu hawa haraka iwezekanavyo na kama hakuna taarifa nitakupa maelezo ya kilichotokea hapa," alisema Rais Samia.
Alisema mifumo ya malipo bandarini kwa muda mrefu imekuwa ikiendeshwa na watumishi jambo ambalo linaonesha kuwa mizigo imekuwa ikilipiwa langoni lakini kwa maana halisi si kweli inasababisha upotevu wa mapato kwa nchi.
Alitoa wito kwa shirika la kupambana na rushwa kuja na majibu ya kwa nini yote haya yanatokea bado bodi na wafanyakazi waliohusika bado wako ofisini.
Pia aligusia juu ya idhini ya zabuni bandia na Shirika la Usafirishaji, huku akijua kuwa vigezo sahihi havikufuatwa na bodi ilihusika katika idhini na serikali ilikuja tu kujua baada ya kutuma watu nchini Uturuki kuchunguza kampuni hiyo.
Alimtaka Waziri wa Ujenzi na Uchukuzi kuchukua hatua za haraka na endapo atashindwa, anapaswa kumjulisha ili kuchukua hatua zinazohitajika ikiwa ni pamoja na kumteua waziri mpya.
Chanzo: Tanzania: President Samia Dissolves Tanzania Ports Authority, Shipping Corporation Boards
Aliyewapa amri hafuatilii?Swwali zuri sana, hayo ndiyo yakuwauliza waliopewa amri ya kuchukuwa hatua.
Hii vita siyo ndogo lama mnavyodhania.
Kwenye siasa hayo mambo yapo, sasa kushindwa kwake hiyo vita yake ya kisiasa kuna athari kwenye uongozi wake na hiyo ni tafsiri ya kushindwa kwake kwenye uongozi.Sio yeye huyu mama anaingizwa mkenge tu na wajanja. Tumwonee huruma. Kuna vita ya kugombea urais ccm. Wanajitahidi kumharibia mama wa watu aonekani hawezi ili 2025 apigwe chini.