Maduka ya Dawa yaliyo nje ya mageti ya Hospitali za Serikali huwa na dawa muda wote lakini ndani ya Hospitali husika hamna dawa

Maduka ya Dawa yaliyo nje ya mageti ya Hospitali za Serikali huwa na dawa muda wote lakini ndani ya Hospitali husika hamna dawa

Wewe ndio mwongo, unazifahamu taratibu za baraza la famasia? Pia maduka ya MSD yapo na dawa zina bei nafuu sana.
Kama ni hivyo kwamba MSD wanauza rahisi kwanini mnalalamika ? si uzeni rahisi ili hao maduka binafsi washindwe !

Kingine usichokijua ni hiki , Baraza la famasi mara kadhaa limeendesha semina kuwaasa wauza dawa kufungua maduka karibu na Mahospitali ambako ndio wateja wako wengi , kumbuka kwamba hawa ndio wawakilishi wa Wizara .
 
Mada ni kuwa inakuweje maduka nje ya hospitali yawe na dawa lakini ndani ya hospitali hakuna dawa wala gloves?

We umeangalia hospitali moja mi nimefanya mzunguko wa hospitali nyingi za serikali.
Isitoshe pia kusema sisi ambao tunakaa na manesi jirani wanavyowauzia dawa majirani wanawazunguka, kila aina ya dawa wanazo na nyingi za watoto,.
Kwani serikali yenu imekatazwa kuweka dawa mahospitalini , kwanini mnalaumu wengine ? Kwa taarifa yako ni kwamba Nesi au Daktari yoyote hawana uwezo wa kupanga Policy ya Hospitali yoyote , lawama wapelekeeni viongozi wenu , ndio wahusika wakuu
 
Kama ni hivyo kwamba MSD wanauza rahisi kwanini mnalalamika ? si uzeni rahisi ili hao maduka binafsi washindwe !

Kingine usichokijua ni hiki , Baraza la famasi mara kadhaa limeendesha semina kuwaasa wauza dawa kufungua maduka karibu na Mahospitali ambako ndio wateja wako wengi , kumbuka kwamba hawa ndio wawakilishi wa Wizara .
Mbona kwenye Hospital binafsi hukuti haya maduka ya dawa yamewekwa nje ya mageti yao?
 
Mada ni kuwa inakuweje maduka nje ya hospitali yawe na dawa lakini ndani ya hospitali hakuna dawa wala gloves?

We umeangalia hospitali moja mi nimefanya mzunguko wa hospitali nyingi za serikali.
Isitoshe pia kusema sisi ambao tunakaa na manesi jirani wanavyowauzia dawa majirani wanawazunguka, kila aina ya dawa wanazo na nyingi za watoto,.
Bila kupoteza muda ama kuumiza kichwa

Jibu ni"hizo ni biashara za watu" tu

Ova
 
Kipindi cha awamu ya tano Mheshimiwa Raisi Magufuli alipiga marufuku sana ya maduka yaliyo nje ya hospitali za serikali, kwani ilionekana kuwa hayo maduka ndo chanzo cha Kukosekana dawa ndani ya hospitali hizi za serikali.

Wengi tulishuhudia huduma nzuri pamoja na upatikanaji wa dawa ndani ya hospitali lakini leo mambo yamejirudia pale pale.

Leo hii Mwananchi wa kawaida anaona ni bora akapate huduma katika Hospitali binafsi kuliko ya serikali kutokana na huduma mbovu zitolewazo katika Hospitali za umma.

Ndani ya hospitali za serikali mara nyingi utapimwa vipimo lakini baada ya majibu kuja utaandikiwa paracetamol na dawa nyingine utaambiwa kanunue duka lililopo nje ya geti.

Kwa upande wa kina mama wanaojifungua tunaambiwa ni bure lakini Hospital nyingi za umma huwa wanalipishwa, huku wajawazito wakiamriwa waje na vifaa vya kujifungulia kama vile pamba. Gloves nk.

Wizara ya afya wafuatilie na pia wawe wakali maana Hospitali za umma zimekuwa changamoto sana kwa wananchi wa kawaida.
RIB Tata JPM
 
Acha uongo ndugu. Watu tumeuguza e
Kipindi cha awamu ya tano Mheshimiwa Raisi Magufuli alipiga marufuku sana ya maduka yaliyo nje ya hospitali za serikali, kwani ilionekana kuwa hayo maduka ndo chanzo cha Kukosekana dawa ndani ya hospitali hizi za serikali.

Wengi tulishuhudia huduma nzuri pamoja na upatikanaji wa dawa ndani ya hospitali lakini leo mambo yamejirudia pale pale.

Leo hii Mwananchi wa kawaida anaona ni bora akapate huduma katika Hospitali binafsi kuliko ya serikali kutokana na huduma mbovu zitolewazo katika Hospitali za umma.

Ndani ya hospitali za serikali mara nyingi utapimwa vipimo lakini baada ya majibu kuja utaandikiwa paracetamol na dawa nyingine utaambiwa kanunue duka lililopo nje ya geti.

Kwa upande wa kina mama wanaojifungua tunaambiwa ni bure lakini Hospital nyingi za umma huwa wanalipishwa, huku wajawazito wakiamriwa waje na vifaa vya kujifungulia kama vile pamba. Gloves nk.

Wizara ya afya wafuatilie na pia wawe wakali maana Hospitali za umma zimekuwa changamoto sana kwa wananchi wa kawaida.

Kipindi cha awamu ya tano Mheshimiwa Raisi Magufuli alipiga marufuku sana ya maduka yaliyo nje ya hospitali za serikali, kwani ilionekana kuwa hayo maduka ndo chanzo cha Kukosekana dawa ndani ya hospitali hizi za serikali.

Wengi tulishuhudia huduma nzuri pamoja na upatikanaji wa dawa ndani ya hospitali lakini leo mambo yamejirudia pale pale.

Leo hii Mwananchi wa kawaida anaona ni bora akapate huduma katika Hospitali binafsi kuliko ya serikali kutokana na huduma mbovu zitolewazo katika Hospitali za umma.

Ndani ya hospitali za serikali mara nyingi utapimwa vipimo lakini baada ya majibu kuja utaandikiwa paracetamol na dawa nyingine utaambiwa kanunue duka lililopo nje ya geti.

Kwa upande wa kina mama wanaojifungua tunaambiwa ni bure lakini Hospital nyingi za umma huwa wanalipishwa, huku wajawazito wakiamriwa waje na vifaa vya kujifungulia kama vile pamba. Gloves nk.

Wizara ya afya wafuatilie na pia wawe wakali maana Hospitali za umma zimekuwa changamoto sana kwa wananchi wa kawaida.
Hapa umedanganya
Tuliouguza enzi za huyo unayemsema tuliendelea kupata dawa katika maduka hayo. Sijui lengo la uongo kama huu unalenga nini.
 
Kipindi cha awamu ya tano Mheshimiwa Raisi Magufuli alipiga marufuku sana ya maduka yaliyo nje ya hospitali za serikali, kwani ilionekana kuwa hayo maduka ndo chanzo cha Kukosekana dawa ndani ya hospitali hizi za serikali.

Wengi tulishuhudia huduma nzuri pamoja na upatikanaji wa dawa ndani ya hospitali lakini leo mambo yamejirudia pale pale.

Leo hii Mwananchi wa kawaida anaona ni bora akapate huduma katika Hospitali binafsi kuliko ya serikali kutokana na huduma mbovu zitolewazo katika Hospitali za umma.

Ndani ya hospitali za serikali mara nyingi utapimwa vipimo lakini baada ya majibu kuja utaandikiwa paracetamol na dawa nyingine utaambiwa kanunue duka lililopo nje ya geti.

Kwa upande wa kina mama wanaojifungua tunaambiwa ni bure lakini Hospital nyingi za umma huwa wanalipishwa, huku wajawazito wakiamriwa waje na vifaa vya kujifungulia kama vile pamba. Gloves nk.

Wizara ya afya wafuatilie na pia wawe wakali maana Hospitali za umma zimekuwa changamoto sana kwa wananchi wa kawaida.
Toka umeacha sigara bwege unajitahidi kuandika, mwendazake aliweka maduka ya dawa ya hospital kwenye kila hospital sasahivi yale maduka nayo yana paracetamol yakijitahidi sana utakuta kuna drip
 
Mada ni kuwa inakuweje maduka nje ya hospitali yawe na dawa lakini ndani ya hospitali hakuna dawa wala gloves?

We umeangalia hospitali moja mi nimefanya mzunguko wa hospitali nyingi za serikali.
Isitoshe pia kusema sisi ambao tunakaa na manesi jirani wanavyowauzia dawa majirani wanawazunguka, kila aina ya dawa wanazo na nyingi za watoto,.
Nilikuwa kwenye kahospital kamoja binafsi nipo kwa dokta tena ndio mmiliki akaingia mtu kumuuzia dawa za serikali mbele yangu, sio waoga wale
 
Kama ni hivyo kwamba MSD wanauza rahisi kwanini mnalalamika ? si uzeni rahisi ili hao maduka binafsi washindwe !

Kingine usichokijua ni hiki , Baraza la famasi mara kadhaa limeendesha semina kuwaasa wauza dawa kufungua maduka karibu na Mahospitali ambako ndio wateja wako wengi , kumbuka kwamba hawa ndio wawakilishi wa Wizara .
umezoea kuongea uongo hilo ni tatizo kubwa
 
uhaba wa dawa muhim kwa wagonjwa ktik hospital za umma ndio wanaona wenye mitaji kma fursa madactor wa eneo husika ndio wanamiliki pharmacy kubwa around hospital akikuandikia dawa anakudirect tu nenda pale kama hauna bima na ukienda bima unaandikiwa tu na kupewa maelekezo nenda pharmacy ile utapata hivyo sio tatizo na wanasaidia sana kama dawa nzur inapatikana pharmacy za nje na ndan hamna kuna tatizo gan kama sio kushukru Hakuna jmbo la umma likanyooka kila sehem majanga

Sent from my SM-G965U using JamiiForums mobile app
 
Kipindi cha awamu ya tano Mheshimiwa Raisi Magufuli alipiga marufuku sana ya maduka yaliyo nje ya hospitali za serikali, kwani ilionekana kuwa hayo maduka ndo chanzo cha Kukosekana dawa ndani ya hospitali hizi za serikali.

Wengi tulishuhudia huduma nzuri pamoja na upatikanaji wa dawa ndani ya hospitali lakini leo mambo yamejirudia pale pale.

Leo hii Mwananchi wa kawaida anaona ni bora akapate huduma katika Hospitali binafsi kuliko ya serikali kutokana na huduma mbovu zitolewazo katika Hospitali za umma.

Ndani ya hospitali za serikali mara nyingi utapimwa vipimo lakini baada ya majibu kuja utaandikiwa paracetamol na dawa nyingine utaambiwa kanunue duka lililopo nje ya geti.

Kwa upande wa kina mama wanaojifungua tunaambiwa ni bure lakini Hospital nyingi za umma huwa wanalipishwa, huku wajawazito wakiamriwa waje na vifaa vya kujifungulia kama vile pamba. Gloves nk.

Wizara ya afya wafuatilie na pia wawe wakali maana Hospitali za umma zimekuwa changamoto sana kwa wananchi wa kawaida.
Anzia MSD kama wanapeleka madawa kwa wakati ndipo ulete lawama

Sent from my SM-A107F using JamiiForums mobile app
 
Nilikuwa kwenye kahospital kamoja binafsi nipo kwa dokta tena ndio mmiliki akaingia mtu kumuuzia dawa za serikali mbele yangu, sio waoga wale
uhaba wa dawa muhim kwa wagonjwa ktik hospital za umma ndio wanaona wenye mitaji kma fursa madactor wa eneo husika ndio wanamiliki pharmacy kubwa around hospital akikuandikia dawa anakudirect tu nenda pale kama hauna bima na ukienda bima unaandikiwa tu na kupewa maelekezo nenda pharmacy ile utapata hivyo sio tatizo na wanasaidia sana kama dawa nzur inapatikana pharmacy za nje na ndan hamna kuna tatizo gan kama sio kushukru Hakuna jmbo la umma likanyooka kila sehem majanga

Sent from my SM-G965U using JamiiForums mobile app
Ndo maana kila wakati Hospital za umma hakuna dawa, hii ni tofauti na Hospital za binafsi, ukiritimba mwingi
 
Kilimani Pharmacy pale Mawenzi Hospital Moshi. Nilizungushwa sana wakati nauguza. Kila kitu kuanzia mionzi hadi dawa nililazimika kwenda pale sababu hapo hospital wameshatengeneza network ya kupiga pesa. Utasubirishwa pasipo sababu ya msingi huku ukiambiwa kama unaweza nenda kapige hapo kilimani uje doctor akupe huduma. Dawa zote unazoandikiwa hazipo, ila utaambiwa nenda hapo kilimani wanazo
Ukosefu huu unatokana na upigaji ndani ya hizo hospitali
 
Yani mentality za kishamba ziliwateka kipindi kile.

Kwanza nani alikuambia kipindi cha Magufuli dawa zote zilipatikana hospitali?

Kingine serikali kwanini isishindane na sekta binafsi katika ushindani huru tu bila kuwafanyia hujuma ya wazi wazi sekta binafsi kwa mizengwe isiyo na akili.

Ila nimeamini kukosa exposure ni jambo baya sana karibuni kwa watu huu muone tofauti sio mnajazwa uongo bila facts mnajaa.

Mwisho niulize hivi serikali ikitaka kufanya kila kitu itaweza?
 
Lile jamaa mtalikumbuka tu..😀
Aliwajengea hofu tu watumishi lakini huduma still zilikuwa mbovu.
Bila pesa hakuna matibabu.
JK unatibiwa kwanza pesa baadae.control number kwanza matibabu baadae.
 
Morogoro referral hosptal. Haina hadhi ya hosptal ya rufaaa utumbo mtupu. Dawa nyingi hawana mpaka mtu ufunge safari kwa msafiri sababu ya bima.
 
Back
Top Bottom