Shambaboy jogoli
JF-Expert Member
- Apr 7, 2020
- 1,223
- 1,627
AiseeMada ni kuwa inakuweje maduka nje ya hospitali yawe na dawa lakini ndani ya hospitali hakuna dawa wala gloves?
We umeangalia hospitali moja mi nimefanya mzunguko wa hospitali nyingi za serikali.
Isitoshe pia kusema sisi ambao tunakaa na manesi jirani wanavyowauzia dawa majirani wanawazunguka, kila aina ya dawa wanazo na nyingi za watoto,.
Mkuu..hapa umeongea point nzuri..ambayo inaitaji mjadala mpana..kutolewa dawa bure na upatikanaji usio na mashaka wa hizo dawa za bure kwenye hivi vituo vyetu vya afya..kwa maoni yangu hii ni changamoto kubwa sana kwa vituo vingi vya afya kuweza kuendesha kazi zao za kila siku kwa ufanisi..Hebu ileza maduka ya nje yanakuwaje chanzo cha ukozefu wa dawa hospitali. Serikalo inasema mama ni bure Lakini hivyo vitu vya bure huwa serikali yenyewe haivileti sasa kosa la nani kwa mfano
Sent using Jamii Forums mobile app
Nchi hii imejaa wapumbavu. Luckily mimi siyo Daktari.Hii nchi ina Wapumbavu wengi mtoa mada akiwa mmojawapo
Upatikanaji wa dawa ndani ya Hospitali hauna uhusiano na uwepo wa dawa katika maduka yaliyoko nje ya Hospitali. Dhana hiyo ni moya ya akili fupi alizopata kuwa nazo yeyote aliyefikiria.
Serikali iboreshe mifumo yake ya upatikanaji wa dawa kupitia MSD, Wazabuni binafsi na taratibu zingine ili Vituo vyake viwe na dawa.
Unapoanza kushangaa kwa nini Maduka ya nje ya Hospitali yana dawa na na Zahanati au Hospitali hakuna kwani chanzo chao ni kimoja? Taratibu za manunuzi kwa Hospitali zinafanana na taratibu za manunuzi za mtu binafsi? Famasi Binafsi wanaweza at any time t wakaenda Kariakoo au kwenye Duka lolote la Jumla wakanunua mzigo aidha kwa Cash au Mali kauli wakaweka dukani, je taratibu za manunuzi ya Umma yanaruhusu hilo?
Hii nchi Wapumbavu ni wengi sana kuliko tunavyodhania.
Wakati wa Magufuli Basket Fund haikutoka hata 100 mbovu, hospitali zilipitia kipindi kigumu sana.Mtoa mada Muongo kichizi hata kipindi cha magufuli hali ni ile ile tuliuguza sana temeke pale...tena usiku ndo kabisa hakuna huduma 2019 hata gloves zilikua dili hospital za serikali
Huu ndio ukweli but mchunguHii nchi ina Wapumbavu wengi mtoa mada akiwa mmojawapo
Upatikanaji wa dawa ndani ya Hospitali hauna uhusiano na uwepo wa dawa katika maduka yaliyoko nje ya Hospitali. Dhana hiyo ni moya ya akili fupi alizopata kuwa nazo yeyote aliyefikiria.
Serikali iboreshe mifumo yake ya upatikanaji wa dawa kupitia MSD, Wazabuni binafsi na taratibu zingine ili Vituo vyake viwe na dawa.
Unapoanza kushangaa kwa nini Maduka ya nje ya Hospitali yana dawa na na Zahanati au Hospitali hakuna kwani chanzo chao ni kimoja? Taratibu za manunuzi kwa Hospitali zinafanana na taratibu za manunuzi za mtu binafsi? Famasi Binafsi wanaweza at any time t wakaenda Kariakoo au kwenye Duka lolote la Jumla wakanunua mzigo aidha kwa Cash au Mali kauli wakaweka dukani, je taratibu za manunuzi ya Umma yanaruhusu hilo?
Hii nchi Wapumbavu ni wengi sana kuliko tunavyodhania.
Usiwalaum wanakuambia ukachukue dawa kiliman pharmacy watalum wenye jukum la kuakikisha dawa inapatikan katkka hospital hao wenye pharmacy nje wanatusaidia sana sema kila mmoja anasema kwa utashi wake utakuta pharmacy wana dawa nzur currently lkin hospital za umma wana dawa za kawaida oldest kwa ntumiaj wa bima dawa nzan malalamiko yetu kiini cheke ni wasiotumia bima all in all uzembe wa wakuu wa hospital za umma kuanzia mganga mkuu mpharamacia na uhab wa dawa msd ndio wenye maduka bianfs wanatumia kma fursa big up kwao wanatusadia sana kwenye dharuraKilimani Pharmacy pale Mawenzi Hospital Moshi. Nilizungushwa sana wakati nauguza. Kila kitu kuanzia mionzi hadi dawa nililazimika kwenda pale sababu hapo hospital wameshatengeneza network ya kupiga pesa. Utasubirishwa pasipo sababu ya msingi huku ukiambiwa kama unaweza nenda kapige hapo kilimani uje doctor akupe huduma. Dawa zote unazoandikiwa hazipo, ila utaambiwa nenda hapo kilimani wanazo
Huruhusiwi kuandika dawa nje na orodha ya dawa zinazopatikana kwenye hospitali binafsi, ukikaidi mwisho wa mwezi utauona mchungu.Mbona kwenye Hospital binafsi hukuti haya maduka ya dawa yamewekwa nje ya mageti yao?
Mbowe vip hali yake mkuu?Umedanganya , Sheria ilimzuia Magufuli kufunga maduka ya dawa karibu na Hospitali , akaamua kuanzisha maduka ya MSD ili kuyashinda maduka binafsi , huku akisahau kwamba kila wodi ya Wagonjwa kule ndani , sewahaji , Mwaisela nk zinayo maduka humo humo vyumbani , kifupi alichemsha vibaya .
Maduka ya dawa hukaguliwa na Mamlaka ya chakula na dawa , hakuna dawa ya serikali inaweza kuuzwa mle , maana dawa zao zina nembo
Kipindi cha awamu ya tano Mheshimiwa Raisi Magufuli alipiga marufuku sana ya maduka yaliyo nje ya hospitali za serikali, kwani ilionekana kuwa hayo maduka ndo chanzo cha Kukosekana dawa ndani ya hospitali hizi za serikali.
Wengi tulishuhudia huduma nzuri pamoja na upatikanaji wa dawa ndani ya hospitali lakini leo mambo yamejirudia pale pale.
Leo hii Mwananchi wa kawaida anaona ni bora akapate huduma katika Hospitali binafsi kuliko ya serikali kutokana na huduma mbovu zitolewazo katika Hospitali za umma.
Ndani ya hospitali za serikali mara nyingi utapimwa vipimo lakini baada ya majibu kuja utaandikiwa paracetamol na dawa nyingine utaambiwa kanunue duka lililopo nje ya geti.
Kwa upande wa kina mama wanaojifungua tunaambiwa ni bure lakini Hospital nyingi za umma huwa wanalipishwa, huku wajawazito wakiamriwa waje na vifaa vya kujifungulia kama vile pamba. Gloves nk.
Wizara ya afya wafuatilie na pia wawe wakali maana Hospitali za umma zimekuwa changamoto sana kwa wananchi wa kawaida.
Almost zote !! Sometimes tuwe wakweli, maana wengine hawapendi kukubali ukweli, hii issue ni kama cancer ya nchi, kuna kipindi hupungua makali kidogo lakini IPO palepale !! Au nasema uongo bandugu ??!ni hospital gani hiyo? Ni vyema ungeitaja
Siyo kwamba huruhusiwi kuandika.Huruhusiwi kuandika dawa nje na orodha ya dawa zinazopatikana kwenye hospitali binafsi, ukikaidi mwisho wa mwezi utauona mchungu.
Atataja ngapi wakati kina kona ya nchi hii umejaa uozo tu?ni hospital gani hiyo? Ni vyema ungeitaja
Huu msamiati mpya, diblo ndo nani naye huyu!Acha kupotosha wewe, lini maduka binafsi yaliyoko nje ya hospital yalifungwa?
Yaani alikuja na mbwembwe nyingi eti maduka yote yaliyopo nje ya hospital yafungwe, wakamtazama tu, hakuna aliyefunga , na hakuna kilichofuata!
Suluhisho ni kuweka dawa hospitalini tu, sasa ukiyafunga halafu bado dawa kwenye hizo hospital hakuna, kuna nini?ule ulikuwa ni UKURUPUKAJI TU, na jiwe na diblo waliangukia pua.
Ni kweli mkuu ila pia dunia ya sasa usipojitambua ukawa na ujinga mwingi unaweza ukalipishwa kiingilio na mkeo kwenye nyumba yako ambayo umeinjenga mwenyewe.Dunia ya sasa hivi ukipenda vya bure na dezo utaishi maisha magumu mno.
Hata wakati wa jpm mfumo ulikuwa huu huuKipindi cha awamu ya tano Mheshimiwa Raisi Magufuli alipiga marufuku sana ya maduka yaliyo nje ya hospitali za serikali, kwani ilionekana kuwa hayo maduka ndo chanzo cha Kukosekana dawa ndani ya hospitali hizi za serikali.
Wengi tulishuhudia huduma nzuri pamoja na upatikanaji wa dawa ndani ya hospitali lakini leo mambo yamejirudia pale pale.
Leo hii Mwananchi wa kawaida anaona ni bora akapate huduma katika Hospitali binafsi kuliko ya serikali kutokana na huduma mbovu zitolewazo katika Hospitali za umma.
Ndani ya hospitali za serikali mara nyingi utapimwa vipimo lakini baada ya majibu kuja utaandikiwa paracetamol na dawa nyingine utaambiwa kanunue duka lililopo nje ya geti.
Kwa upande wa kina mama wanaojifungua tunaambiwa ni bure lakini Hospital nyingi za umma huwa wanalipishwa, huku wajawazito wakiamriwa waje na vifaa vya kujifungulia kama vile pamba. Gloves nk.
Wizara ya afya wafuatilie na pia wawe wakali maana Hospitali za umma zimekuwa changamoto sana kwa wananchi wa kawaida.
Hahaa!! huyo ni PMHuu msamiati mpya, diblo ndo nani naye huyu!