Maelfu wamiminika kuchukua Udongo mtakatifu huko Arusha kwa mtume Mwamposa

Wanakula au unauweka ndani tu?
Unamwaga shambani kama ni mkulima, eka moja unavuna gunia 45 za mahindi. Ukimwaga kwenye uwanja wako ndani ya mwaka umemaliza ujenzi. Ukimwaga kuzunguka fensi yako, mchawi au mwanga hagusi hapo. Ukimwaga kidogo nje ya ofisi, promotion ni mapema tu.
 
Unamwaga shambani kama ni mkulima, eka moja unavuna gunia 45 za mahindi. Ukimwaga kwenye uwanja wako ndani ya mwaka umemaliza ujenzi. Ukimwaga kuzunguka fensi yako, mchawi au mwanga hagusi hapo. Ukimwaga kidogo nje ya ofisi, promotion ni mapema tu.
Nikamwage bank tu
 
Udongo wa bwawa la mwalimu Nyerere la Rufiji,baada ya kumaliza kuchimba bwawa hilo wahandisi walikosa pa kuutupa Mwamposa akapita nao.
 
Mwamposa piga pesa sana,wajinga mpka waamke watajua wao
 
Maskini WAKRISTO, wasiojitambua. Watashtuka akili zikiwa zimeharibiwa kiwango cha kutotibika. Ni ugonjwa wa akili wa kidini
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…