Proved
JF-Expert Member
- Sep 10, 2018
- 32,639
- 42,908
Wanaupeleka shambani wanapolima.Wanakula au unauweka ndani tu?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wanaupeleka shambani wanapolima.Wanakula au unauweka ndani tu?
Unamwaga shambani kama ni mkulima, eka moja unavuna gunia 45 za mahindi. Ukimwaga kwenye uwanja wako ndani ya mwaka umemaliza ujenzi. Ukimwaga kuzunguka fensi yako, mchawi au mwanga hagusi hapo. Ukimwaga kidogo nje ya ofisi, promotion ni mapema tu.Wanakula au unauweka ndani tu?
Nikamwage bank tuUnamwaga shambani kama ni mkulima, eka moja unavuna gunia 45 za mahindi. Ukimwaga kwenye uwanja wako ndani ya mwaka umemaliza ujenzi. Ukimwaga kuzunguka fensi yako, mchawi au mwanga hagusi hapo. Ukimwaga kidogo nje ya ofisi, promotion ni mapema tu.
Ila maji ya zamzam kutoka Maka ni sawa tu?Neno limegeuzwa mchanga, imani za watu zimeamia kwenye udongo kama mafundi ujenzi. Au ndo ujenzi huru !!!!
Imani ni kitu Kibaya kule India wahindu wanakunywa mkojo wa ng'ombe wanasema ni dawaImani...
Hayo maji yanauzwa?Ila maji ya zamzam kutoka Maka ni sawa tu?
MeccaHuu udongo unaogombaniwa wa Mwamposa unatoka ardhi gani?
Udongo wa bwawa la mwalimu Nyerere la Rufiji,baada ya kumaliza kuchimba bwawa hilo wahandisi walikosa pa kuutupa Mwamposa akapita nao.Maelfu ya watanzania wamonekana katika misururu mirefu wakipanga foleni kuchukua Udongo mtakatifu kutoka kwa mtume Mwamposa huko Arusha ili udongo huo uweze kuwatatulia matatizo Yao mbali mbali ikiwemo umasikini , njaa na magonjwa mbalimbali.
Baada ya kuja na version ya mafuta na maji sasa mtume amekuja na Udongo . Tusubiri next version atakuja na nini.
Badala ya kuchukua Udongo kupeleka maabara kupima kama unafaa kwa kilimo cha aina Fulani ya mazao watanzania wanachukua Udongo unaoitwa mtakatifu ili kuwatatulia matatizo waliyo nayo. We still have a long journey to Go.
Mwamposa piga pesa sana,wajinga mpka waamke watajua waoMaelfu ya watanzania wamonekana katika misururu mirefu wakipanga foleni kuchukua Udongo mtakatifu kutoka kwa mtume Mwamposa huko Arusha ili udongo huo uweze kuwatatulia matatizo Yao mbali mbali ikiwemo umasikini , njaa na magonjwa mbalimbali.
Baada ya kuja na version ya mafuta na maji sasa mtume amekuja na Udongo . Tusubiri next version atakuja na nini.
Badala ya kuchukua Udongo kupeleka maabara kupima kama unafaa kwa kilimo cha aina Fulani ya mazao watanzania wanachukua Udongo unaoitwa mtakatifu ili kuwatatulia matatizo waliyo nayo. We still have a long journey to Go.
Maji si uganga wa kienyeji tu nayo. Hakuna cha sawa hapo...Ila maji ya zamzam kutoka Maka ni sawa tu?
Maskini WAKRISTO, wasiojitambua. Watashtuka akili zikiwa zimeharibiwa kiwango cha kutotibika. Ni ugonjwa wa akili wa kidiniMaelfu ya watanzania wamonekana katika misururu mirefu wakipanga foleni kuchukua Udongo mtakatifu kutoka kwa mtume Mwamposa huko Arusha ili udongo huo uweze kuwatatulia matatizo Yao mbali mbali ikiwemo umasikini , njaa na magonjwa mbalimbali.
Baada ya kuja na version ya mafuta na maji sasa mtume amekuja na Udongo . Tusubiri next version atakuja na nini.
Badala ya kuchukua Udongo kupeleka maabara kupima kama unafaa kwa kilimo cha aina Fulani ya mazao watanzania wanachukua Udongo unaoitwa mtakatifu ili kuwatatulia matatizo waliyo nayo. We still have a long journey to Go.
Kabisa mkuu... ELIMU, ELIMU, ELIMU...RIP LowasaKweli ujinga hauwezi kuisha