Benjamini Netanyahu
JF-Expert Member
- Aug 7, 2014
- 95,871
- 116,627
TeteteteteUsitukane mamba kabla hujavuka mto, huenda na wewe ukawa hivyo hivyo tukikupa ridhaa ya kutuongoza Watanzania.
Ukajikuta unakwenda kujenga airport kubwa zaidi hapo Babati😂😂😂(Jokes)
Hakuna la maana linalofanyika hata kidogoKumfurahisha mkulu inatugharimu kuliko kutufaidisha!
Yale yale ya wale wanyama waliopelekwa burigi wakaishia kuona maruweruwe tu huko
siku hazigandiHaitatokea TZ mkuu acha ndoto za mchana!
acha mbwembwe wewe, ndege sio tu kwa ajili ya abiria wa hicho kijj ambacho uwanja upo, ni kwa ajiri ya ukanda mzima wa maeneo hayo, so abiria hawawezi kukosekanaKwa wale ambao hawapajui chato, kule hakuna uwakika wa abiria 10 wa Ndege kwa kila cku. Kijij ni cha wavuvi, kushoto ni pori la burigi. Hakuna shughuli za kibiashara.
Hatutashangaa kupelekwa ndeg kumfurahisha mzee baba, ila wajue kuna cku watashitakia kwa ujumu uchumj hata baada ya miaka 10. Jinai huwa haiozi
'Route' hiyo ni ya moja kwa moja au inaunganisha na vituo vingine ili kukusanya abiria?
Hii ndio taarifa mpya kwa sasa kuhusiana na ruti mpya ya ndege za ATCL, kwamba baada ya ukaguzi wa Uwanja huo na kuonekana uko sawa ndege hizo zitaanza kupeleka abiria na kuwachukua kutokea Chato.
Hayo yamebainishwa na ofisa wa shirika hilo Mh Kavishe.
Kama shirika limeona kuna potentials hakuna shida Kama itaenda bila abiria wa kutosha itakuwa ni aibu.Kama abiria wapo hakuna shida ziende
Sawa Mkuu......Muda haudanganyi mkuu na historia huwa ina tabia ya kujirudia.Haitatokea TZ mkuu acha ndoto za mchana!
Acha uongo, labda basi la kwenda MbinguniKama Mabus yameshindwa kupata abiria CHATO itakuaje Kwenye ndege?
Watakosa abiria hiyo ruti
Hii ndio taarifa mpya kwa sasa kuhusiana na ruti mpya ya ndege za ATCL, kwamba baada ya ukaguzi wa Uwanja huo na kuonekana uko sawa ndege hizo zitaanza kupeleka abiria na kuwachukua kutokea Chato.
Hayo yamebainishwa na ofisa wa shirika hilo Mh Kavishe.
Hakuna hata moja mkuuATCL?
Naomba kwanza mnipe orodha ya mabasi yanayofanya safari za moja kwa moja DAR-CHATO na CHATO-DAR
Hivi Mfugale mpaka leo hajafikisha miaka 60 ya kustaafu?Mtendaji Mkuu wa ATCL, Mhandishi Ladislaus Matindi amesema wanatarajia kuanza safari za ndege kwenda mkoani Geita kutokea Dar es Salaam kuanzia Januari 9, 2021. Amesema wataanza na safari mbili kwa wiki na zitaongezeka kuwa tatu kuanzia Januari 18 (Jumatatu, Alhamisi & Jumamosi).
View attachment 1662691
Ni jambo jema!Mtendaji Mkuu wa ATCL, Mhandishi Ladislaus Matindi amesema wanatarajia kuanza safari za ndege kwenda mkoani Geita kutokea Dar es Salaam kuanzia Januari 9, 2021. Amesema wataanza na safari mbili kwa wiki na zitaongezeka kuwa tatu kuanzia Januari 18 (Jumatatu, Alhamisi & Jumamosi).
View attachment 1662691
Fantastic news. Au unatia tu Kamanda? Unajua eneo hilo ni kubwa lina watu milioni 4. Nearest other Airport ni Mwanza (350 kilometres) au Entebbe (429) au Lubumbashi (500). Linganisha na kwa Mbowe kuna international airports 3 ( KIA 45 kms, Embakasi 187, na Arusha 62), kwa watu milioni 2.5 tu. Which is better?Mtendaji Mkuu wa ATCL, Mhandishi Ladislaus Matindi amesema wanatarajia kuanza safari za ndege kwenda mkoani Geita kutokea Dar es Salaam kuanzia Januari 9, 2021. Amesema wataanza na safari mbili kwa wiki na zitaongezeka kuwa tatu kuanzia Januari 18 (Jumatatu, Alhamisi & Jumamosi).
View attachment 1662691
Matajiri wa madini wanataka ndege bwashee!ATCL??
Naomba kwanza mnipe orodha ya mabasi yanayofanya safari za moja kwa moja DAR-CHATO na CHATO-DAR