SGR ndo kabisaa sio ya JK, jamaa wana design and build na ht pesa za awamu ya kwanza zilitoka hazina hazikuombwa popote, hio detail design ya JK ya mreli wa desel km wa kenya km ilikuepo haijawasaidia popote.Mradi kabla ya kufikia level ya detailed project design , bado upo katika barua ya uchumba ( kutongoza ), fly over ya Tazara imejengwa na Magufuli.
Bora ungesema reli ya SGR ni Kikwete kwa sababu level ya Detailed Project Design tayari ulifikia na kuombewa pesa. ( mradi mimba)
Bora ukemee mabaya na kusifia mazuriProject ya kuchochea ukabila na kuvunja umoja wa kitaifa
Hii kituo cha mabus kaingia kaikuta ishaanzaKituo cha mabasi Mbezi..
Kuhamia Dodoma.
Haijakamilika na bado iko mbali sana mpaka kukamilikaSGR Dsm to Moro.
Kuhama Dodoma bado inategemea wamaomfuata Kama wataendeleza, wakizembea tu kidogo Wana wanarudi Dsm..
Wala hakua na miradi mingi , ni promotion tuTatizo la Magufuli, alidhani atakuwa Rais wa Tanzania milele miradi mingi utadhani aliambiwa hawatakuja watu wengine kufanya haya mambo ni kupokezana vijiti unajikuna unapoweza unaachia wengine nao wataendeleza hakujifunza kuwa alianza kuyafanya Nyerere na hakuweza kumaliza.
Kuanzia mwaka Jana hadi mauti inamkuta napeleka chato billion 127Hivi hii chato mbona kwenye tv inaonekana kama bushi bado au kuna eneo maalum lilikua linaendelezwa?
Kwenye makaratasi?maana hakuacha hata nguzo mojaNamba 2 hapo hakuuanza yeye. JK alishauanza na ulikuwa almost done.
Fly over zote ni miradi ya kikwete ya mwaka 2013 hukoNamba 2 hapo hakuuanza yeye. JK alishauanza na ulikuwa almost done.
Kwenye makaratasi?maana hakuacha hata nguzo moja
[/QUOTE Mradi ni pesa ndugu sio kingine.
tatizo sio mradi ulipangwa mda gan. Kwa Tanzania ilivyo wanaweza kupanga mradi mwaka huu na ela ikaombwa ila itekeezaji ukawa zero.Mradi kabla ya kufikia level ya detailed project design , bado upo katika barua ya uchumba ( kutongoza ), fly over ya Tazara imejengwa na Magufuli.
Bora ungesema reli ya SGR ni Kikwete kwa sababu level ya Detailed Project Design tayari ulifikia na kuombewa pesa. ( mradi mimba)
Alisema viwanda 8447 (viwanda hewa)Katika kusoma wasifu wake sikuona sehemu yoyote ile Kabudi akitaja ujenzi wa Tanzania ya viwanda, sambamba na kuanzishwa kwa viwanda vipya zaidi ya 3,000 vilivyotapakaa nchi nzima.
HahahahahaKwa level ya raisi mabweni score yake ni zero. Ni sawa na baba ako ajenge choo mwaka mzima useme mafanikio.
Huu ni mradi!!???Project ya kuchochea ukabila na kuvunja umoja wa kitaifa
Kwahiyo kuwaondoa wachaga waliojazana TRA kwa vyeti feki ni ukabila pia? Kama mna uwezo na vigezo vya ajira si mkaombe kazi sehemu nyengine.Project ya kuchochea ukabila na kuvunja umoja wa kitaifa
Hapana si kweliVimejengwa chini ya muhula wake...
Kwa kifupi awamu ya JPM, serikali yake imejitahidi sana kwenye miundombinu ikiwepo vitu vya mabasi ya mkoa hadi mkoa
Tazara flyover si wa Magufuli yeye alimalizia tu1. Mabweni ya Chuo Kikuu Cha DAR ES SALAAM
2. Tazara flyover
3. Ubungo flyover
4. Mv. Hapa Kazi TU
5. Mv Mbeya
6. Daraja la Mkupita
Jamani leo ikiwa ni siku ya mazishi yake haki yake tumpeni kila mradi alioukamilisha tuutaje
Waziri alikuwa nani au Mdude wa ChademaHapana si kweli
Awamu ya NNE iliyotandika lami kuunganisha nch nzima nayo tutasemaje ?