Kibanga Ampiga Mkoloni
JF-Expert Member
- Aug 9, 2007
- 18,772
- 8,939
SGR Dsm to Moro.
Kuhama Dodoma bado inategemea wamaomfuata Kama wataendeleza, wakizembea tu kidogo Wana wanarudi Dsm..
Wanarudi vipi Dar na hela za uamisho walishakula.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
SGR Dsm to Moro.
Kuhama Dodoma bado inategemea wamaomfuata Kama wataendeleza, wakizembea tu kidogo Wana wanarudi Dsm..
Bila kusahahu MATAGA.Pia alifanikisha
Wasiojulikana
Uzalendo kwA definition yao ya kipekee
Donors wanaochangia bajeti Kuwaita Mabeberu
Kuundwa kwA kikundi cha wanyonge
Maiti zinaokotwa mtu ruvu, coco beach , wasiojulikana , case za uhujumu uchumi , kubambikiziwa case , kufilisiwa , korosho, mbaazi,mahindi , kahawa, samakiBasi atakuwa amejenga fundi Michael, kuna watu leo wameamua hawataki tu kusikia kuna mema ya Hayati Magufuli.
Vituo vya afya vya kata vilianza kujengwa tangu 2013 na sehemu nyingi zilikuwa hazina wahudumu hivyo vituo vilikuwa havitumiki kata nyingi vituo vilikuwepo ila havijaanza kutumika vingine vilikuwa havijakamilika tuache kutukuza mtu hadi tunakuwa waongo. Hayo yalifanywa na kikwete , magufuli kaja kuvifungua.Nimefarijika kuona kwa mara ya kwanza umekuwa na maoni chanya kwa marehemu JPM.
Huu Uzi unakua Uzi bora mnoVituo vya afya vya kata vilianza kujengwa tangu 2013 na sehemu nyingi zilikuwa hazina wahudumu hivyo vituo vilikuwa havitumiki kata nyingi vituo vilikuwepo ila havijaanza kutumika vingine vilikuwa havijakamilika tuache kutukuza mtu hadi tunakuwa waongo. Hayo yalifanywa na kikwete , magufuli kaja kuvifungua.
Hospital ya kwangwa iko hatua gani?tatizo sio mradi ulipangwa mda gan. Kwa Tanzania ilivyo wanaweza kupanga mradi mwaka huu na ela ikaombwa ila itekeezaji ukawa zero.
Sisi wa mara tutamkumbuka kwa kuweza kumalizia hospital ya kwangwa iliyoanza ujenz wake toka enzi za Nyerere (japo sio kwa 100%)
Gepg ulikuwa mradi wa Awamu ya 4Tazara flyover siyo mradi wa awamu ya tano ulikuwa wa awamu ya nne kwa hiyo uundolewe
Jambo jingine ni elimu bure
Malipo kwa control no
Ununuzi wa ndege mpya
Asante mkuu kwa taarifaGepg ulikuwa mradi wa Awamu ya 4
Nafikiri huu mradi, ni mmoja ya miradi aliyo ifanikisha sanaaaa.Mradi wa kuuwa vyama vya upizani (lengo ilikua ukamilike kabla ya 2020) umefikia hatua gani?
Isipokuwa Polisi na jeshini,pamoja na Bashite!Wafanyakazi hewa kawamaliza
Cheti feki kafagia
Ulichojibu hakiendani na hoja ya uliyemnukuu!Swali rahisi tu, ukimtongoza mwanamke ila mwenzio akaja akampa mimba huyo mtoto ni wako?
Kwa hiyo miradi mingi kwako kero? Dah! Hii nchi ina wachawi wengi aisee...Tatizo la Magufuli, alidhani atakuwa Rais wa Tanzania milele miradi mingi utadhani aliambiwa hawatakuja watu wengine kufanya haya mambo ni kupokezana vijiti unajikuna unapoweza unaachia wengine nao wataendeleza hakujifunza kuwa alianza kuyafanya Nyerere na hakuweza kumaliza.
Mkuu heshima yako..!Sisi wa Uswazi ndani ndani...
Barabara ya lami gomz to Moshi bar yenye taa na mitaro yake...Mradi wa maji kisarawe to gomz, toka 1994 tunahamia gomz hatukuwahi kua na maji ya bomba, chuma kimeingia in 4yrs mimaji km yote...
Na Flyover yetu ya Tazara, hii watu wanaosema ni ya JK nadhani ni vyema ht waka google kuangalia ilianza lini na ikaisha lini, sisi wakazi wa maeno hayo ndo tunaijua zaidi msitusemee tafadhali(Mipango sio matumizi, wewe demu wako akipewa mimba na mtu mwingine huyo mtoto anakuaje wa kwako?)
SawaNamba 2 & 3 sio miradi ya JPM! Yeye alikuta hadi pesa zimeshapatikana, akaja kuitekeleza tu.
Ulianza zamani 2012Uwanja wa Ndege Julius Nyerere Terminal iii
Alifanya ukabila gani ebu fafanua kidogo au aliwashika pabaya?Project ya kuchochea ukabila na kuvunja umoja wa kitaifa
Ndio. Imeishaanza kutumika baadhi ya majengo bado kidogo tumikamilike yoteHospital ya kwangwa iko hatua gani?
Si ndio inatakiwa kuwa hospital ya rufaa ya mkoa.
Airtel kumbe imerudi serikalin?Kufufua mashirika ya Umma kama TTCL, Airtel kurudi serikalini, Reli ya Dar-Moshi nk.
Mnyonge mnyongeni, haki yake mpeni!