Oxpower
JF-Expert Member
- Jan 15, 2012
- 2,166
- 3,077
Acha siasa .hivi unajua ni lini ujenzi ulianza hapo?Kumbe hujui kitu kijana. Kilichofanyanyika awamu ya 5 ni unyampara tu kwenye hilo Daraja.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Acha siasa .hivi unajua ni lini ujenzi ulianza hapo?Kumbe hujui kitu kijana. Kilichofanyanyika awamu ya 5 ni unyampara tu kwenye hilo Daraja.
Hata ujenzi wa gati mafia si magufuli gati ilisha jengwa wakati wa kikwete wakawa hawaitumii kwa sababu ya biashara ya fiberStendi ya Morogoro umeongeza chumvi.
Namba 2 & 3 sio miradi ya JPM! Yeye alikuta hadi pesa zimeshapatikana, akaja kuitekeleza tu.1. Mabweni ya Chuo Kikuu Cha DAR ES SALAAM
2. Tazara flyover
3. Ubungo flyover
4. Mv. Hapa Kazi TU
5. Mv Mbeya
6. Daraja la Mkupita
Jamani leo ikiwa ni siku ya mazishi yake haki yake tumpeni kila mradi alioukamilisha tuutaje
Tafuta mradi wa NHC Chato lakini kwa bahati mbaya mradi wenyewe nahisi utakufa kifo cha mende.Hivi hii chato mbona kwenye tv inaonekana kama bushi bado au kuna eneo maalum lilikua linaendelezwa?
KumbeHata ujenzi wa gati mafia si magufuli gati ilisha jengwa wakati wa kikwete wakawa hawaitumii kwa sababu ya biashara ya fiber
[emoji1787] wapi Zambia?TAZARA flyover ameikuta!.
Nimefarijika kuona kwa mara ya kwanza umekuwa na maoni chanya kwa marehemu JPM.Kwakweli vituo vya afya kila kata ni msingi mzuri wa community health. Vikipata maji ya uhakika na umeme, mafridge ya kuhifadhia dawa na wataalamu wenye sifa. Mzigo mkubwa kwenye hospitali za rufaa utapungua.
RIP Magufuli.
Basi atakuwa amejenga fundi Michael, kuna watu leo wameamua hawataki tu kusikia kuna mema ya Hayati Magufuli.Kumbe
Sasa atakua kajenga nn kama kila kitu wadau wanasema si yeye
Sure mkuu, yeye alitimiza wajbu wake regardless nani angemfata...big up JPMMkuu ukipewa nafasi fanya kwa sehemu yako bila kufikiria kuwa Kuna mwingine atakuja. Otherwise wewe una itilafu kichwani Kuna fyuzi imelegea.
Hii reli nani aliiua hadi yeye akaifufua?Kufufua reli ya kutoka Dar es salaam-Tanga-Kilimanjaro-Arusha
Hili hakulitimiza alibakiza vyeti feki pendwa, pamoja na kelele nyingi kuna vyeti feki pendwa hakuvigusa.Wafanyakazi hewa kawamaliza
Cheti feki kafagia
Acha uongo mkuu....Hii nshu ya stend si ndo had alimwambia madiwan wa dar wakichelewa kutoa eneo atahamisha hyo hela iende mkoa mwingne....How comes useme kaikuta????Hii kituo cha mabus kaingia kaikuta ishaanza
Wacha ubwege ww..kwan hao waliomtangulia hawakuona hyo miradi..mbona wasiifanyee baas..yy alikuwa anafanya kwa sababu hana uhakika na ndivyo ilivyo kuwa wanaokuja n wale wale wasiokua na maono na taifa hili..nenda kalale nyau ww..wacha tumuage kipenzi chetuTatizo la Magufuli, alidhani atakuwa Rais wa Tanzania milele miradi mingi utadhani aliambiwa hawatakuja watu wengine kufanya haya mambo ni kupokezana vijiti unajikuna unapoweza unaachia wengine nao wataendeleza hakujifunza kuwa alianza kuyafanya Nyerere na hakuweza kumaliza.
@Yego mlaunu ....hilo jina....yego faza [emoji3]alafu unaweza kuta hujui umesimliwa tu,nawe unashupaza shingo kuwa ndivo,jamaa kafanya mpeni stahili yake
Kabudi bafo yupo mbona?Wafanyakazi hewa kawamaliza
Cheti feki kafagia
Wanapamba mno hadi wanaongopa wengine ni mashabiki tu hawajui lolote nimeenda mafia mwishoni mwa 2014 nimeikuta gati ile ipo ila haitumiwi sababu matajiri wenye fiber wanahujumu ili waendelee kupiga pesa za kuwavusha watu kutoka kilipo tia nanga kivuko hadi nchi kavuKumbe
Sasa atakua kajenga nn kama kila kitu wadau wanasema si yeye