Basi atakuwa amejenga fundi Michael, kuna watu leo wameamua hawataki tu kusikia kuna mema ya Hayati Magufuli.
Maiti zinaokotwa mtu ruvu, coco beach , wasiojulikana , case za uhujumu uchumi , kubambikiziwa case , kufilisiwa , korosho, mbaazi,mahindi , kahawa, samaki

Siwez kua mnafiki, hakuna jema
 
Nimefarijika kuona kwa mara ya kwanza umekuwa na maoni chanya kwa marehemu JPM.
Vituo vya afya vya kata vilianza kujengwa tangu 2013 na sehemu nyingi zilikuwa hazina wahudumu hivyo vituo vilikuwa havitumiki kata nyingi vituo vilikuwepo ila havijaanza kutumika vingine vilikuwa havijakamilika tuache kutukuza mtu hadi tunakuwa waongo. Hayo yalifanywa na kikwete , magufuli kaja kuvifungua.
 
Huu Uzi unakua Uzi bora mno

JK alikua mtu sana , alichofanya kwenye shule za kata kahamishia vituo vya afya kata hivyo hivyo
 
Hospital ya kwangwa iko hatua gani?

Si ndio inatakiwa kuwa hospital ya rufaa ya mkoa.
 
Mradi wa kuuwa vyama vya upizani (lengo ilikua ukamilike kabla ya 2020) umefikia hatua gani?
Nafikiri huu mradi, ni mmoja ya miradi aliyo ifanikisha sanaaaa.

Wewe mpaka Mwamba aliye tangazo kuwa ndani ya massaa 24 atakuwa Waziri Mkuu anayakimbia matokeo na madeni yote ya wasimamizi wa vituo.

Mbunge wa Nkasi oyeeeeeee. Covid 19 oyeeeeeee.
 
Kwa hiyo miradi mingi kwako kero? Dah! Hii nchi ina wachawi wengi aisee...
 
Mkuu heshima yako..!

Hapa umevunja ukimya.
 
Kufufua mashirika ya Umma kama TTCL, Airtel kurudi serikalini, Reli ya Dar-Moshi nk.

Mnyonge mnyongeni, haki yake mpeni!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…