Mafanikio ya Rais Magufuli 2015 - 2021
Tukianza kutaja hapa aliyoyafanya tutakesha. Hakuna Rais bora Tanzania hii kama Magufuli.
Ningeshangaa kama usingekuwa wa pili kuchangia,inawezekana una ID zaidi ya moja,nchi za wenye akili hiyo sio sifa ni majukumu ya serikali..ili ushawishi watu wakupende unanakiwa u create jobs. Amkeni nyinyi wafuga n'gombe.
 
Huyu ndiye..kilichobaki dunia kwa ujumla ni kumuombea dua zetu huko alipo [emoji173]
FB_IMG_1647511508211.jpg
 
Magufuli hajasari nje ya Africa na wala hakupandisha ghalama za maisha lakini................👇
1. JPM anajenga Reli ya Mwendo kasi – SGR.
2. JPM anajenga Bwawa la Umeme – Nyerere HydroPower.
3. JPM amenunua Ndege 13 aina tofautitofauti.
4. JPM amejenga Ikulu kule Dodoma na yale Magorofa ya Wizara kule Mji wa Serikali Dodoma ( Mtumba) Magufuli City
5. JPM amehamisha Makao Makuu ya Serikali na ameijenga Dodoma imekuwa Jiji
6. JPM amejenga FlyOver Dar es Salaam pale Ubungo na TAZARA.
7. JPM amejenga daraja la Tanzanite pale Selander.
8. JPM ametengeneza huu Mfumo wa Kompyuta wa Malipo ya Serikali.
9. JPM alikuwa anaweka umeme hadi Vijijini (kwa Tsh. 27,000/= tu.)
10. JPM ameshawishi Bomba la Mafuta kutoka Uganda lipite Tanzania.
11. JPM anajenga daraja la Kingongo Ferry Busisi kule ziwa Victoria.
12. JPM amejenga Meli kubwa mbili mbili kila ziwa, yaani Ziwa Victoria 2, Ziwa Tanganyika 2 na Ziwa Nyasa 2.
13. JPM amejenga Hospital za Kanda kubwa nne… Dodoma, Mara, Mtwara, Geita na Songea
14. JPM amejenga Hospitali za Wilaya Zaidi ya 70
15. JPM amejenga Mradi Mkubwa wa Maji ya Victoria kule Tabora
16. JPM amejenga Mradi wa Maji Mkubwa Arusha
17. JPM amejenga Barabara ya Njia Nane Dar es Salaam hadi Kibaha
18. JPM alikuwa anajenga Mizani za Kisasa kabisa Kwenye Barabara zote kubwa
19. JPM amejenga Vituo vya Afya Zaidi ya 500
20. JPM amejenga na Kununua Rada 4 za AirPort
21. JPM amejenga Viwanja vya Ndege Mara, Iringa, Mbeya, Chato, Songea na Rukwa
22. JPM amejenga Masoko ya Madini kila Mikoa yenye migodi ya madini
23. JPM amejenga ukuta wa Mirerani na kuweka Camera za Ulinzi
24. JPM amejenga Bandari Kilwa, na kuzipanua Bandari Mtwara, Tanga na Dar es Salaam
25. JPM amejenga Masoko ya Kisasa zaidi, ya maana kama Dodoma, Morogoro, Dar es Salaam
26. JPM amejenga Bus Stand za Kisasa Zaidi mikoani kama Dodoma, Morogoro, Dar es Salaam
27. JPM amenunua Vifaa Tiba kama MRI, CT Scan, Vifaa vya Kufanyia Oparations za Moyo pale JKCI Wagonjwa wanatoka nchi jirani kuja kutib
Pumba tu hizi. Nitajie Rais ambaye hajajenga kitu halafu nikuwekee muziki wake hapa!! Mbona hivyo vya DIKTETA wa Chato ni vichache sana!! Pamoja na kwamba kaanzisha bila kumalizia!!
 
Kuna mtu anazurura zurura na kuigiza akirudi nyumbani anatuambia Bei ya vitu TZ ni nafuu ukilinganisha na Marekani. WTF
Magufuli alikuwa hasafiri sababu ya mapungufu aliyokuwa nayo:
1. Ubovu wa mwili kwa vile aliwekewa pacemaker kifuani au betri mwaka1992 na ilikuwa chakavu. Alikuwa anaogopa kuzimika hewani.

2. English ilikuwa not reacheable pamoja na kuwa na PhD magumashi ya maganda ya korosho (RIP Ben Saanane). Ni aibu kuongea through Mkalimani hata kwenye nci zinazoongea kiingereza
 
Back
Top Bottom