Ongeza sauti mkuu,na umalizie kwa kusema ndani ya miaka mitano na miezi kidogo aliyokaa ikulu.

Hakika Mungu alitupa zawadi,na sasa zawadi hiyo ameichukua mfano wa Musa na wana wa israel kutoka misri.
Katika harakati za Musa kumtafuta Mungu arekebishe mambo,Aliinuka Haruni,raia wakamzidi nguvu akawatengenezea ndama sawasawa na matakwa yao(Wengi wape)

Tunamsubiria Yoshua aendelee na kazi,mengine yote ni kipindi cha mpito.Kanaani ni lazima tufike.
 
Ushawahi kuona popote pale hata mafichoni tu raisi wa china akiongea Kiingereza mtumwa mweusi ww.... mbona huna hata akili za kuambiwa ili uchanganye na zako... mirad yote alihoitaja mshkaj ww umeona Kiingereza tu ndo dili... masikini ng'ombe wake hazai kwel...
 
Safi sana..sasa malizia na kusema kuwa Deni la taifa liliongeza kwa skyrocketing kwa muda mfupi....
 
28.Alikopa kuliko mwingine yeyote
29.Aliondoa fao la kujitoa mifuko ya pension
30.Alipandisha makato ya wahitimu bodi ya mikopo kutoka asilimia 7 hadi 15
31.Hakupandisha mishahara kwa miaka mitano.
 
Magufuli, Magufuli. Magufuli.


Au Basi nisije nikatukanwa kwa ajili yako.
 
Tukianza kutaja hapa aliyoyafanya tutakesha. Hakuna Rais bora Tanzania hii kama Magufuli.
Mengineyo;
1. Alizuia mauajia ya albino na vikongwe.
2. Alizuia uwindaji haramu wa tembo na faru. Hapa tumeshuhudia tembo walioanza kubakia kwenye historia ya kuwahi kuwepo tanzania wakizaliana hadi kutapakaa kwenye makazi ya watu.
3. Kwa kiasi kikubwa alipunguza tatizo la watoto kukaa chini kwa kutengeneza madawati mengi.
Mambo ni mengi aghh
 
JPM alikuwa ni sawa na moto wa Nyuklia.
Kuna WAPUMBAVU wachache wanahangaika weee kufuta Legacy yake(JPM)
Nasema hivi, HAWATAWEZA.
JPM ni habari nyingine.
Walinda legaçy mna hasira[emoji23][emoji23]
 
Mikopo yenye masharti magumu
 
Bahati mbaya vyote kaviacha hata 30% havijakamilika na hapo kakaa miaka 6 madarakani...Vingeleta maana kama vingekua vinafanya Kazi.

Pamoja na uongo mwingi ila ligacy haitetewi bali inajitetea...(Wale wa Rukwa mumewahi uona uwanja wa ndege aliojenga Mwendazake?)

Kwani kuna mtu alimkataza kusafiri?
 
NYIE NDIO ZITTO ALISEMA MKAZIKWE PEMBENI YAKE

Sent from my SM-J600F using JamiiForums mobile app
 
Kipindi Cha jpm gharama za maiisha zilipanda kwa kasi ya sunami. Hajawahi kupandisha mishahara, hajaajiri yeyote, alikuwa anavamia account binafsi na kuiba hela, hakuwahi kuwalipa makandarasi waliokuwa wanaidai serikali, aliharibu zao la korosho .paka ikapelekea alipokuwa mtwara akashushiwa wingu bahati nzuri usalama wakamwahi vinginevyo angefia pale, wakulima wa mbaazi waliambiwa wale mbaazi zao.

Sijui wewe sukuma gang hujui maana ya gharama za maisha! Kama huju ndo hizo nimekutajia
 
Hatulaumu tulipoangukia...tunalaumu tulipojikwaa....
Kujilaumu bila kuchukua hatua ni kazi bure. Madeni yanakopwa na hali ya wananchi inazidi kua ngumu sana. Mpaka UVCCM saizi wamepunguza yale maandamano ya kupongeza vitu vya kijinga na wao jua linawawakia hasa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…