Siku nyingine usiwe unafunguka hivyo jifunze kumeza mateSasa hivi kuna Rushwa Sana Tena bila aibu, acha uongo! Twende nikakuonyeshe, Barabara ni za udongo tu, mahakama ya mafisadi haijawahi kufanya kazi , Watumishi Feki? Bandari watu wanapiga Kama kawa...
Maendeleo ni two directions "forward or backward"Chanzo cha kifo cha mwanafunzi Akwilin ni Maandamano ya Chadema.. Na kesi ipo mahakamani, sbb chanzo ni maandamano ya CDM, tusubiri mahakama itoe hukumu, acha uongo, CDM ndio chanzo cha kifo cha mwanafunzi huyo..!! Na yote uliyotaja hapo sijaona maendeleo.. Definition ya maendeleo unajua kweli?
Tena sasa hivi rushwa ni bei kubwa kwa sababu mtumishi anachukua high risk kupokea rushwa!We Jay One huna macho, masikio wala pua.
Jana tu nimetoa rushwa mchana kweupe kwenye ofisi ya serikali.
Wapi mkuu na bei gani..We Jay One huna macho, masikio wala pua.
Jana tu nimetoa rushwa mchana kweupe kwenye ofisi ya serikali.
Nenda kawaangalie mabibi wa mtwara wanavyofaidika na zao la korosho,hv unajua bei ya mazao ya biashara kama korosho,kahawa,pamba sasa hv ni sh ngapi na zamani yalikuwa sh ngapi?acheni unazi,Magufuli kafanya mengi tuu....unaongelea bibi yako ananufaika vp na ndege mbona huongelei vivuko vilivyonunuliwa mfano kivuko cha busisi kule mwanza...inamaana hata hicho mabibi hawatapanda??Hata mimi nilikua na akili kama zako kabla sijaenda huko vijijini kujionea hali halisi ya maisha ya watanzania wa huko.
Hali walizonazo hazisaidiwi na yote uliyoyaainisha hapo.
Kwa mfano, bibi zangu wanasaidika na nini kwa serikali kuhamia dodoma wakiwa wapo huko iringa?
Unazungumzia flyover sijui. Sasa watu wa mbeya inawasaidia nini?
Kama hujui, uwanja wa ndege na hizo flyover ni kikwete.
Pili, shida ya watanzania sio kuwa na serikali yenye ndege. Shida zetu ni maji safi na salama kila kona, madawa ya kutosha mahospitalini, shuleni kuwe na walimu wa kutosha, kila mwanafunzi wa elimu ya juu apewe mkopo pasipo kubagua maana kodi ni zetu wote
Kwa leo niishie hapo tu
Mkuu bei ya Korosho ni Raisi ameingilia kati au ni upepo wa soko la dunia tu? Kama ni hivyo mbona mbaazi imegoma? Naomba unieleweshe tafadhali!Nenda kawaangalie mabibi wa mtwara wanavyofaidika na zao la korosho,hv unajua bei ya mazao ya biashara kama korosho,kahawa,pamba sasa hv ni sh ngapi na zamani yalikuwa sh ngapi?acheni unazi,Magufuli kafanya mengi tuu....unaongelea bibi yako ananufaika vp na ndege mbona huongelei vivuko vilivyonunuliwa mfano kivuko cha busisi kule mwanza...inamaana hata hicho mabibi hawatapanda??
Mengi ni ya Kikwete.Ndugu watanzania wenzangu salamu sana..
Ebu tuweke siasa pembeni dakika chache tu tufikiri kidogo tu.. Naweka UCCM wangu pembeni hapa naomba na UCHADEMA ukae pembeni hapa..!! Let's talk serious issues..!!
Kwa miaka 2 na nusu tu, Mh. Rais Magufuli kafanya haya..
1: Kakomesha rushwa nchini kwa kiwango kikubwa mno mnoo..!!
2: Mafisadi papa wanashughulikiwa
3: Watumishi wenye vyeti feki wametolewa na kuendelea kuhakikiwa wengine..
4: Wizi wa kutisha Bandarini, Madini, TRA, Uwindaji haramu, etc umedhibitiwa haraka..
5: Ujenzi wa Reli ya Umeme wa kisasa kabisa umeanza..
6: Ujenzi wa Bwawa kubwa la umeme Stigler's Gorge 2,100 MW umeanza..!!
7: Kufufua Shirika letu la Ndege la ATCL, wote tumeona ndege mpya zimewasili tayari na zingine zitakuja very soon..!! Na zinaruka na ni marubani wazawa wanarusha..!!
8: Fly overs, ya TAZARA 98% tayari soon watafungua..!! Ubungo Interchange ujenzi mkubwa unaendelea..
9: Barabara za lami sehemu mbalimbali zinaendelea kujengwa..
10: Jengo la abiria la kisasa kabisa Uwanja wa Julius Nyerere International Airport Dar es Salaam karibia kumalizika...TANROAD wamefanya kazi nzuri mno mnoo.. Na viwanja vingi vya ndege vinaendelea kujengwa.. Runways kadhaa ziko under construction..!!
11: Serikali kuhamia Dodoma, hili ni suala kubwa sana sana, Mh. Rais kafanya kwa vitendo..!!
12: Majambazi wamemalizwa ndani ya muda mfupi tu na polisi waliokuwa sio waaminifu wameondolewa haraka..!! Siku hizi ujambazi umepungua sanaaa..!!
13: Wanyonge wenye haki zao wanazipata siku hizi, mfano hati miliki za ardhi, matajiri hawanyanyasi wanyonge tena, etc
14: Wafanyabiashara, kampuni za simu, banks sasa hulipa kodi halali bila ujanja ujanja wa kukwepa kodi..!!
15: Kufutwa kwa kodi ya Motor Vehicle licence sasa imeingizwa ktk mafuta, yaani utalipia halali kabisa, kama gari lako halitembei hulipi kodi kwa maana hutanunua mafuta, utalipia kodi tu ukinunua mafuta na imeingizwa humo, hii imeondoa sana usumbufu mabarabarani na kuongeza mapato sana kwa serikali..!!
Na mengine mengi mengiiiii mazuri..!!
Swali: Hivi ukitumia akili ya kawaida tu, unapata wapi uzalendo au hata mawazo ya kupinga haya? Sisemi Mh. Rais wetu ni mtakatifu sana, hapana, ni binadamu, ana madhaifu kama mwanadamu yeyote yule, sasa mtu anayeweza fanya haya yoooote ndani ya miaka 2 na nusu tu, unampinga kwa lipi? Utakuwa ww sio mtanzania au mzalendo au wakala wa shetani usiyetakia mema nchi yetu kumpinga Mh. Rais wetu.. Mawakala wa shetani wasioipenda nchi yetu ndio wanaweza pinga maendeleo haya..!!
Mungu mbariki Mh. Rais wetu, Mungu ibariki Tanzania..!!View attachment 828706
Acha kupotosha kivuko cha busisi MV. Misungwi kimenunuliwa na kuanza kufanya kazi awamu ya 4, waziri wa uchukuzi alkuwa MwakyembeNenda kawaangalie mabibi wa mtwara wanavyofaidika na zao la korosho,hv unajua bei ya mazao ya biashara kama korosho,kahawa,pamba sasa hv ni sh ngapi na zamani yalikuwa sh ngapi?acheni unazi,Magufuli kafanya mengi tuu....unaongelea bibi yako ananufaika vp na ndege mbona huongelei vivuko vilivyonunuliwa mfano kivuko cha busisi kule mwanza...inamaana hata hicho mabibi hawatapanda??
Yaan kitu pekee kinachonishangaza kwa wapinzani wa kitanzania ni kupinga pinga hata vitu vilivyo wazi kabisa...hv ni kweli kuna mtanzania ambaye haoni Magufuli kafanya nn mpaka sasa hv????hicho kivuko nilichokuwa nakiongelea ni hicho hapo chini...hlf hv mtu akisema eti ndege haimsaidi bibi yake aliyekijijini hv anakuwa anafikiria kwa makalio au kichwa??hv unafaham ni wafanyabiashara wangapi wa samaki walikuwa wanakula hasara kutokana na ukosefu wa ndege za kutosha???hv unafaham kuna wafanyabiashara wangapi wa maua walikuwa wanakula hasara kutokana na ukosefu wa ndege za kutosha..magufuli Kaleta sana uhai kwa wakulima wa mazao ya biashara..Kuna watu kilombero walikuwa wamesusa mashamba yao ya miwa kutokana na kiwanda cha sukari kushindwa kuwalipa kutokana na hasara waliyokuwa wanaipata hasa baada ya watanzania kutumia sana sukari inayotoka nje na kuacha kutumia ya ndani lkn leo hii viwanda vinapata faida na wakulima wamerudia mashamba yao,hebu angalia production ya pamba ktk kipindi hiki huoni kama vitu kama hivyo ndio vinawagusa watanzania wa kawaida vijijini???kuna miradi ya sgr na miradi mingi tuu ujenzi ambayo mingne yy ndio kaanzisha na mingne karithi kutoka kwa kikwete but yy ndie anailipia ktk awamu yake.....sikatai na yy anamapungufu yake but kwa asilimia zaidi ya 80 amefanikiwa sana.Acha kupotosha kivuko cha busisi MV. Misungwi kimenunuliwa na kuanza kufanya kazi awamu ya 4, waziri wa uchukuzi alkuwa Mwakyembe
Wapi laptonga kwa kila tichaMillion hamsini kila kijiji, Wapi viwanda?
Hahahahahaha ni Nguvu ya utawala wa Magufuli kuzuia madalali waliokuwa wanasimama mtu kati na kuwanyonya wakulima..Magufuli akishirikiana na waziri mkuu wake kaweka mechanism nzuri za kuhakikisha wakulima wanadeal na wanunuzi kwa uwazi kabisa..hiyo imesadia wakulima wengi wa mazao ya biashara kunufaika sana ktk utawala huu wa magufuli siyo tu wakulima wa korosho.Mkuu bei ya Korosho ni Raisi ameingilia kati au ni upepo wa soko la dunia tu? Kama ni hivyo mbona mbaazi imegoma? Naomba unieleweshe tafadhali!
No. 17 Kushamiri kwa aina mpya ya rushwa kwa kununua wabunge na madiwani ...Ongezea No 16 Mkuu
Kushamiri kwa watu wasiojulikana!